Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
StarboyKwani unaitwa nani
Mimi MKUU sijaridhika nalo,,,jina langu halisi ni KISIGINO..DOLE GUMBA..naona hata aibu nikitongoza mwanamke akitaka nijitambulishe....hakuna kitu nilijisikia VIBAYA kama shuleni wakati wa kuitwa majina..inaniuma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Starboy
Chukua ile namba fanya kama unatuma tigo pesa alfu angalia jina na nilichokiandika hapo kinatofauti gani 😎Ahhh turudi kulekule utasema tu mkuu villa
[emoji16][emoji16][emoji16] nina uhakika utapokea maswali mengi sanaNimeridhika nalo kwa asilimia zote.
Kwanza kabla hawajanipa,lilipigwa kwanza msasa wa maombi faraghani katika majina matatu likachaguliwa moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16] eti, anasemaje ni la kwake wakati lilipigwa chiniHold on, lilikuwepo ila kura hazikutosha... mbona wasema ni lako si uwaachie wengine.!! [emoji16][emoji16][emoji16]
Cheers [emoji1635]
Mambo AliJina langu lina herufi 3. Na akifupisha ni ile herufi ya mwanzoni, so binti akianza kuniita kifupi najua huyu kashaelekea kibla.
Chukua ile namba fanya kama unatuma tigo pesa alfu angalia jina na nilichokiandika hapo kinatofauti gani 😎
Kwamba binti akifupisha aniite 'Ei'? Hahaha hapanaMambo Ali
Nalipenda la kwanguWakuu salama..!!
Je, ingekuwa ni utashi wako ungejiita jina lako hilo hilo.?
Nimeanza na ulizo hilo, kwa maana katika nyakati za ukuaji imebainika watu huweza kujipachika majina tofauti tofauti kulingana na mazingira au matakwa ya nyakati.
Si ajabu kwa kila mmoja wetu, basi tuseme wengi kama sio wote, tumewahi kujiita majina mbalimbali.
Mfano majina ya watu maarufu tuliowaona kwenye filamu, au hata vibonzo na wanyama wakali.
Pamoja na ukweli kuwa majina ni utambulisho tu, lakini kuna kipindi tumewahi kuhisi kuna majina mazuri na mabaya. Hivyo tumewahi kutamani jina fulani au kuchukia lingine.
Kwa kuwa tunapewa majina tukiwa wadogo sana, hii haitupi haki ya kuchagua majina tuyapendayo. Hii hutulazimu kutii na kukua hivyo, na pale tunapopata kujitambua wengi wetu tumekuwa tukijaribu kubadili majina yetu.
Mifano ni mingi ila mojawapo ni ID za JF, na hata zile mnaita ‘a.k.a’ za almaarufu ni ushahidi tosha wa kutaka kubadili jina, japo vyeti vitabaki na majina asilia ila huenda kuna namna roho yako inatamani vinginevyo.
Hebu niulize tena, ingekuwa unazaliwa unaachwa ukue bila jina, hilo ulilojichagulia sasa ndo ungependa uitwe.?
Kuna jina zuri na baya.? Ooh jina lako zuri (kinafiki likiwa baya huambiwi), ooh jina lako gumu, oooh jina lako refu etc. [hapa tafadhali tujali matamshi tu, sio nguvu za jina kiimani].
Jina lako ulilopewa na wazazi wako, unaridhika nalo au unatii tu na kuheshimu wazazi au kwamba huna namna ya kufanya.?
Cheers [emoji1635]
[emoji137][emoji137][emoji137][emoji137]Sawa nitafanya hivyo ila tutaelewana kule maana humu kelele nyingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] nina uhakika utapokea maswali mengi sana
kama ndio hivyo,mbona humu umejita drone camera??Jina langu zuri sana