Ni kwa nini teknolojia kama ChatGPT haikuvumbuliwa China?

Ni kwa nini teknolojia kama ChatGPT haikuvumbuliwa China?

Watu wengi husema China iko mbali kiteknolojia na mimi pia niliamini hivyo lakini swali la kujiuliza ni kwa nini teknolojia kama ChatGPT haikuvumbuliwa China na badala yake sasa makampuni ya kiteknolojia ya kichina yanapambana kutoa product kama ChatGPT?

Makampuni mengi ya kichina makubwa yanaahidi kwamba yataifikia ChatGPT kufikia mwisho wa mwaka huu ama mwanzoni mwa mwaka ujao.

Swali, kama China ina advance technology, ni kwa nini haivumbui vitu badala yake inasubiri Marekani avumbue kisha wao watoe nakala?

Je tusubiri makampuni kama Neuralink ua Elon Musk yavumbue tiba ya magonjwa sugu kama kupooza, upofu, cancer nk ndio na wao waje kunakili?
Hakuna Taifa lina copy na kuiba gunduzi za wenzake kama China. Yani kama Kuna Taifa lingekuwa linakes za kuiba teachnology basi china uwenda angekuwa namba 1
 
Una outdated information. Jitahidi kuongeza maarifa kwa kujisomea kutoka vyanzo mbalimbali uongeze maarifa.

Fuatilia juzi China imelalamika Marekani kuanza kuiwekea vikwazo vya kupata advanced chips na kutaka kukwamisha juhudi ama jitihada zake za kukua kiteknolojia.


Kikao cha juzi, jumatano cha US-SINO Dialogue mojawapo ya hoja ni wachina kuomba Marekani aondoe vikwazo vya wao kupata advanced chipsets kwani vinakwamisha na kurudisha jitihada zake za kujiimarisha kiteknolojia.
Sasa advanced chips na kuwa na data kuna uhusiano gani. Hivi unajua chatGPT inafanya kazi vipi? Au hilo swala la chip limekupa mihemko
 
Sasa advanced chips na kuwa na data kuna uhusiano gani. Hivi unajua chatGPT inafanya kazi vipi? Au hilo swala la chip limekupa mihemko
Akili huna.
Hizo data utatumia nini kuzichakata?

Huu mjadala uko juu ya uwezo wako wa akili. Nenda kula chitchat ukajadili umbea.
 
Ngoja na mimi niingize fuvu langu humu ili nionekane maana huu mtanange ni above my limit..😳😳😳😳🙄🙄
 
Hakuna kitu China kavumbua

Fatilia ndege vita zao zote ni C&P
 
Sasa advanced chips na kuwa na data kuna uhusiano gani. Hivi unajua chatGPT inafanya kazi vipi? Au hilo swala la chip limekupa mihemko
Mkuu kama umesikia AI ni Akili Bandia, ili akili iwepo kunahitaji Ubongo pia, AI imewezekana sababu sababu ya Hizi NPU (Neural processing Unit) zenyewe zina Act kama Ubongo ili kutengeneza hio Akili.

Kampuni kama IBM, Nvidia, Intel, Google etc wanatengeneza hizi NPU.

Mfano inayotumika kwenye Chat-GPT ni Nvidia A100, na mwanzo wakati wanaanza walitumia kama Gpu 10,000 kuifundisha. Na bado hazitoshi ndio maana watu wanakuwa limited ni kiasi gani watatumia Chat-Gpt. Machine moja tu ya Dgx A100 ikiwa full Complete ni $200,000 kama milioni 460 ya kibongo, zikiwa 10,000 ni budget ya wizara.

So hata kama Una data zako kufeed hio AI, bila kuwa na hardware husika utahudumiaje watu?
 
Mkuu kama umesikia AI ni Akili Bandia, ili akili iwepo kunahitaji Ubongo pia, AI imewezekana sababu sababu ya Hizi NPU (Neural processing Unit) zenyewe zina Act kama Ubongo ili kutengeneza hio Akili.

Kampuni kama IBM, Nvidia, Intel, Google etc wanatengeneza hizi NPU.

Mfano inayotumika kwenye Chat-GPT ni Nvidia A100, na mwanzo wakati wanaanza walitumia kama Gpu 10,000 kuifundisha. Na bado hazitoshi ndio maana watu wanakuwa limited ni kiasi gani watatumia Chat-Gpt. Machine moja tu ya Dgx A100 ikiwa full Complete ni $200,000 kama milioni 460 ya kibongo, zikiwa 10,000 ni budget ya wizara.

So hata kama Una data zako kufeed hio AI, bila kuwa na hardware husika utahudumiaje watu?
Mkuu nakushukuru kwa kuendelea kutoa elimu Dunia huku ndani.
 
Mkuu namba 4 pia hawawezi kwa sababu ya restrictive policies zao. Wanaona wakileta mtaalamu kutoka Uingereza ama Marekani ama Korea Kusini ataiba taarifa zao hivyo kukosa mchanganyiko wa talents.

China inategemea wataalamu wa ndani tu tofauti na Marehemu inategemea wataalamu kutoka popote Duniani. Mtu yoyote ukiwa na akili unakaribishwa Marekani.
Mkuu hiyo sehemu ulivyoandika Marehemu ungerekebisha na kuandika Marekani
Mara ya kwanza sikuelewa
 
Mchina hana akili za mambo Kama hayo, Serikali ya china Kwa miaka mingi imekuwa ikiwekeza nguvu nyingi kwenye tech na innovation Kwa ujumla ila matokeo ni hasi , tofauti na nchi Kama USA haya mambo wanafanya tokea mtaani tu .

Huwezi kufanya kila kitu dunia hii kuzidiana kupo. USA akiwa vizuri kwenye tech Brazil anakuwa vizuri kwenye football Mhindi anakuwa vizuri kwenye biashara hivyo yan
 
Naomba kueleweshwa hyo chatgpt ni nini haswa??
Ni ujinga mmoja hivi wa Microsoft wamebuni akili bandia ambayo unaweza ukaiambia ifanye kitu chochote na unaweza ukaiuliza kitu chochote na ikakujibu au ikafanya kwa haraka zaidi in short ni robotics app
 
Watu wengi husema China iko mbali kiteknolojia na mimi pia niliamini hivyo lakini swali la kujiuliza ni kwa nini teknolojia kama ChatGPT haikuvumbuliwa China na badala yake sasa makampuni ya kiteknolojia ya kichina yanapambana kutoa product kama ChatGPT?

Makampuni mengi ya kichina makubwa yanaahidi kwamba yataifikia ChatGPT kufikia mwisho wa mwaka huu ama mwanzoni mwa mwaka ujao.

Swali, kama China ina advance technology, ni kwa nini haivumbui vitu badala yake inasubiri Marekani avumbue kisha wao watoe nakala?

Je tusubiri makampuni kama Neuralink ua Elon Musk yavumbue tiba ya magonjwa sugu kama kupooza, upofu, cancer nk ndio na wao waje kunakili?
Data Ocean, kwa maana ya bahari ya taarifa yaani mitandao yenye utajiri wa taarifa China kaipiga ban, sasa ChatGPT yake si itajaa madojo na mahekaku ya Mashaoli ni viwanda vya simu?
US anakuletea kitu kumbe ni mtego, wakati wewe unadhani unashindana naye sasa au unamkomoa kumbe yeye ammeshaoiga hesabu za miaka 20 hadi 30 mbele.
Utaishia kulewa sifa za mashabiki sasa na kujiona mshindi lakini muda ukifika dunia itakushuhudia ukikufa kikatili sana.
Fuatilia kwa karibu members wa BRICS wanakoelekea.
South Afrika tayari kaelekezewa kibra ni swala la muda kabla nchi hazijaanza kuwataka raia wao kuondoka huko.
 
Mchina hana akili za mambo Kama hayo, Serikali ya china Kwa miaka mingi imekuwa ikiwekeza nguvu nyingi kwenye tech na innovation Kwa ujumla ila matokeo ni hasi , tofauti na nchi Kama USA haya mambo wanafanya tokea mtaani tu .

Huwezi kufanya kila kitu dunia hii kuzidiana kupo. USA akiwa vizuri kwenye tech Brazil anakuwa vizuri kwenye football Mhindi anakuwa vizuri kwenye biashara hivyo yan
Language mzee wewe ukiletewa simu unazungumzia kichina tupu najua itakushinda maana kichina haujui Ila ukipewa simu Ina kimarekani kingi aaah faster tu unaelewa

Sababu ni lugha alafu vijana lugha hususani kujua lugha nyingi za kigeni Ina umuhimu ntatoa kisa kilichowafanya vijana wakakosa kazi sababu walikua hawajui lugha 2 kingereza na kichina

Walikutana na mchina yule mchina alikua anahitaji vijana wanaoongea kingereza au hata kukiwa na ambae anaongea kichina kwa mbali sio vibaya, sasa kwenye kuwauliza pale Nani anajua kingereza nilishuhudia jamaa wote hawajui kingereza alafu ni majamaa tu wa street yaan jamaa wamevaa vizuri hawajui kingereza mchina akabaki kucheka jamaa anaulizwa na mchina 'how old are you?' anabaki kukenua meno tu haelewi pale ndio niliposema kweli elimu Ina umuhimu sana asee anaulizwa na mchina 'what is your name ?' jamaa kakenua meno tu haelewi ajibu nini nikasema shule Ina umuhimu wanangu watasoma mpaka nukta ya mwisho siwezi kukubari jina langu lidharirishwe km vile
 
Nadhani imekua ngumu kwa mchina kuja na chatgpt kutokana na architecture ya chatGPT kutegemea zaidi data zilizopo mitandaoni.

Kama tunavojua marekani ndiye mmiliki wa data nyingi zaidi na mashirika kama META/Facebook huwa yanauza data zetu kwahiyo ni rahisi zaidi kuitrain model na ikaperform vizuri.
Hapo Umezungumza.
China Hashindwi Kutengeneza ChatGpt Ila shida Hawezi Pata Data Za Kutosha Kuumezesha Mfumo.
Au Labda ChatGpt Iwe Ya China tu Kwa kuimezesha Data za China.
ChatGpt Haina jipya Zaidi Ya Kutumia Data Zilizopo Mtandaoni.
 
Mchina hana akili za mambo Kama hayo, Serikali ya china Kwa miaka mingi imekuwa ikiwekeza nguvu nyingi kwenye tech na innovation Kwa ujumla ila matokeo ni hasi , tofauti na nchi Kama USA haya mambo wanafanya tokea mtaani tu .

Huwezi kufanya kila kitu dunia hii kuzidiana kupo. USA akiwa vizuri kwenye tech Brazil anakuwa vizuri kwenye football Mhindi anakuwa vizuri kwenye biashara hivyo yan
China hajaifikia Usa ila kusema Matokeo hasi? Hapana jamaa wamejitahidi sana na wameendelea, Silaha kubwa ya Usa ni Uchumi na washirika ila Tech nyingi siku hizi wameporomoka mfano mzuri ni hio 5G. Marekani hana Kampuni ya Nyumbani, Huawei Anampiga bao ikabidi amkate mkia kwanza.

China wana Tech nyingi wameendelea, ila kuna Tech ngumu ambazo zinahitaji miaka ya utafiti hizi bado sana kwao, itawachukua miaka 20 ama 50 kufika huko.
 
Hakuna Taifa lina copy na kuiba gunduzi za wenzake kama China. Yani kama Kuna Taifa lingekuwa linakes za kuiba teachnology basi china uwenda angekuwa namba 1
1. China
2. India
3. Brazil
 
China hajaifikia Usa ila kusema Matokeo hasi? Hapana jamaa wamejitahidi sana na wameendelea, Silaha kubwa ya Usa ni Uchumi na washirika ila Tech nyingi siku hizi wameporomoka mfano mzuri ni hio 5G. Marekani hana Kampuni ya Nyumbani, Huawei Anampiga bao ikabidi amkate mkia kwanza.

China wana Tech nyingi wameendelea, ila kuna Tech ngumu ambazo zinahitaji miaka ya utafiti hizi bado sana kwao, itawachukua miaka 20 ama 50 kufika huko.

Comparison ya Investment ya serikali vs matokeo ya uvumbuzi ni bado ni hasi Kwa china.

Mfano Mpaka sasa china hajaweza kutengeneza ndege zake za abiria bado kina Boeing wame doninate. Serikali imekuwa ikipambana sana ila Hamna kitu cha maana so far na hii si kwa ndege tu ni maeneo mengi sana serikali inaweka pesa nyingi ila matokeo Hamna zaidi ya ku copy tech za watu

Movie tu zenyewe wanaenda Hollywood , china bado kwenye kazi za akili na creativity Kwa ujumla

Tech ya 5G huwezi kusema ni ya huawei , ile ni tech Ina mlolongo mrefu labda useme huawei ni wa kwanza kuiweka kwenye mobile device which isn’t a big deal.

Tech ya 5G credit Mpe Qualcomm wala siyo huawei Kama wengi wanavyodhani

Pale china vitu sophisticated wanamtegemea USA na Japan . Japan peke yake kamzidi mbali china Kwa maana nzima ya technolojia achana na hizi fabrication na copy cats.

Nenda kwenye medical equipment wachina wenyewe wamejaza vitu vya mmarekani maana Yale ni maisha hakuna mchezo mchezo .

…..
 
China hajaifikia Usa ila kusema Matokeo hasi? Hapana jamaa wamejitahidi sana na wameendelea, Silaha kubwa ya Usa ni Uchumi na washirika ila Tech nyingi siku hizi wameporomoka mfano mzuri ni hio 5G. Marekani hana Kampuni ya Nyumbani, Huawei Anampiga bao ikabidi amkate mkia kwanza.

China wana Tech nyingi wameendelea, ila kuna Tech ngumu ambazo zinahitaji miaka ya utafiti hizi bado sana kwao, itawachukua miaka 20 ama 50 kufika huko.
Na nyoka/samaki akishakatwa mkia anakosa muelekeo, anakua hai ila hana dira, hajui anaenda wapi na hata akijua nguvu za kumsukuma anakosa na baadae hufa kifo cha kawaida.

Unachokisema ni sahihi, kwenye teknolojia ngumu China bado yuko nyuma sana na itamchukua miaka mingi sana. Hii ni kwa sababu moja, kwanza tabia yake ya kuendeleza Copycating, kuiba copyrights za watu hasa kwenye bidhaa za soko la ndani.

Soko la mdani la China limejaa bidhaa za majina makubwa yenye hati miliki, mfano, Land Rover yeye anatengeneza gari anaiita Rand Lover, sasa hii ni akili kweli? China bado yuko nyuma sana.
 
Back
Top Bottom