Mycojkhan
JF-Expert Member
- Jul 12, 2024
- 803
- 1,498
Hapo sawa🙌Hakikisha Una hela ya kula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa🙌Hakikisha Una hela ya kula
Kufa kwa Yesu kulikuwa mwisho wa Amri 10 ?Kifo cha Yesu ndio ilikuwa mwisho wa sheria, na hata zile kanuni za siku ya sabato hakuna hata msabato mmoja anayezifuata
Kumbuka kuna kitu kinaitwa Agano... and kila siku ni siku ya Mungu.. hizo ni community tu watu wanasali kila siku.. Kasome Injili hautapata shida na Sabato kwani Sabato ni for Men not Men for Sabato.Moja ya amri kumi ni kuabudu siku ya sabato, Siku takatifu iliyotengwa kila wiki kwa ajili ya KUPUMZIKA NA KUABUDU, Sabato haiwezi kuwa kila siku kwasababu sabato ni siku ya mapumziko, huwezi kupumzika kila siku kwa kisingizio cha sabato.
Ni tangu enzi za Nabii Musa alieshuka na amri 10 aliabudu sabato siku ya Jumamosi, Hata Yesu aliikuta siku hio na kuiabudu na hadi sasa ukienda Israel siku ya jumamosi maduka hufungwa.
Inashangaza kuona baadhi ya wakristo wanaabudu jumapili wakati sio siku ya sabato
Ukiijua histori ya dakika,saa,siku,wiki,mwezi hadi mwaka , utaachana na hizo hadithi za sabato ya jumamosi sijui jumapili na siku gani sijui.Shida ni kua wengi tunasali/tunafata Imani kimapokea ,Lakini ukweli wa siku sahihi ya Ibada mapadri maparoko na papa wanajua ni jumamosi na wanakiri kua ilibadilishwa .
Kwa sasa Cha muhimu ni kusali kwa roho na kweli siku Haina pakutupeleka mkuu.
Kila siku ni siku ya Mungu lakini sio kila siku ni sabato kwasababu Huwezi kupumzika kila sikuKumbuka kuna kitu kinaitwa Agano... and kila siku ni siku ya Mungu.. hizo ni community tu watu wanasali kila siku.. Kasome Injili hautapata shida na Sabato kwani Sabato ni for Men not Men for Sabato
70 ya yaliyoandikwa kwenye again la kale ni mila za zamani za kiyahudi. Kama manabii na mitume wasingeibukia maneno hayo usingeyaona kwenye maandiko, vitu kama divai, MKATE, kutokula nguruwe, sabato , ubani , kanzu yote hayo ni tamaduni manabii walizokuta jamii zao Wana practice na wao wakaishi nazo. Ni Yesu pekee aliyetenganisha kati ya neno la Mungu na Mila za kiyahudi hadi wakakasirika na kumuuaSiku ya sabato sio Mila wala Tamaduni, NI AMRI !!
Unajua hesabu za siku zinavyo hesabiwa? Ukisheherekea Siku yako ya kuzaliwa monday 1st January basi next year utasheherekea 31st December so actuary utakuwa unasheherekea the wrong day according to rotation ya dunia kuzunguka Jua.. Kifupi Sabato ni ya Mungu wa Musa aliwaagiza waisrael waikumbuke na kuitakasa.. kwa hesabu zetu za kuzunguka Jua kuhesabu siku na mwaka tupo nje kabisa tokea siku ya kwanza.. kuna wakati tuna siku 365 na robo na kuna time mwaka mfupi na kama tokea dunia iumbwe siku zilihesabika 1 to 7 hadi leo hii sabato ingekuwa inangukia siku yeyote either Monday tuesday n.kKila siku ni siku ya Mungu lakini sio kila siku ni sabato kwasababu Huwezi kupumzika kila siku
Uneacha dhambi zote za uzinzi, uasherati, uongo. Umeona hii tu ya Sabato ndiyo ya kukomaa nayo? Kitu gani so special sana kuhusu sabato?Moja ya amri kumi ni kuabudu siku ya sabato, Siku takatifu iliyotengwa kila wiki kwa ajili ya KUPUMZIKA NA KUABUDU, ni siku aliyoiweka Mungu kuturuhusu tupumzike nasi tunamshukuru kwa kujumuika kwenye nyumba za ibada kumuabudu kisha tunarudi kwetu kupumzika,
Ni tangu enzi za Nabii Musa alieshuka na amri 10 aliabudu sabato siku ya Jumamosi, Hata Yesu aliikuta siku hio na kuiabudu na hadi sasa ukienda Israel siku ya jumamosi maduka hufungwa.
Inashangaza kuona baadhi ya wakristo wanaabudu jumapili wakati sio siku ya sabato
MUHIMU: Kila siku ni siku ya Mungu lakini sio kila siku ni sabato kwasababu siku nyingine ni za kazi.
Ni ruksa kuwa atheist, Wengine wanaamini vidole vyao ndio miungu yao vinawalisha, kuwavisha, n.k.Kama mpaka leo kichwani kwako unawaza siku fulani ndo sahihi kuabudu basi pole sana.
Huo ni mjadala mwengine kabisa fungulia uzi wake, hapa kinachozungumziwa ni sabato, Siku aliyoitoa Mungu kuturuhusu kupumzika nasi kwa kumshukuru tunajumuika nyumba za ibada kumshukuru kisha kurudi majumbani kupumzika.70 ya yaliyoandikwa kwenye again la kale ni mila za zamani za kiyahudi. Kama manabii na mitume wasingeibukia maneno hayo usingeyaona kwenye maandiko, vitu kama divai, MKATE, kutokula nguruwe, sabato , ubani , kanzu yote hayo ni tamaduni manabii walizokuta jamii zao Wana practice na wao wakaishi nazo. Ni Yesu pekee aliyetenganisha kati ya neno la Mungu na Mila za kiyahudi hadi wakakasirika na kumuua
Ni uamuzi wako wala huzuiwi kuzini ama kutenda dhambi yoyote, umepewa uhuru wa kuyafanya lakini pia umepewa utimamu wa kujua unachofanya sio sahihi ni dhambi.Uneacha dhambi zote za uzinzi, uasherati, uongo. Umeona hii tu ya Sabato ndiyo ya kukomaa nayo? Kitu gani so special sana kuhusu sabato?
Je nikishika hiyo sabato nikawa mzinzi ina maana yoyote?
Mwenye amri zake 10 aliempa Musa azilete tuziabudu (akiwemo na Yesu aliezitii)Hivi nani alisema kwamba sabato ni jumamosi?
Ni tangu enzi za Musa, Yesu mpaka sasa ukienda Israel siku ya Sabato ni ile ile miaka nenda rudi, JUMAMOSIIwe jumamosi ,iwe jumapili, wewe inakusaidia nini? Alafu mna uhakika gani kuwa siku ya 7 ni jumamosi, hamjui kuwa kalenda ilikwisha badirishwa mara nyingi na huwezi kujua ni lini hao wayahudi waliabudu siku ya 7, hakuna mwenye ushahidi kuwa siku ya 7 ni jmos,
DINI NI UTAPELI, ila Mungu, the Creator YUPOOOOOO, ALIKUWEPO NA ATAENDELEA KUWEPOMungu hayupo, na dini ni utapeli.
Yes, Dini nyingi zimekuwa taasisi za maslahi ya kidunia zaidi Money and Power.DINI NI UTAPELI, ila Mungu, the Creator YUPOOOOOO, ALIKUWEPO NA ATAENDELEA KUWEPO
Najua ila why jumamosi??Mwenye amri zake 10 aliempa Musa azilete tuziabudu (akiwemo na Yesu aliezitii)