Ni kwa nini teknolojia kama ChatGPT haikuvumbuliwa China?

Ni kwa nini teknolojia kama ChatGPT haikuvumbuliwa China?

Comparison ya Investment ya serikali vs matokeo ya uvumbuzi ni bado ni hasi Kwa china.

Mfano Mpaka sasa china hajaweza kutengeneza ndege zake za abiria bado kina Boeing wame doninate. Serikali imekuwa ikipambana sana ila Hamna kitu cha maana so far na hii si kwa ndege tu ni maeneo mengi sana serikali inaweka pesa nyingi ila matokeo Hamna zaidi ya ku copy tech za watu

Movie tu zenyewe wanaenda Hollywood , china bado kwenye kazi za akili na creativity Kwa ujumla

Tech ya 5G huwezi kusema ni ya huawei , ile ni tech Ina mlolongo mrefu labda useme huawei ni wa kwanza kuiweka kwenye mobile device which isn’t a big deal.

Tech ya 5G credit Mpe Qualcomm wala siyo huawei Kama wengi wanavyodhani

Pale china vitu sophisticated wanamtegemea USA na Japan . Japan peke yake kamzidi mbali china Kwa maana nzima ya technolojia achana na hizi fabrication na copy cats.

Nenda kwenye medical equipment wachina wenyewe wamejaza vitu vya mmarekani maana Yale ni maisha hakuna mchezo mchezo .

…..
Nimeona juzi Japan kasema anamuwekea vikwazo China vya hizo advanced chipsets na teknolojia.

Juzi hapa China alizindua OS yake, akaiweka closed watu wakamwambia aiweke open maana ilionekana ni kopi ya Android, akagoma. Haijulikani iko wapi sasa.

Nakubaliana na wewe kwamba serikali ya China inaweka pesa nyingi sana za kusaidia wataalamu wa ndani lakini hatokeo sio mazuri.
 
Wakuu naomba kuhafamishwa kati ya Chat GPT-3 na Chat GPT-4.
Uzuri wake na Jinsi ntakavyo weza miliki hata app moja wapo.
Maana ukiingia Playstore naona AI yako mengi mpaka nashindwa nilichukue lipi nihangaike nalo mpaka ela nlio Subscribe irudi.
Maana nliwahi lipia moja kupitia Aitel Monay ela ikakwenda na mpaka asaiv linadai ela nikitaka kulitumia.
 
Comparison ya Investment ya serikali vs matokeo ya uvumbuzi ni bado ni hasi Kwa china.

Mfano Mpaka sasa china hajaweza kutengeneza ndege zake za abiria bado kina Boeing wame doninate. Serikali imekuwa ikipambana sana ila Hamna kitu cha maana so far na hii si kwa ndege tu ni maeneo mengi sana serikali inaweka pesa nyingi ila matokeo Hamna zaidi ya ku copy tech za watu
Hizo Ndege anatenegeneza Japan, Even Boeing na Airbus Component Critical zinatoka japan, Ndio maana nasema Tech ngumu China Bado na sikatai, ila kwa Tech ambayo ni Ngumu Dunia nzima inashindwa kutengeneza Huwezi kulaumu Nchi changa kama China kushindwa.
Movie tu zenyewe wanaenda Hollywood , china bado kwenye kazi za akili na creativity Kwa ujumla
Movie Nawatetea wapo vizuri siku nyingi tu, usiniambie hujawahi kuona movie za Kichina, Wuxia, Xianxia, Kung fu na Martial arts Nyengine etc.
Tech ya 5G huwezi kusema ni ya huawei , ile ni tech Ina mlolongo mrefu labda useme huawei ni wa kwanza kuiweka kwenye mobile device which isn’t a big deal.

Tech ya 5G credit Mpe Qualcomm wala siyo huawei Kama wengi wanavyodhani
Tech ya 5G ina mlolongo na sijasema Huawei ndo kaitengeneza, My point is China yupo mbele ya Usa in this Regard, kuna Kampuni 3 kubwa za 5G ambazo ni Nokia, Ericson na Huawei, Nokia Finland, Ericson Sweden na Huawei China, hawa ndo wanadominate kila sehemu. Hata hapa kwetu Tanzania ukiangalia Vodacom wanatumia 5G ya Nokia na Tigo anatumia 5G ya Ericson.

Qualcomm hayupo kwenye kutengeneza na kurusha 5G, yeye yupo kwenye kupokea, anatengeneza Modem ambazo utazipata kwenye simu, Router, etc
Pale china vitu sophisticated wanamtegemea USA na Japan . Japan peke yake kamzidi mbali china Kwa maana nzima ya technolojia achana na hizi fabrication na copy cats.
Sahihi
Nenda kwenye medical equipment wachina wenyewe wamejaza vitu vya mmarekani maana Yale ni maisha hakuna mchezo mchezo .

…..
My point is hata kama China hawezi kutengeneza Hizi technology ngumu bado wamefanikiwa kitechnolojia, sababu Huwezi kutengeneza Engine ya Ndege haimaanishi umefeli, Jamaa wana aina yao ya Tech ambayo ni kutengeneza Vitu kwa bei rahisi, hivyo kuweza kuendelea kwa haraka zaidi.

Dunia ina matatizo mengi mno.

Kwenye Fortune 500 juzi hapa China iliipita Usa kwa kua na Makampuni 124 compare na Kampuni 121 za Usa. So wamefanikiwa pia na wao.
 
CHINESE are more inclined to COPY-PASTE techniques if not REVERSE ENGINEERING !!
 
Hizo Ndege anatenegeneza Japan, Even Boeing na Airbus Component Critical zinatoka japan, Ndio maana nasema Tech ngumu China Bado na sikatai, ila kwa Tech ambayo ni Ngumu Dunia nzima inashindwa kutengeneza Huwezi kulaumu Nchi changa kama China kushindwa.

Movie Nawatetea wapo vizuri siku nyingi tu, usiniambie hujawahi kuona movie za Kichina, Wuxia, Xianxia, Kung fu na Martial arts Nyengine etc.

Tech ya 5G ina mlolongo na sijasema Huawei ndo kaitengeneza, My point is China yupo mbele ya Usa in this Regard, kuna Kampuni 3 kubwa za 5G ambazo ni Nokia, Ericson na Huawei, Nokia Finland, Ericson Sweden na Huawei China, hawa ndo wanadominate kila sehemu. Hata hapa kwetu Tanzania ukiangalia Vodacom wanatumia 5G ya Nokia na Tigo anatumia 5G ya Ericson.

Qualcomm hayupo kwenye kutengeneza na kurusha 5G, yeye yupo kwenye kupokea, anatengeneza Modem ambazo utazipata kwenye simu, Router, etc

Sahihi

My point is hata kama China hawezi kutengeneza Hizi technology ngumu bado wamefanikiwa kitechnolojia, sababu Huwezi kutengeneza Engine ya Ndege haimaanishi umefeli, Jamaa wana aina yao ya Tech ambayo ni kutengeneza Vitu kwa bei rahisi, hivyo kuweza kuendelea kwa haraka zaidi.

Dunia ina matatizo mengi mno.

Kwenye Fortune 500 juzi hapa China iliipita Usa kwa kua na Makampuni 124 compare na Kampuni 121 za Usa. So wamefanikiwa pia na wao.
Hapo nimekuelewa sana
Ila kwenye movie labda zamani, siku hizi Wachina wameshuka sana kwenye movie industry. Wanapitwa hadi na Korea Kusini.

Ila at least naamini sababu ya hii decline sio tech limitations
 
Hizo Ndege anatenegeneza Japan, Even Boeing na Airbus Component Critical zinatoka japan, Ndio maana nasema Tech ngumu China Bado na sikatai, ila kwa Tech ambayo ni Ngumu Dunia nzima inashindwa kutengeneza Huwezi kulaumu Nchi changa kama China kushindwa.

Movie Nawatetea wapo vizuri siku nyingi tu, usiniambie hujawahi kuona movie za Kichina, Wuxia, Xianxia, Kung fu na Martial arts Nyengine etc.

Tech ya 5G ina mlolongo na sijasema Huawei ndo kaitengeneza, My point is China yupo mbele ya Usa in this Regard, kuna Kampuni 3 kubwa za 5G ambazo ni Nokia, Ericson na Huawei, Nokia Finland, Ericson Sweden na Huawei China, hawa ndo wanadominate kila sehemu. Hata hapa kwetu Tanzania ukiangalia Vodacom wanatumia 5G ya Nokia na Tigo anatumia 5G ya Ericson.

Qualcomm hayupo kwenye kutengeneza na kurusha 5G, yeye yupo kwenye kupokea, anatengeneza Modem ambazo utazipata kwenye simu, Router, etc

Sahihi

My point is hata kama China hawezi kutengeneza Hizi technology ngumu bado wamefanikiwa kitechnolojia, sababu Huwezi kutengeneza Engine ya Ndege haimaanishi umefeli, Jamaa wana aina yao ya Tech ambayo ni kutengeneza Vitu kwa bei rahisi, hivyo kuweza kuendelea kwa haraka zaidi.

Dunia ina matatizo mengi mno.

Kwenye Fortune 500 juzi hapa China iliipita Usa kwa kua na Makampuni 124 compare na Kampuni 121 za Usa. So wamefanikiwa pia na wao.
Wakuu naomba kuhafamishwa kati ya Chat GPT-3 na Chat GPT-4.
Uzuri wake na Jinsi ntakavyo weza miliki hata app moja wapo.
Maana ukiingia Playstore naona AI yako mengi mpaka nashindwa nilichukue lipi nihangaike nalo mpaka ela nlio Subscribe irudi.
Maana nliwahi lipia moja kupitia Aitel Monay ela ikakwenda na mpaka asaiv linadai ela nikitaka kulitumia.

Mkwawa nisaidie hapa sio mpaka nikafungue uzi wa hili jambo.
 
Watu wengi husema China iko mbali kiteknolojia na mimi pia niliamini hivyo lakini swali la kujiuliza ni kwa nini teknolojia kama ChatGPT haikuvumbuliwa China na badala yake sasa makampuni ya kiteknolojia ya kichina yanapambana kutoa product kama ChatGPT?

Makampuni mengi ya kichina makubwa yanaahidi kwamba yataifikia ChatGPT kufikia mwisho wa mwaka huu ama mwanzoni mwa mwaka ujao.

Swali, kama China ina advance technology, ni kwa nini haivumbui vitu badala yake inasubiri Marekani avumbue kisha wao watoe nakala?

Je tusubiri makampuni kama Neuralink ua Elon Musk yavumbue tiba ya magonjwa sugu kama kupooza, upofu, cancer nk ndio na wao waje kunakili?
Mchina anatumia export-oriented approach

Ana Copy,kisha Ana Deepen skills then Ana Innovate,,na anasera kabisa,kwa walio soma China wanajua kuna some linaitwa China survey,hakuna kitu kinatengenezwa taifa flani China hajatengeneza
 
Wakuu naomba kuhafamishwa kati ya Chat GPT-3 na Chat GPT-4.
Uzuri wake na Jinsi ntakavyo weza miliki hata app moja wapo.
Maana ukiingia Playstore naona AI yako mengi mpaka nashindwa nilichukue lipi nihangaike nalo mpaka ela nlio Subscribe irudi.
Maana nliwahi lipia moja kupitia Aitel Monay ela ikakwenda na mpaka asaiv linadai ela nikitaka kulitumia.

Mkwawa nisaidie hapa sio mpaka nikafungue uzi wa hili jambo.
Zote zilizoko play store ni za uongo. Bado jamaa hawajatoa app kwa android. Juzi wiki iliyopita ndio walitoa kwa app store ya Iphone na wakasema watatoa ya Android soon.

Ya kwenye app store yenyewe unapatikana nchi chache bado haijawa global.

Usidanganywe jamaa hawajatoa app kwa android. Tumia tu web. 4 ni update ya 3 ila kwenye web bado.
 
Zote zilizoko play store ni za uongo. Bado jamaa hawajatoa app kwa android. Juzi wiki iliyopita ndio walitoa kwa app store ya Iphone na wakasema watatoa ya Android soon.

Ya kwenye app store yenyewe unapatikana nchi chache bado haijawa global.

Usidanganywe jamaa hawajatoa app kwa android. Tumia tu web. 4 ni update ya 3 ila kwenye web bado.
Nadhani hujanielewa,hebu soma upya utanielewa,sijasema China imetoa bali nimeeleza kwanini yeye sio mvumbuzi,na nini anachoweza kukifanya
 
Wakuu naomba kuhafamishwa kati ya Chat GPT-3 na Chat GPT-4.
Uzuri wake na Jinsi ntakavyo weza miliki hata app moja wapo.
Maana ukiingia Playstore naona AI yako mengi mpaka nashindwa nilichukue lipi nihangaike nalo mpaka ela nlio Subscribe irudi.
Maana nliwahi lipia moja kupitia Aitel Monay ela ikakwenda na mpaka asaiv linadai ela nikitaka kulitumia.

Mkwawa nisaidie hapa sio mpaka nikafungue uzi wa hili jambo.
Jaribu hii mkuu


Sina internet ya kukutestia mkuu, jaribu mwenyewe.

Au tumia ushaur wa juu kutumia web,
 
Nadhani hujanielewa,hebu soma upya utanielewa,sijasema China imetoa bali nimeeleza kwanini yeye sio mvumbuzi,na nini anachoweza kukifanya
Mbona kama wewe ndio hujaelewa. Huyo jamaa alikuwa anamjibu mtu hapo juu aliyekuwa anaomba muongozo kuhusu kuipata ChatGPT kupitia Playstore ndio jamaa kamjibu kuwa za Playstore ni za uongo.
Una uhakika haujamtag mtu tofauti mkuu
 
Mchina anatumia export-oriented approach

Ana Copy,kisha Ana Deepen skills then Ana Innovate,,na anasera kabisa,kwa walio soma China wanajua kuna some linaitwa China survey,hakuna kitu kinatengenezwa taifa flani China hajatengeneza
Kwenye copying hakuna kitu kinaitwa innovation. Sasa ume copy kisha ina innovate kitu gani hapo?
 
Hapo nimekuelewa sana
Ila kwenye movie labda zamani, siku hizi Wachina wameshuka sana kwenye movie industry. Wanapitwa hadi na Korea Kusini.

Ila at least naamini sababu ya hii decline sio tech limitations
China ana soko kubwa la Ndani, Entertainment zao mara nyingi hawaangalii soko la Nje, sijui kama unafahamu Manhua, Donghua etc.

Ila kifupi baada ya Tech kukua Animation zimekua zinatengenezwa sana Kuliko Live Action, kwa Ukanda Huo Japan anaongoza Animation zake zinaitwa Anime China anafuatia zinaitwa Donghua, Korea bado sana kufikia level za Hao jamaa, Animation zao zinaitwa Aeni,

Korea wana Manhwa kali ila Manhwa zao kua animated inabidi waende Japan, Manhwa nyingi kama Gosu, Solo leveling etc zimekua animated japan.

Moja ya Donghua kali ni Ne zha ime gross around 700M usd, ukiangalia Movie kali za Kikorea kama Parasite (Around 200m usd), Train to Busan (Around 100m usd) hazifikii hata nusu ya Ki movie cha Animation toka China.

Sio Tu Korea Even Usa movie Chache sana Zimefika 700m usd, to be Exact ni movie 5 tu, Avenger End game, Avatar, Spider man no way Home, Top Gun Maverick na Star wars VII, movie yoyote ambayo sio hio hapo juu ujue imepitwa na hio Animation.

Sio tu Animation hata movie za kawaida bado zinapiga mpunga mrefu sana China, Monster Hunt, Wolf Warrior 2, Battle at lake Changjin etc hio wolf warrior na Battle at lake Changjin zote zimetop Box office nazo pia zina rival kina Avatar na Avengers.

Hivyo mkuu si kweli kwamba Korea amempita china, bado ni wa changa sana compare na soko la China.

Na hapo sijaongelea Hongkong ambayo nayo ina relate sana na soko la Movie China.
 
Kwenye copying hakuna kitu kinaitwa innovation. Sasa ume copy kisha ina innovate kitu gani hapo?
Aise waulize wabunifu wa bidhaa basi,watakuelewesh,sio stori za vibanda vya kahawa,ok ngoja nikueleweshe kidogo copy ninayoizungumzia katika masuala ya uzalishaji wa bidhaa.

katika "Export-oriented Approach "Copy" tuna maanisha kwamba unainakili bidhaa kama ilivyo kisha unaanza kuisoma imeundwa vipi nikiwa na maana ya kwamba unaiba idea then unajiimariha kuunda bidhaa kama ya aina ile(deepen skills) , ukisha jua kuunda kitu kama kile kwa kuwa kukopi ni kosa kisheria unaangalia sehemu ya kufanyia maboresho kidogo au zaidi kwa lengo la kuleta utofauti wa bidhaa yako,hiyo bado inaitwa innovation.
 
Aise waulize wabunifu wa bidhaa basi,watakuelewesh,sio stori za vibanda vya kahawa,ok ngoja nikueleweshe kidogo copy ninayoizungumzia katika masuala ya uzalishaji wa bidhaa.

katika "Export-oriented Approach "Copy" tuna maanisha kwamba unainakili bidhaa kama ilivyo kisha unaanza kuisoma imeundwa vipi nikiwa na maana ya kwamba unaiba idea then unajiimariha kuunda bidhaa kama ya aina ile(deepen skills) , ukisha jua kuunda kitu kama kile kwa kuwa kukopi ni kosa kisheria unaangalia sehemu ya kufanyia maboresho kidogo au zaidi kwa lengo la kuleta utofauti wa bidhaa yako,hiyo bado inaitwa innovation.
Shida yako nadhani ni kingereza.
Ku-innovate kitu ni kuleta kitu kipya, kitu ambacho hakikikuwepo kabla. kwa kiswahili innovation ni uvumbuzi.

Wewe unachanganya kati ya improvement na innovation. Wewe imeiba idea ya kutengeneza baskeli, huwezi kwenda kutengeneza gari ama ndege kwa idea ya baskeli. Utakachokifanya zaidi ni kuboresha pale ulipoona mapungufu, mfano, baskeli ya miguu miwili ukaleta ya miguu mitatu, baskeli ya kawaida ukaleta sport bike nk.

Nipe mfano ya hizo Copycating alizofanya china halafu aka innovate kitu kipya.

Definition ya innovation.
Simply put, innovation is about successfully implementing a new idea and creating value for your customers and stakeholders. Innovation starts with a new idea.
 
China ana soko kubwa la Ndani, Entertainment zao mara nyingi hawaangalii soko la Nje, sijui kama unafahamu Manhua, Donghua etc.

Ila kifupi baada ya Tech kukua Animation zimekua zinatengenezwa sana Kuliko Live Action, kwa Ukanda Huo Japan anaongoza Animation zake zinaitwa Anime China anafuatia zinaitwa Donghua, Korea bado sana kufikia level za Hao jamaa, Animation zao zinaitwa Aeni,

Korea wana Manhwa kali ila Manhwa zao kua animated inabidi waende Japan, Manhwa nyingi kama Gosu, Solo leveling etc zimekua animated japan.

Moja ya Donghua kali ni Ne zha ime gross around 700M usd, ukiangalia Movie kali za Kikorea kama Parasite (Around 200m usd), Train to Busan (Around 100m usd) hazifikii hata nusu ya Ki movie cha Animation toka China.

Sio Tu Korea Even Usa movie Chache sana Zimefika 700m usd, to be Exact ni movie 5 tu, Avenger End game, Avatar, Spider man no way Home, Top Gun Maverick na Star wars VII, movie yoyote ambayo sio hio hapo juu ujue imepitwa na hio Animation.

Sio tu Animation hata movie za kawaida bado zinapiga mpunga mrefu sana China, Monster Hunt, Wolf Warrior 2, Battle at lake Changjin etc hio wolf warrior na Battle at lake Changjin zote zimetop Box office nazo pia zina rival kina Avatar na Avengers.

Hivyo mkuu si kweli kwamba Korea amempita china, bado ni wa changa sana compare na soko la China.

Na hapo sijaongelea Hongkong ambayo nayo ina relate sana na soko la Movie China.
Basi lazima kuwepo movie ambazo zimevunja rekodi ya mauzo kwenye historia ya Chinese film industry.
Lakini siku hizi naona Netflix Wakorea wameexpand sana huko na Wachina siwasikii kabisa. Internationally kwa miaka hii mitatu nimeona Korean movies zinatrend sana internationally kuliko za Kichina.
At least hizo animation zao, huwa naziona ila kwenye normal movies na TV shows naona sikuhizi wamepoa sana ndio maana nikasema hivyo

Maybe hiyo sababu ya kubase sana nchini kwao imefanya nisizisikie sana movie zao kwa miaka hii mitatu, kumbe huko China zinauza sana, tena kutokana na population yao kubwa wanapata faida ya kutosha
 
Basi lazima kuwepo movie ambazo zimevunja rekodi ya mauzo kwenye historia ya Chinese film industry.
Lakini siku hizi naona Netflix Wakorea wameexpand sana huko na Wachina siwasikii kabisa. Internationally kwa miaka hii mitatu nimeona Korean movies zinatrend sana internationally kuliko za Kichina.
At least hizo animation zao, huwa naziona ila kwenye normal movies na TV shows naona sikuhizi wamepoa sana ndio maana nikasema hivyo

Maybe hiyo sababu ya kubase sana nchini kwao imefanya nisizisikie sana movie zao kwa miaka hii mitatu, kumbe huko China zinauza sana, tena kutokana na population yao kubwa wanapata faida ya kutosha
Ukikuta Series ya Kichina Netflix ama Movie kuna possibility kubwa ina mambo ya Ushoga, kwa mabifu yao why Netflix Apromote vitu vya Kichina?

Movie za Kichina utazipata kwenye Vyanzo vya kichina na baadhi ya site za kingereza zinazodeal na vitu vya asia kama Viki, Bilibili, youku etc kwa official source.

Korea kusini ni rafiki wa Usa ndio maana wanapewa sana promo kwenye media za Usa.
 
China ana soko kubwa la Ndani, Entertainment zao mara nyingi hawaangalii soko la Nje, sijui kama unafahamu Manhua, Donghua etc.

Ila kifupi baada ya Tech kukua Animation zimekua zinatengenezwa sana Kuliko Live Action, kwa Ukanda Huo Japan anaongoza Animation zake zinaitwa Anime China anafuatia zinaitwa Donghua, Korea bado sana kufikia level za Hao jamaa, Animation zao zinaitwa Aeni,

Korea wana Manhwa kali ila Manhwa zao kua animated inabidi waende Japan, Manhwa nyingi kama Gosu, Solo leveling etc zimekua animated japan.

Moja ya Donghua kali ni Ne zha ime gross around 700M usd, ukiangalia Movie kali za Kikorea kama Parasite (Around 200m usd), Train to Busan (Around 100m usd) hazifikii hata nusu ya Ki movie cha Animation toka China.

Sio Tu Korea Even Usa movie Chache sana Zimefika 700m usd, to be Exact ni movie 5 tu, Avenger End game, Avatar, Spider man no way Home, Top Gun Maverick na Star wars VII, movie yoyote ambayo sio hio hapo juu ujue imepitwa na hio Animation.

Sio tu Animation hata movie za kawaida bado zinapiga mpunga mrefu sana China, Monster Hunt, Wolf Warrior 2, Battle at lake Changjin etc hio wolf warrior na Battle at lake Changjin zote zimetop Box office nazo pia zina rival kina Avatar na Avengers.

Hivyo mkuu si kweli kwamba Korea amempita china, bado ni wa changa sana compare na soko la China.

Na hapo sijaongelea Hongkong ambayo nayo ina relate sana na soko la Movie China.
Boss hapo kwenye movie zilizo vuka matzo ya $700 ni zaidi ya 20+
 
Back
Top Bottom