Ni kwanini Akili yangu inazitafsiri hivi Tawala ( Awamu ) zote za Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Ni kwanini Akili yangu inazitafsiri hivi Tawala ( Awamu ) zote za Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Heshima kwako mkuu
Awamu ya Nyerere

Ya Kujenga Misingi na Maadili mema ya Kuwakomboa Watanzania kutoka kwa Wakoloni na Kuzalishwa Kizazi cha Watu Werevu sana.

Awamu ya Mwinyi

Ya Kuharibu Misingi yote iliyowekwa na kusababisha nchi kuanza Kuyumba Kiuchumi huku Rasilimali nyingi za nchi zikinyakuliwa na Wachache ambao waliiweka nchi Mfukoni.

Awamu ya Mkapa

Ya Kuiimarisha Tanzania Kiuchumi na Kielimu huku Taifa la Tanzania likisifika zaidi Kimataifa kwa kuwa na Serikali imara iliyojua kutatua Changamoto za Watanzania huku hata Thamani nzima ya Pesa ( Shilingi ) ikiwa imeimarika sana.

Awamu ya Kikwete

Ya Kuharibu kabisa Uchumi wa Tanzania, uliozalisha Wezi ( Majangili ) na Mafisadi wengu huku pia Serikali ikiwa ndiyo Kimbilio Kuu la Magenge ya Wauza dawa za Kulevya.

Pia ndiyo Awamu iliyozalisha Watanzania wengi ' Goigoi ' na hata ' Mashoga ' wengi waliibukia hapa hapa.

Na ndiyo Awamu ambayo ililemaza Akili za Watanzania wengi huku wakipenda Kupata Pesa kirahisi ( kwa Kupiga Dili ) na Kusababisha Watanzania wengi ( japo siyo wote ) kupenda zaidi Starehe na siyo Kufanya Kazi.

Lakini pia ndiyo Awamu iliyozalisha Chuki za ' Kidiplomasia ' hasa na Mataifa Jirani kama Malawi na Rwanda kiasi cha hata kutaka Kuigharimu nchi ( Tanzania ) kwani Nguvu ya Malawi na Rwanda Kijeshi na Kiusalama zinajulikana na Tanzania ndiyo ingeathirika zaidi.

Awamu ya Magufuli

Ya Kuimarisha zaidi Miundombinu ya nchi, Kurudisha Nidhamu iliyopotea katika Awamu mbovu na ya hovyo ya Rais Kikwete.

Pia ndiyo Awamu ambayo iliwafungua zaidi Akili Watanzania wengi kujua Thamani zao lakini pia kujua Kiwango kikubwa cha Utajiri Tanzania Iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu.

Na ndiyo Awamu ambayo ilijikita zaidi Kuimarisha na Kuboresha ' Kivitendo ' zaidi Ndoto ' Pevu ' za Awamu ya Kwanza.

Hivyo hivyo ndiyo ilikuwa Awamu Bora kabisa iliyoweza Kupambana vyema na Mafisadi na pia Kuwamaliza vyema tu Wahalifu nchini kama Majambazi na hata Wafanyabiashara wa Dawa za Kulevya.

Vile vile ndiyo Awamu iliyomfanya Mtanzania aweze Kujiamini popote pale, Kujitambua vyema na hata Hadhi ya Elimu nchini kuanza Kuimarika tena.

Na ndiyo Awamu ambayo haikupenda sana ' Kujikomba ' kwa Marafiki ' Wanafiki ' kama ' Wakenya ' ila ikahakikisha inarejesha Uhusiano mwema na Majirani zetu wa ' Kimkakati ' kama Malawi na hasa hasa Taifa ' lililobarikiwa ' zaidi na Mwenyezi Mungu Barani Afrika la Rwanda pamoja na mengineyo tofauti na Awamu mbovu ya Kikwete ambayo iliharibu na ingeigharimu zaidi Tanzania.

Awamu ya Samia

Hii nitawaomba nanyi pia muichambue.
 
Kila mtu anaweza kuweka mazuri/mabaya kulingana na maoni yake...kila awamu ilikuwa na namna yake...ni makosa kufananisha au kulaumu viongozi.
Kuna tofauti kubwa sana za mageuzi na ukuaji wa uchumi, idadi ya watu, siasa na maingiliano ya uchumi wa dunia ...
 
Kila mtu anaweza kuweka mazuri/mabaya kulingana na maoni yake...kila awamu ilikuwa na namna yake...ni makosa kufananisha au kulaumu viongozi.
Kuna tofauti kubwa sana za mageuzi na ukuaji wa uchumi, idadi ya watu, siasa na maingiliano ya uchumi wa dunia ...
Awamu ya Nne 'imeiharibu' tu Tanzania.
 
Awamu ya Nne imefanya mabaya tena usiyoyajua ( msiyoyajua ) kuliko hata Awamu nzuri ya Tano. Tatizo lenu hamfuatilii Mambo.
Hakuna ambalo silifahamu kwa Nchi yangu..
Awamu zote nimeziona na kuzishuhudia..
Awamu ya 5 ndio ya ovyo na ya kishenzi kabisa..
Labda kama ulitaka niandike kwa mtazamo wako wewe..
Nina akili and upstairs am independent.
 
Awamu ya Nyerere

Ya Kujenga Misingi na Maadili mema ya Kuwakomboa Watanzania kutoka kwa Wakoloni na Kuzalishwa Kizazi cha Watu Werevu sana.

Awamu ya Mwinyi

Ya Kuharibu Misingi yote iliyowekwa na kusababisha nchi kuanza Kuyumba Kiuchumi huku Rasilimali nyingi za nchi zikinyakuliwa na Wachache ambao waliiweka nchi Mfukoni.

Awamu ya Mkapa

Ya Kuiimarisha Tanzania Kiuchumi na Kielimu huku Taifa la Tanzania likisifika zaidi Kimataifa kwa kuwa na Serikali imara iliyojua kutatua Changamoto za Watanzania huku hata Thamani nzima ya Pesa ( Shilingi ) ikiwa imeimarika sana.

Awamu ya Kikwete

Ya Kuharibu kabisa Uchumi wa Tanzania, uliozalisha Wezi ( Majangili ) na Mafisadi wengu huku pia Serikali ikiwa ndiyo Kimbilio Kuu la Magenge ya Wauza dawa za Kulevya.

Pia ndiyo Awamu iliyozalisha Watanzania wengi ' Goigoi ' na hata ' Mashoga ' wengi waliibukia hapa hapa.

Na ndiyo Awamu ambayo ililemaza Akili za Watanzania wengi huku wakipenda Kupata Pesa kirahisi ( kwa Kupiga Dili ) na Kusababisha Watanzania wengi ( japo siyo wote ) kupenda zaidi Starehe na siyo Kufanya Kazi.

Lakini pia ndiyo Awamu iliyozalisha Chuki za ' Kidiplomasia ' hasa na Mataifa Jirani kama Malawi na Rwanda kiasi cha hata kutaka Kuigharimu nchi ( Tanzania ) kwani Nguvu ya Malawi na Rwanda Kijeshi na Kiusalama zinajulikana na Tanzania ndiyo ingeathirika zaidi.

Awamu ya Magufuli

Ya Kuimarisha zaidi Miundombinu ya nchi, Kurudisha Nidhamu iliyopotea katika Awamu mbovu na ya hovyo ya Rais Kikwete.

Pia ndiyo Awamu ambayo iliwafungua zaidi Akili Watanzania wengi kujua Thamani zao lakini pia kujua Kiwango kikubwa cha Utajiri Tanzania Iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu.

Na ndiyo Awamu ambayo ilijikita zaidi Kuimarisha na Kuboresha ' Kivitendo ' zaidi Ndoto ' Pevu ' za Awamu ya Kwanza.

Hivyo hivyo ndiyo ilikuwa Awamu Bora kabisa iliyoweza Kupambana vyema na Mafisadi na pia Kuwamaliza vyema tu Wahalifu nchini kama Majambazi na hata Wafanyabiashara wa Dawa za Kulevya.

Vile vile ndiyo Awamu iliyomfanya Mtanzania aweze Kujiamini popote pale, Kujitambua vyema na hata Hadhi ya Elimu nchini kuanza Kuimarika tena.

Na ndiyo Awamu ambayo haikupenda sana ' Kujikomba ' kwa Marafiki ' Wanafiki ' kama ' Wakenya ' ila ikahakikisha inarejesha Uhusiano mwema na Majirani zetu wa ' Kimkakati ' kama Malawi na hasa hasa Taifa ' lililobarikiwa ' zaidi na Mwenyezi Mungu Barani Afrika la Rwanda pamoja na mengineyo tofauti na Awamu mbovu ya Kikwete ambayo iliharibu na ingeigharimu zaidi Tanzania.

Awamu ya Samia

Hii nitawaomba nanyi pia muichambue.
Dogo uwe na heshima kwa mzee Ruksa kama ulikuwa hujazaliw uulize,nyerere nchi ilimshinda akamsusia Ruksa,sigara ,sabuni,mitumba ,dawa ya meno ilikuwa anasa,bila mzee yule Tv ungeisikia kwenye redio ya mbao,uwe na adabu dogo
 
Hakuna ambalo silifahamu kwa Nchi yangu..
Awamu zote nimeziona na kuzishuhudia..
Awamu ya 5 ndio ya ovyo na ya kishenzi kabisa..
Labda kama ulitaka niandike kwa mtazamo wako wewe..
Nina akili and upstairs am independent.
Uzi huu umekuzidi 'IQ' kaa nao mbali tu.
 
Dogo uwe na heshima kwa mzee Ruksa kama ulikuwa hujazaliw uulize,nyerere nchi ilimshinda akamsusia Ruksa,sigara ,sabuni,mitumba ,dawa ya meno ilikuwa anasa,bila mzee yule Tv ungeisikia kwenye redio ya mbao,uwe na adabu dogo
👍👍
 
Awamu ya Nyerere

Ya Kujenga Misingi na Maadili mema ya Kuwakomboa Watanzania kutoka kwa Wakoloni na Kuzalishwa Kizazi cha Watu Werevu sana.

Awamu ya Mwinyi

Ya Kuharibu Misingi yote iliyowekwa na kusababisha nchi kuanza Kuyumba Kiuchumi huku Rasilimali nyingi za nchi zikinyakuliwa na Wachache ambao waliiweka nchi Mfukoni.

Awamu ya Mkapa

Ya Kuiimarisha Tanzania Kiuchumi na Kielimu huku Taifa la Tanzania likisifika zaidi Kimataifa kwa kuwa na Serikali imara iliyojua kutatua Changamoto za Watanzania huku hata Thamani nzima ya Pesa ( Shilingi ) ikiwa imeimarika sana.

Awamu ya Kikwete

Ya Kuharibu kabisa Uchumi wa Tanzania, uliozalisha Wezi ( Majangili ) na Mafisadi wengu huku pia Serikali ikiwa ndiyo Kimbilio Kuu la Magenge ya Wauza dawa za Kulevya.

Pia ndiyo Awamu iliyozalisha Watanzania wengi ' Goigoi ' na hata ' Mashoga ' wengi waliibukia hapa hapa.

Na ndiyo Awamu ambayo ililemaza Akili za Watanzania wengi huku wakipenda Kupata Pesa kirahisi ( kwa Kupiga Dili ) na Kusababisha Watanzania wengi ( japo siyo wote ) kupenda zaidi Starehe na siyo Kufanya Kazi.

Lakini pia ndiyo Awamu iliyozalisha Chuki za ' Kidiplomasia ' hasa na Mataifa Jirani kama Malawi na Rwanda kiasi cha hata kutaka Kuigharimu nchi ( Tanzania ) kwani Nguvu ya Malawi na Rwanda Kijeshi na Kiusalama zinajulikana na Tanzania ndiyo ingeathirika zaidi.

Awamu ya Magufuli

Ya Kuimarisha zaidi Miundombinu ya nchi, Kurudisha Nidhamu iliyopotea katika Awamu mbovu na ya hovyo ya Rais Kikwete.

Pia ndiyo Awamu ambayo iliwafungua zaidi Akili Watanzania wengi kujua Thamani zao lakini pia kujua Kiwango kikubwa cha Utajiri Tanzania Iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu.

Na ndiyo Awamu ambayo ilijikita zaidi Kuimarisha na Kuboresha ' Kivitendo ' zaidi Ndoto ' Pevu ' za Awamu ya Kwanza.

Hivyo hivyo ndiyo ilikuwa Awamu Bora kabisa iliyoweza Kupambana vyema na Mafisadi na pia Kuwamaliza vyema tu Wahalifu nchini kama Majambazi na hata Wafanyabiashara wa Dawa za Kulevya.

Vile vile ndiyo Awamu iliyomfanya Mtanzania aweze Kujiamini popote pale, Kujitambua vyema na hata Hadhi ya Elimu nchini kuanza Kuimarika tena.

Na ndiyo Awamu ambayo haikupenda sana ' Kujikomba ' kwa Marafiki ' Wanafiki ' kama ' Wakenya ' ila ikahakikisha inarejesha Uhusiano mwema na Majirani zetu wa ' Kimkakati ' kama Malawi na hasa hasa Taifa ' lililobarikiwa ' zaidi na Mwenyezi Mungu Barani Afrika la Rwanda pamoja na mengineyo tofauti na Awamu mbovu ya Kikwete ambayo iliharibu na ingeigharimu zaidi Tanzania.

Awamu ya Samia

Hii nitawaomba nanyi pia muichambue.


Kwako wewe:-
Nyerere ✔, Mwinyi ❌, Mkapa ✔, Kikwete❌, Magufuli✔, Samia bila shaka kwako itakuwa ❌.

Kwangu mimi ni kinyume chake. Hao unaowapenda katika tawala zao walijifanya Miungu watu na wakasahau kuwa Yupo Mungu mwenyewe.
 
Dogo uwe na heshima kwa mzee Ruksa kama ulikuwa hujazaliw uulize,nyerere nchi ilimshinda akamsusia Ruksa,sigara ,sabuni,mitumba ,dawa ya meno ilikuwa anasa,bila mzee yule Tv ungeisikia kwenye redio ya mbao,uwe na adabu dogo
Nimeanza kuona TV mwaka 1983 je, huo ( huu ) Mwaka Rais Mstaafu Mzee Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania? Usinilazimishe nikaanza ' Kukudharau ' na Wewe sawa?
 
Kwako wewe:-
Nyerere ✔, Mwinyi ❌, Mkapa ✔, Kikwete❌, Magufuli✔, Samia bila shaka kwako itakuwa ❌.

Kwangu mimi ni kinyume chake. Hao unaowapenda katika tawala zao walijifanya Miungu watu na wakasahau kuwa Yupo Mungu mwenyewe.
Thanks too for knowing this in advance.
 
Awamu ya Nyerere

Ya Kujenga Misingi na Maadili mema ya Kuwakomboa Watanzania kutoka kwa Wakoloni na Kuzalishwa Kizazi cha Watu Werevu sana.

Awamu ya Mwinyi

Ya Kuharibu Misingi yote iliyowekwa na kusababisha nchi kuanza Kuyumba Kiuchumi huku Rasilimali nyingi za nchi zikinyakuliwa na Wachache ambao waliiweka nchi Mfukoni.

Awamu ya Mkapa

Ya Kuiimarisha Tanzania Kiuchumi na Kielimu huku Taifa la Tanzania likisifika zaidi Kimataifa kwa kuwa na Serikali imara iliyojua kutatua Changamoto za Watanzania huku hata Thamani nzima ya Pesa ( Shilingi ) ikiwa imeimarika sana.

Awamu ya Kikwete

Ya Kuharibu kabisa Uchumi wa Tanzania, uliozalisha Wezi ( Majangili ) na Mafisadi wengu huku pia Serikali ikiwa ndiyo Kimbilio Kuu la Magenge ya Wauza dawa za Kulevya.

Pia ndiyo Awamu iliyozalisha Watanzania wengi ' Goigoi ' na hata ' Mashoga ' wengi waliibukia hapa hapa.

Na ndiyo Awamu ambayo ililemaza Akili za Watanzania wengi huku wakipenda Kupata Pesa kirahisi ( kwa Kupiga Dili ) na Kusababisha Watanzania wengi ( japo siyo wote ) kupenda zaidi Starehe na siyo Kufanya Kazi.

Lakini pia ndiyo Awamu iliyozalisha Chuki za ' Kidiplomasia ' hasa na Mataifa Jirani kama Malawi na Rwanda kiasi cha hata kutaka Kuigharimu nchi ( Tanzania ) kwani Nguvu ya Malawi na Rwanda Kijeshi na Kiusalama zinajulikana na Tanzania ndiyo ingeathirika zaidi.

Awamu ya Magufuli

Ya Kuimarisha zaidi Miundombinu ya nchi, Kurudisha Nidhamu iliyopotea katika Awamu mbovu na ya hovyo ya Rais Kikwete.

Pia ndiyo Awamu ambayo iliwafungua zaidi Akili Watanzania wengi kujua Thamani zao lakini pia kujua Kiwango kikubwa cha Utajiri Tanzania Iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu.

Na ndiyo Awamu ambayo ilijikita zaidi Kuimarisha na Kuboresha ' Kivitendo ' zaidi Ndoto ' Pevu ' za Awamu ya Kwanza.

Hivyo hivyo ndiyo ilikuwa Awamu Bora kabisa iliyoweza Kupambana vyema na Mafisadi na pia Kuwamaliza vyema tu Wahalifu nchini kama Majambazi na hata Wafanyabiashara wa Dawa za Kulevya.

Vile vile ndiyo Awamu iliyomfanya Mtanzania aweze Kujiamini popote pale, Kujitambua vyema na hata Hadhi ya Elimu nchini kuanza Kuimarika tena.

Na ndiyo Awamu ambayo haikupenda sana ' Kujikomba ' kwa Marafiki ' Wanafiki ' kama ' Wakenya ' ila ikahakikisha inarejesha Uhusiano mwema na Majirani zetu wa ' Kimkakati ' kama Malawi na hasa hasa Taifa ' lililobarikiwa ' zaidi na Mwenyezi Mungu Barani Afrika la Rwanda pamoja na mengineyo tofauti na Awamu mbovu ya Kikwete ambayo iliharibu na ingeigharimu zaidi Tanzania.

Awamu ya Samia

Hii nitawaomba nanyi pia muichambue.
Wakati wa Kikwete kuna mtoto alilia asomeshwe masomo ya Ufisadi ili apige pesa.

Anyways..so far Mama anaendelea vizuri huku akibebwa na wazalendo waliochujwa na JPM kwà kuchapa Kazi.

Wakitokea hao wazalendo tutaanza kumjua vizuri zaidi.
 
It doesn't matter kuusoma uzi wako wote..
JF is a public wall kwahiyo ukipita humu unakutana na mambo mengi mazuri tu na mengine kinyume chake...mfano ndio kama huo upumbavu uliouandika.
Huna 'IQ ' ya 'Kuuelewa' huu 'Uzi' kalale.
 
Dogo uwe na heshima kwa mzee Ruksa kama ulikuwa hujazaliw uulize,nyerere nchi ilimshinda akamsusia Ruksa,sigara ,sabuni,mitumba ,dawa ya meno ilikuwa anasa,bila mzee yule Tv ungeisikia kwenye redio ya mbao,uwe na adabu dogo


Msamehe huyo kwani zama za mzee RUXA huyo alikuwa bado hata "kiunoni" kwa dingi wake hajafika.

Mzee Ruxa ndiye aliyeruhusu watz bara kumiliki TV, Nyerere hakutaka kabisa Watz tumiliki TV wakati majirani zetu wakitucheka.

Zama zile zilikuwa "The dark days" Nyerere akajiuzulu kwa style ya "KUNG'ATUKA".
 
Msamehe huyo kwani zama za mzee RUXA huyo alikuwa bado hata "kiunoni" kwa dingi wake hajafika.

Mzee Ruxa ndiye aliyeruhusu watz bara kumiliki TV, Nyerere hakutaka kabisa Watz tumiliki TV wakati majirani zetu wakitucheka.

Zama zile zilikuwa "The dark days" Nyerere akajiuzulu kwa style ya "KUNG'ATUKA".
Nimeanza kuona 'TV' May mwaka 1983.
 
Back
Top Bottom