MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Umeongea point kubwa. Vijana wakikutana na dharau na wao wanapandisha mabega na kudai bora wale makande kuliko pilau la masimango. Wanashindwa kujua kuna wakati inabidi ule pilau la masimango huku ukijipanga kimyakimya.Maisha ni timing na uwezo kucheza na nyakati bila kusahau bidii na uvumilivu katika kila harakati za utafutaji. Pia kumbuka hauwezi kupata mafanikio bila kupitia changamoto za kukatishwa tamaa kuchekwa kudharaulika kuchukiwa zengwe na fitna, ukiweza kuvuka hapo basi mbele nyeupe...............wachawi wapo sehemu zoteView attachment 2788198