Pre GE2025 Ni kwa kiwango gani maandamano ya CHADEMA yataathiri matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa wagombea wa chama hicho?

Pre GE2025 Ni kwa kiwango gani maandamano ya CHADEMA yataathiri matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa wagombea wa chama hicho?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
November 27.2024, patafanyika uchaguzi wa kihistoria nchini, kwa ngazi za serikali za mtaa na vijiji nchi nzima. Vyama vya siasa vilivyo jizatiti kushiriki kikamilifu katika uchaguzi huo muhimu sana, vinaendelea na maandalizi ya kujipanga na kujiandaa vizuri ndani ya vyama vyao.

Unadhani kwa upande wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, chenye sura na taswira ya fujo mbele ya waTanzania na polisi kwa sasa..

Ni dhahiri wagombea wake wataonekana ni watu wa shari na fujo, wasio na nidhamu wala utii, kutokana na ukaidi na kiburi walichokionyesha kwa waTanzania na polisi nchini, kwa kutaka kulazimisha kufanya maandamano yaliyopigwa marufuku, kutokana na dhamira yake ovu, ya kuvuruga Demokrasia, umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania.

Ni kwa kiwango gani wagombea uongozi wa chadema watogopwa, watakwepwa na kutengwa na wapiga kura kwenye uchaguzi huo muhimu sana wa serikali za mitaa humu nchini?

Zaidi sana,
kuwanadi wagombea uongozi wake itakua vigumu sana, licha ya kwamba watatumia nguvu nyingi mno, kurejesha imani za wananchi kuiamini chadema tena,
unadhani chadema wanaweza kupata viti zaid ya vi3 serikali za mitaa na vijiji nchi nzima? 🐒

Mungu ibariki Tanzania
 
Data zishapikwa Hadi za mwakani!uchaguzi ujao ni maigizo tu !!

Wenye akili timamu tunalijua hilo,kuwa mwenyekiti anafuata nyendo za aliemwachia kiti!!!

Hakuna uchaguzi ni maigizo tu!
 
Data zishapikwa Hadi za mwakani!uchaguzi ujao ni maigizo tu !!

Wenye akili timamu tunalijua hilo,kuwa mwenyekiti anafuata nyendo za aliemwachia kiti!!!

Hakuna uchaguzi ni maigizo tu!
Nawashauri mgomee uchaguzi kwasababu ni maigizo. Lakini mjue Serikali LAZIMA iwepo.
 
Data zishapikwa Hadi za mwakani!uchaguzi ujao ni maigizo tu !!

Wenye akili timamu tunalijua hilo,kuwa mwenyekiti anafuata nyendo za aliemwachia kiti!!!

Hakuna uchaguzi ni maigizo tu!
Imani za kushirikiana mzigo mzito na ni utumwa mbaya sana bana aise dah..
au uko kwenye Ramli gentleman 🤣

uchaguzi ni tar.27 novemba we mbwelambwela na visingizio wakati tayari umeonyesha ukaidi, kiburi na jeuri kwa waTanzani kwa kutaka kulazimisha kuvuruga umoja, amani na utulivu wao 🐒
 
Watu wanapika data za sensa, mashule, hospital na viwanda wanashindwaje kukoroga data za uchafuzi??
sababu za imani potofu za kishirikiana na ramli haziwezi kuzuia uchaguzi huo muhimu sana, kufanywa na wananchi wasio amini ushirikina na wanaozingatia mustakabali mwema wa uongozi wa nchi na maeneo wanayoishi 🐒

waliokataliwa na wananchi na wanaohisi hawatafua dafu kwenye uchaguzi huo, ni haki yao kuanza kuibuka na visingizio mfu kabisa kama hivyo 🤣

lakini uchaguzi utafanyika bila mbambamba yoyote 🐒
 
Nawashauri mgomee uchaguzi kwasababu ni maigizo. Lakini mjue Serikali LAZIMA iwepo.
itakua ni fursa muhimu sana kwa vyama vingine vya kisiasa zaidi ya 20 kujitangaza na huenda vikaambulia viti viwili vitatu, mpka wasusaji waje kuzinduka watajipata chama chao hakina wanachama tena, ndio kwanza kama kimezinduliwa jana 🤣
 
November 27.2024, patafanyika uchaguzi wa kihistoria nchini, kwa ngazi za serikali za mtaa na vijiji nchi nzima. Vyama vya siasa vilivyo jizatiti kushiriki kikamilifu katika uchaguzi huo muhimu sana, vinaendelea na maandalizi ya kujipanga na kujiandaa vizuri ndani ya vyama vyao.

Unadhani kwa upande wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, chenye sura na taswira ya fujo mbele ya waTanzania na polisi kwa sasa..

Ni dhahiri wagombea wake wataonekana ni watu wa shari na fujo, wasio na nidhamu wala utii, kutokana na ukaidi na kiburi walichokionyesha kwa waTanzania na polisi nchini, kwa kutaka kulazimisha kufanya maandamano yaliyopigwa marufuku, kutokana na dhamira yake ovu, ya kuvuruga Demokrasia, umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania.

Ni kwa kiwango gani wagombea uongozi wa chadema watogopwa, watakwepwa na kutengwa na wapiga kura kwenye uchaguzi huo muhimu sana wa serikali za mitaa humu nchini?

Zaidi sana,
kuwanadi wagombea uongozi wake itakua vigumu sana, licha ya kwamba watatumia nguvu nyingi mno, kurejesha imani za wananchi kuiamini chadema tena,
unadhani chadema wanaweza kupata viti zaid ya vi3 serikali za mitaa na vijiji nchi nzima? 🐒

Mungu ibariki Tanzania
CDM siyo watu wavurugu wala kiburi ila watu wenye vurugu na kiburi unawajua lakini unaogopa kuwataja lakini umetumia tamathali ujumbe umefika.
 
CDM siyo watu wavurugu wala kiburi ila watu wenye vurugu na kiburi unawajua lakini unaogopa kuwataja lakini umetumia tamathali ujumbe umefika.
nadhani wale chadema waliyofanya maandamano mwezi March katika majiji ya Mwanza, mbeya Arusha na Dar es salaam ndio walikua sio wa vurugu na kiburi, walikua wangwana...

Lakini hawa chadema makaidi wa juzi, wamewatishia waTanzani kwa kiwango cha juu mno. Wanaogopwa nchi nzima hivi sasa..

ndio nahoji hali hiyo itawaathiri kwa kiasi gani matokeo ya uchaguzi kwa wangombea wa chama chao 🐒
 
itakua ni fursa muhimu sana kwa vyama vingine vya kisiasa zaidi ya 20 kujitangaza na huenda vikaambulia viti viwili vitatu, mpka wasusaji waje kuzinduka watajipata chama chao hakina wanachama tena, ndio kwanza kama kimezinduliwa jana 🤣
Umeonae! Sie tuliolelewa zamani, ukisusia chakula, Mdingi alikuwa anaweka mkwara kuwa hakuna kubembelezwa hadi siku utakayoamua kula mwenyewe.
 
Hakuna uchaguzi halali utakaofanyika ni Uchafuzi tu! Hii inathibitisha kama CDM wameufyata,Serikali itafanya inachotaka kwenye uchaguzi na Wapinzani wataufyata tu.
 
Hakuna uchaguzi halali utakaofanyika ni Uchafuzi tu! Hii inathibitisha kama CDM wameufyata,Serikali itafanya inachotaka kwenye uchaguzi na Wapinzani wataufyata tu.
kwani uchaguzi halali ni mpaka chadema washiriki right?

sasa kama vyama siasa havikubaliki na vimekataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura ndio uchaguzi unakua sio halali au?

wananchi wameshawishika na kukubali sera na mipango ya chama kilichoshinda uchaguzi, kwasababu hiyo wengine ndio wasema uchaguzi sio halali?🤣
 
Kwa taarifa yako Chadema ni mioyo ya wakandamizwao
Pamoja na wliopo CCM wanao jitambua!!
 
Kwa taarifa yako Chadema ni mioyo ya wakandamizwao
Pamoja na wliopo CCM wanao jitambua!!
kwahiyo juzi kwenye maandamano haramu, moyo na wakandamizwao vilisalitiana au viliachana tu kidogo kwa muda tu ?🤣

halafu mbona viliachana mbali mbali sana dah 🐒
 

Attachments

  • FB_IMG_1727243319355.jpg
    FB_IMG_1727243319355.jpg
    29.4 KB · Views: 7
Hakuna uchaguzi halali utakaofanyika ni Uchafuzi tu! Hii inathibitisha kama CDM wameufyata,Serikali itafanya inachotaka kwenye uchaguzi na Wapinzani wataufyata tu.
Ila likiwaka huko mbogamboga nijulisheni maana kauli na vitendo vya Bimkubwa sizielewi
 
Back
Top Bottom