Ni kwa asilimia ngapi ukizaliwa familia ya kifukara unaweza kutoboa?

Ni kwa asilimia ngapi ukizaliwa familia ya kifukara unaweza kutoboa?

Katika hali ya kawaida ukizaliwa familia fukara kutoboa ni muujiza! Utaanzaje kwa mfano kutoboa! Tupe uzoefu wenu!
Kupata utajiri ni mipango ya mungu sio mipango yako wapo watu walio zaliwa kwenye ufukara leo ni matajiri na wapo walio zaliwa kwenye utajiri leo ni mafukara,likini sikulazimishi kuamini haya
 
Jitazame kwa ndani ukiona huwezi jua hata kwa nje huweze binafsi Mimi najiona tajiri

Umasikini upo katika Akili Kama hauna magonjwa Makubwa yakukufanya ulale ndani then ukawa masikini Basi Hilo ni tatizo lako na sio Familia yako

Then ile hali ya kukosa hela mpaka ya kula huwa tunairuhusu sisi Wenyewe.
 
Jiambie kwamba lazima utoboe. Lakini unatakiwa uwe na uwendawazimu fulani hivi ili uweze kutoboa kama umetoka familia maskini. Kwa akili za kawaida haiwezekani. Kaa mbali na anasa zote na pia achana na kuoa fukara mwenzako kwa kujifariji mna mapenzi ya kweli kwamba mtaanzia chini. Kwa kijana uliyetoka chuo jipe muda wa kutafuta hela kwanza. Ila kama manzi yuko fresh kifedha yeye binafsi hadi familia yake muoe upate mtaji.
 
Jitazame kwa ndani ukiona huwezi jua hata kwa nje huweze binafsi Mimi najiona tajiri

Umasikini upo katika Akili Kama hauna magonjwa Makubwa yakukufanya ulale ndani then ukawa masikini Basi Hilo ni tatizo lako na sio Familia yako

Then ile hali ya kukosa hela mpaka ya kula huwa tunairuhusu sisi Wenyewe.
Ni kama wasemavyo, "mwenye shibe hamjui mwenye njaa"

Ni pattern ya Mungu mwenyewe tu kwa fukara toka kwenye familia kuja kutoboa!

Na unaposema kutoboa, tofautisha na kumudu gharama za maisha!

Na usije fananisha WIZI/UFISADI na UKWAPUAJI wa mali za umma na KUTOBOA kimaisha!

Ukishangaa mtu kukosa mlo hata mmoja kwa siku, ni wazi wewe umeangukia kwenye LILE kundi la SPOILT BRAT, WIZI/UFISADI na UKWAPUAJI, unless kama una maelezo tofauti na hayo MKUU!
 
Jitazame kwa ndani ukiona huwezi jua hata kwa nje huweze binafsi Mimi najiona tajiri

Umasikini upo katika Akili Kama hauna magonjwa Makubwa yakukufanya ulale ndani then ukawa masikini Basi Hilo ni tatizo lako na sio Familia yako

Then ile hali ya kukosa hela mpaka ya kula huwa tunairuhusu sisi Wenyewe.
Kuongea ni rahisi! Magonjwa ni sehemu ya ufukara! Ukiwa fukara magonjwa ni yako (dead man walking). Sasa utaanzaje kutoboa?
 
Jiambie kwamba lazima utoboe. Lakini unatakiwa uwe na uwendawazimu fulani hivi ili uweze kutoboa kama umetoka familia maskini. Kwa akili za kawaida haiwezekani. Kaa mbali na anasa zote na pia achana na kuoa fukara mwenzako kwa kujifariji mna mapenzi ya kweli kwamba mtaanzia chini. Kwa kijana uliyetoka chuo jipe muda wa kutafuta hela kwanza. Ila kama manzi yuko fresh kifedha yeye binafsi hadi familia yake muoe upate mtaji.
Upo sahihi hapa Duniani chochote kinawezekana ukijiambia Mimi lazima nifanikiwe lazima utafanikiwa tu


Hata hesabu watu huwa wanapata F kwa kusema hawaiwezi kitu chochote kinasikia ukikiambia kinakubali Sasa Mtu unajiita masikini hapo hapo unataka utajiri lazima game iwe ngumu

Umeongea point kubwa
 
Upo sahihi hapa Duniani chochote kinawezekana ukijiambia Mimi lazima nifanikiwe lazima utafanikiwa tu


Hata hesabu watu huwa wanapata F kwa kusema hawaiwezi kitu chochote kinasikia ukikiambia kinakubali Sasa Mtu unajiita masikini hapo hapo unataka utajiri lazima game iwe ngumu

Umeongea point kubwa
Ni kweli mkuu. Dawa ya umaskini ni kutengeneza nao bifu tu. Tuukatae kabisa umaskini. Umaskini ni fedheha.
 
Kuongea ni rahisi! Magonjwa ni sehemu ya ufukara! Ukiwa fukara magonjwa ni yako (dead man walking). Sasa utaanzaje kutoboa?
Kuna watu wana hela Sana na wagonjwa Sana so hapo nimemaanisha unapopata neema ya Afya unaweza kuitumia Kama mtaji kwa kuwekeza katika MAARIFA kwanza then baadae kuanza kutfta MAFANIKIO

Then sio kila Mtu unahitaji utajiri hasa hapa Africa watu wengi wanapambania basic needs tu

Then MAISHA hayana mipaka hii mipaka iliyopo tumeiweka sisi Binadamu tu
 
Ni kama wasemavyo, "mwenye shibe hamjui mwenye njaa"

Ni pattern ya Mungu mwenyewe tu kwa fukara toka kwenye familia kuja kutoboa!

Na unaposema kutoboa, tofautisha na kumudu gharama za maisha!

Na usije fananisha WIZI/UFISADI na UKWAPUAJI wa mali za umma na KUTOBOA kimaisha!

Ukishangaa mtu kukosa mlo hata mmoja kwa siku, ni wazi wewe umeangukia kwenye LILE kundi la SPOILT BRAT, WIZI/UFISADI na UKWAPUAJI, unless kama una maelezo tofauti na hayo MKUU!
MAISHA hayana mipaka so hiyo mipaka unaiweka wewe Binadamu kila Mtu anaweza kufanikiwa na kuwa tajiri


Mungu hajaumba mtu aje ateseke kwanza Mungu hapendi umasikini sema ndo hivyo tu.
 
Ni kama wasemavyo, "mwenye shibe hamjui mwenye njaa"

Ni pattern ya Mungu mwenyewe tu kwa fukara toka kwenye familia kuja kutoboa!

Na unaposema kutoboa, tofautisha na kumudu gharama za maisha!

Na usije fananisha WIZI/UFISADI na UKWAPUAJI wa mali za umma na KUTOBOA kimaisha!

Ukishangaa mtu kukosa mlo hata mmoja kwa siku, ni wazi wewe umeangukia kwenye LILE kundi la SPOILT BRAT, WIZI/UFISADI na UKWAPUAJI, unless kama una maelezo tofauti na hayo MKUU!
Mkuu hata wewe pia una point. Kuna watoto wa maskini wengi wako jela kwa kujiingiza kwenye ishu za Ufisadi serikalini na kwenye taasisi binafsi. Kwa tamaa zao na kutofikiria vizuri wengi wao wamejikuta kama mbuzi wa kafara kwenye hizi ishu za ufisadi na wizi maofisini. Pamoja na kwamba tunapambana na umaskini lakini pia tujiepushe sana na uhalifu. Enzi za JPM vijana wengi waliingia matatizoni. Hata kwenye madawa ya kulevya wahanga wengi ni vijana waliotoka familia fukara. Karibu wote wanaoitwa punda wametokea familia fukara.
 
Back
Top Bottom