Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Cha kushangaza huwa anajidai nayeye ni Muarabu kumbe ni Mbantu wa Mkuranga hapo
 
Umemaanisha nini kusema mkristo wa kweli ni muislam?
Namaanisha nilichokisema, Waislam ndiyo wanafata mafundisho ya Yesu Kristo to the dot.

Wanaojiita wakristo hawafati mafundisho ya Yesu wanafata mafundisho ya paulo na kanisa.

Kumbuka kuwa Uislam haubagui mitume wa Mwenyezi Mungu na Uislam unatufundisha kuwa mitume wote walikuja na ujumbe mmoja kila mmoja wao kwa wakati wake na Yesu Kristo ni mtume kwa Waislam.
 
Anha nimekuelewa,Sasa kwanini mafundisho ya ukristo yanapingana na uislam? Mfano swala la ndoa ya wake wengi hairuhusiwi na Yesu Kristo mwenyewe alilisema,swala la vyakula Yesu aliruhusu kula chochote lakini naskia waislam hamruhisiwi baadhi ya vyakula, kiufupi Kuna mambo mengi sana yanayotofautiana kati ya uislam na ukristo
 
Wayahudi ndio wanaoongoza Kuoana wenyewe Kwa wenyewe,achilia mbali mtu mweusi hata hao wazungu wenzao hawapewi kuoa mabinti wa kiyahudi.
 
Hivi unajua hata umeme uligunduliwa lini hadi useme waliepeleka na taa za barabarani?
Huku tunapenda kuelezana kwa hoja na siyo hadithi. Nipe ushahidi wa ulichokisema.
 
Hili povu lote linatoka kwenye tecno F1 😂😂😂...

Ama kweli mama anaupiga mwingi
 
Sasa hata kama wakarashi 'quraysh' huwajui mimi nitakufundisha nini. Nikikutajia waberiberi 'berbers' utasema mimi nawagawa waarabu
Mimi mwenyewe mwarabu wa Oman haya nifundishe makabila yangu yapoje na nisichokijua.
 
Hivi unajua hata umeme uligunduliwa lini hadi useme waliepeleka na taa za barabarani?
Huku tunapenda kuelezana kwa hoja na siyo hadithi. Nipe ushahidi wa ulichokisema.
Nani kakudanganya taa za barabarani zilianza na Umeme? Watu wanatumia mafuta na gesi karne na karne, unaijua karabai?


Hio ni taa ya barabarani ambayo ipo preserved toka miaka hio ya Ottoman.

Kitu Gani hapo juu hukiamini weka nikuwekee Ushahidi wake kuwepo.
 

Your browser is not able to display this video.

Nani atakuozesha mtoto wake kwa tabia hizi za kupenda vya bure??
 
Weka nistari siyo ya kwako, ya Yesu.

Unayo?
 
Wewe chukulia unavyopenda, Chukulia kuwa Islam ni dini mpya kabisa kamanutakavyo. Hilo lisikupe shida.

Kwa hiyo unanambia nirudi kwenye dunia ya analog niwachane na dunia ya digital?

Uislam ni mwema sana.
 
Weka nistari siyo ya kwako, ya Tesu.

Unayo?
Marko7:17-23 "Alipouacha umati Yesu akaingia ndani ya nyumba,na wanafunzi wakaanza kumuuliza kuhusu mfano huo,Basi akawaambia je ninyi hamwelewi kama wao? Je hamjuwi mtu hawezi kuchafuliwa na kitu kinachoingia ndani yake? kwakuwa hakiingi moyoni mwake bali tumboni,Kisha hutoka na kuingia chooni? KWAHIYO AKATANGAZA VYAKULA VYOTE KUWA SAFI,Tena akasema kile kinachotoka ndani ya mtu ndicho humchafua,kwamaana kutoka ndani moyoni mwa mtu,hutoka mawazo mabaya,uasherati,wizi,mauwaji,uzinzi,pupa,uwovu,udanganyifu,mwenendo mpotovu,jicho lenye wivu,makufuru,majivuno,na ukosefu wa akili.Mambo yote hayo maovu hutoka ndani nayo humchafua mtu". Kulingana na haya maandiko kwa wakristo ni halali kula chakula chochote lakini kwa waislam naskia nguruwe ni halam,so hapo tu unaona utofauti wa ukristo na uislam,Bado sijagusia kuhusu ndoa ya wake wengi,pombe n.k
 
Wacha kudanganya watu .
Andiko la MARKO sio la YESU mwana wa MARIA.

MARK SIO MMOJA KTK WANAFUNZI WA YESU. Sasa lini alimsikia Yesu akitamka chochote?
Nafahamu hili litakukuchanganya uanze kutoa mapovu ovyo manake siku zote umedanganywa .

Anza na hii kwanza.

Waandishi wa AGANO JIPYA ndio wanadai Yesu kasema hivi na vile.
Sasa ili tupate kuwafahamu hao waandishi tuanze na MAJINA YAO KWANZA.
JE Hawa waandishi wa BIBLIA BABA ZAO NI NANI?

Matthew who?
Mark who?
Luke who?
and John who?
Umeshawahi kuona MUANDISHI YYT DUNIANI ANA JINA MOJA TU?

Bila kujua majina ya WAZAZI WAO vipi tutaweza kukubali wanachosema kuwa ni KWELI? Na hali ya kuwa HAKUNA YYT ktk hao ALIWAHI KUWA MWANAFUNZI WA YESU?

Naomba Jibu. Acha mapovu
 
Ubaguzi ni hulka
Na kila jamii ina ubaguzi
Mwarabu wa saudia anambagua Al burush yaani mwarabu wa Iran
Mwarabu wa dubai au UAE anamuona mwarabu wa Africa sio muarabu ni muafrica
 
Hufaham lolote kuhusu Biblia inaonyesha,ungekuwa unafaham maana ya injili usingekurupuka kuleta ubishi wako,na ww sio mkristo ndiomaana hufaham hao waandishi wa injili ni wakina nani,wakristo wote Dunian wanatumia Biblia kama reference,Sasa kama unabishana na maandiko basi ni wazi huujuwi ukristo,na aliyeuliza alitaka nimpe vifungu vya Bible kama reference,fikiri kabla ya kutenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…