Ni kwa nini viongozi wanawake hawana ujasiri wa kutambulisha wenzi wao kama wafanyavyo wanaume?

Ni kwa nini viongozi wanawake hawana ujasiri wa kutambulisha wenzi wao kama wafanyavyo wanaume?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Nimeshuhudia viongozi wanaume huwatambulisha wenzi wao kwa ari na bashasha!! Hupenda kuwasifu na kuwatambulisha mbele za watu.

Ila kwa upande wa viongozi wanawake walio wengi huwa hawapendi kutambulisha wenza wao na mara nyingi ni rahisi sana kumfahamu mke wa kiongozi fulani, ila kinyume chake ni kazi ngumu sana kuwafahamu waume wa viongozi.

Je, unadhani ni kitu gani kinapelekea kujengeka kwa utamaduni huu!?
 
Nadhani mlengwa yyle mama anaebadilisha wanaume kila awamu....alimkuwadia mtoto dsda yake....juzi alipiga magoti kaburini kwa unafiki mbele mama mjana.....shame
 
Nimeshuhudia viongozi wanaume huwatambulisha wenzi wao kwa ari na bashasha!! Hupenda kuwasifu na kuwatambulisha mbele za watu.
Ila kwa upande wa viongozi wanawake walio wengi huwa hawapendi kutambulisha wenza wao na mara nyingi ni rahisi sana kumfahamu mke wa kiongozi fulani , ila kinyume chake ni kazi ngumu sana kuwafahamu waume wa viongozi.
Je unadhani ni kitu gani kinapelekea kujengeka kwa utamaduni huu!?
Kutoka kwenye Natural instinct and the theory of Alpha Male.

Mwanaume ndio kiongozi from the genetic component ya viumbe hai.

Ukiona anakosa ujasiri mwanamke kumtambulisha Mume wake sio kosa lake. Huo uwezo hata akijilazimisha lakini hautoki ndani. She was supposed to be led not leading.

Akianza kumtambulisha yeye anajifeel kama ameoa, kama anajikomba kwa wanaume, ana loose some womanhood value.

Feminist tafadhali sana comment yangu haina feelings its science and humanity.
 
Kutoka kwenye Natural instinct and the theory of Alpha Male.

Mwanaume ndio kiongozi from the genetic component ya viumbe hai...
Ume comment kwa hisia zako za inferiority complex
 
Wanaume ndio hawako comfortable kutambulishwa, wanajiona wadogo.
 
Nimeshuhudia viongozi wanaume huwatambulisha wenzi wao kwa ari na bashasha!! Hupenda kuwasifu na kuwatambulisha mbele za watu.
Ila kwa upande...
Wanaume uwa ni wahuni hawana la zaidi kuwazuga nyumba kubwa kuwa ni first lady nyuma ya pazia anakwenda kula bata singapore na nyumba ndogo!
 
Back
Top Bottom