Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo nakubaliana na wewe! Weka aibu pembeni! Nenda kwa mama ntilie jitolee kumsaidia kazi zake kwa ujira wa mlo! Jishikishe ukiwa na malengo baada ya muda anaweza kuanza kukutupia angala buku 3 kwa siku! Lakini kumbuka wewe ni masikini muda si muda mara paaah!! Unapigwa malaria inakomba akiba yooote unaanza zero! Sasa masikini atatoboaje?Kutoboa unaweza tu mbona! Ni kuanza na hicho hicho ulochonacho ili mradi uweke aibu pembeni harafu ujitume kutafuta hata kama ni kuuza maji barabarani.
Jamani haaa😃😃🤣🤣🤣🙌Lakini kumbuka wewe ni masikini muda si muda mara paaah!! Unapigwa malaria inakomba akiba yooote unaanza zero! Sasa masikini atatoboaje?
Mkuu unapotafuta usifikirie kuumwa! Siku zote Mungu ni mwema yeye ndiye atupaye nguvu za kutafuta, bado atakulinda na kila baya maadamu unatafuta kwa haki.Hapo nakubaliana na wewe! Weka aibu pembeni! Nenda kwa mama ntilie jitolee kumsaidia kazi zake kwa ujira wa mlo! Jishikishe ukiwa na malengo baada ya muda anaweza kuanza kukutupia angala buku 3 kwa siku! Lakini kumbuka wewe ni masikini muda si muda mara paaah!! Unapigwa malaria inakomba akiba yooote unaanza zero! Sasa masikini atatoboaje?
Utajuaje kwamba hujatoboa na bado wewe una hali tete. Vifuatavyo ni viashiria;
1. Kama unaomba kupunguziwa bei hata na kina mama wajasiriamali wauza mbogamboga na nyanya.
2. Kama usafiri wako ni daladala.
3. Kama kuna aina ya dagaa unaita dagaa nyama.
4. Kama unasapoti kwa vitendo kuwa maharage yana virutubisho sawa na nyama.
5. Kama unalalamikia michango kwenye shule za kata na unataka iwe bure kwa 100%
6. Kama nguo zako karibu zote ni mtumba.
7. Kama kipato chako chote cha mwezi kinaweza kuenea tu kwenye wallet bila tatizo.
Mkuu mbona dagaa nyama na maharage ni vyakula poa sana, hivyo vyote viwepo halafu Kuna ubwabwa. Acha kabisaUtajuaje kwamba hujatoboa na bado wewe una hali tete. Vifuatavyo ni viashiria;
1. Kama unaomba kupunguziwa bei hata na kina mama wajasiriamali wauza mbogamboga na nyanya.
2. Kama usafiri wako ni daladala.
3. Kama kuna aina ya dagaa unaita dagaa nyama.
4. Kama unasapoti kwa vitendo kuwa maharage yana virutubisho sawa na nyama.
5. Kama unalalamikia michango kwenye shule za kata na unataka iwe bure kwa 100%
6. Kama nguo zako karibu zote ni mtumba.
7. Kama kipato chako chote cha mwezi kinaweza kuenea tu kwenye wallet bila tatizo.
Duuuh! wewe unafaa uende China ambako wengi wao hawaamini hilo usemalo,ukawape elimu hiyo adim,uliyonayo.Kupata utajiri ni mipango ya mungu sio mipango yako wapo watu walio zaliwa kwenye ufukara leo ni matajiri na wapo walio zaliwa kwenye utajiri leo ni mafukara,likini sikulazimishi kuamini haya
Kutoboa ni akili yako na Sio mazingira yakoKatika hali ya kawaida ukizaliwa familia fukara kutoboa ni muujiza! Utaanzaje kwa mfano kutoboa! Tupe uzoefu wenu!
Kama una mtazamo huu ni kweli itakuwa ngumuukizaliwa familia fukara kutoboa ni muujiza!
[emoji1317][emoji1317]Amini kwamba ipo siku utafanikiwa