Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Ooh hivi nani wanakujengea Bwawa la Umeme?

Kwa kukujuza tu wanaitwa Arab Contractors.


Hivi leo hii nani wanakulisha ngano swaafi kabisa Tanzania hii? Hata huko kijijini kwenu, madongo kuporomoka.

Ukipata jibu lifanye siri yako.
Bibi anatoka povu kumtetea Mwarabu [emoji1787][emoji1787]

Wavaa kobazi mna Shobo na waarabu mpaka mnatia aibu. Ila sasa mwarabu mwenyewe hana shobo na nyie kabisa... yaani hana time kabisaaaaa
 
Bibi anatoka povu kumtetea Mwarabu [emoji1787][emoji1787]

Wavaa kobazi mna Shobo na waarabu mpaka mnatia aibu. Ila sasa mwarabu mwenyewe hana shobo na nyie kabisa... yaani hana time kabisaaaaa
Wamekuletea ustaarabu hao.
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslaho aidha uwe na cheo kikubwa ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwatolea nje.
Waarabu ni kama wachaga ukiwa unajimudu kifedha hukataliwi kwakuwa wanajua mtoto wao haendi kula msoto ikiwa kinyume wanajua mtoto anaenda kula msoto nani anapenda msoto?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Unafuatilia nini ?!!!

Hivi ukijiamini unabaguliwaje ?!!

Unaanzaje kubaguliwa??!!!

Iwe na mwarabu ,mhindi ,mzungu ama mchina?!!!

Waafrika tu wako wabaguzi dhidi ya wenzao....kikabila ,rangi ,kipato....ssmbuse watu wenye rangi nyeupe?!!!

Dunia ya sasa ya SOKO HURIA na MAARIFA mapana...vilio vya kubaguliwa havina maana....

Unakuwa wapi mpaka mtu anakubagua?!!

Mfukoni mwake ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Kwanini uwe mfukoni mwake ?!!

Why desperation?!!!

Umesema kuwa mwafrika hata awe muislam na kuwa (Qari) fundi wa kusoma Quran hawezi kuoa hao waarabu...right?!!!

Nisikilize....watu wengi hawana imani ya dini vile wanavyojionyesha ukubwa wa kuwa nayo....iwe hao waarabu ama wengineo....[emoji1787]

Sasa unataka mwarabu asiye na IMANI kubwa ya dini akupe binti yake kwa kuwa tu wewe "una sauti " kinanda ya kusoma Quran ?!!!

Hao waarabu wengi ni wafanyabiashara....akili zao ziko katika biashara na KUPATA FEDHA eti wakuhusudu wewe MRANGI ,MDIGO ,MUHA uliyehifadhi msahafu kwa kichwa na huna kitu wakupe BINTI YAO kwa kigezo hicho tu [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] labda zamani....sikatai..ziko familia chache ila wengi wakitaka KUZISIKIA HIZO SAUTI NZURI zikisoma QURAN(tajweed ,tartil na hukumu zake) wanawaita walimu wa madrassa wakitoa elfu 50...walimu hao wanakuja na vitoto vya madrassah na kuanza kusoma Quran tukufu ,ikifuatiwa na WASSILATU SHAFI ,Kitabu cha Maulid Barzanji ,wanapiga madufu na nari zake wakimaliza wanajipiga BIRIANI chuzi zitooo...nyumba ya mwarabu tena ,kitonga mseleleko....shughuli ikiisha wanawaaga mpaka siku nyingine...ustadh anakwenda kutamba kijiwe cha kahawa na Al Kasus....[emoji1787][emoji1787]
Ya nini mwarabu "afuge mkwe" wa kirangi ,kiha ,kisambaa ,kinyaturu ,kimeru kisa tu NI FUNDI WA KUSOMA QURAN?!!![emoji1787][emoji1787]

Dunia imebadilika....fedha fedha fedha si hao waarabu si wewe Mngoni.....[emoji1787]

#SiempreJMT[emoji7]
#MamaAnaupigaMwingi[emoji7]

#DP World ndio habari ya mjini [emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ukweli mchungu
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslaho aidha uwe na cheo kikubwa ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwatolea nje.
Wazungu=Yesu=Rangi km yao
Waarabu=Mtume Muhammad=Sijui rangi yake
Waafrika=Shetani=Mweusi,ana pembe na macho ya kutisha.

Nje ya hapo ni kiini macho ili wapate kitu au huduma kutoka kwako.
 
Unafuatilia nini ?!!!

Hivi ukijiamini unabaguliwaje ?!!

Unaanzaje kubaguliwa??!!!

Iwe na mwarabu ,mhindi ,mzungu ama mchina?!!!

Waafrika tu wako wabaguzi dhidi ya wenzao....kikabila ,rangi ,kipato....ssmbuse watu wenye rangi nyeupe?!!!

Dunia ya sasa ya SOKO HURIA na MAARIFA mapana...vilio vya kubaguliwa havina maana....

Unakuwa wapi mpaka mtu anakubagua?!!

Mfukoni mwake ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Kwanini uwe mfukoni mwake ?!!

Why desperation?!!!

Umesema kuwa mwafrika hata awe muislam na kuwa (Qari) fundi wa kusoma Quran hawezi kuoa hao waarabu...right?!!!

Nisikilize....watu wengi hawana imani ya dini vile wanavyojionyesha ukubwa wa kuwa nayo....iwe hao waarabu ama wengineo....[emoji1787]

Sasa unataka mwarabu asiye na IMANI kubwa ya dini akupe binti yake kwa kuwa tu wewe "una sauti " kinanda ya kusoma Quran ?!!!

Hao waarabu wengi ni wafanyabiashara....akili zao ziko katika biashara na KUPATA FEDHA eti wakuhusudu wewe MRANGI ,MDIGO ,MUHA uliyehifadhi msahafu kwa kichwa na huna kitu wakupe BINTI YAO kwa kigezo hicho tu [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] labda zamani....sikatai..ziko familia chache ila wengi wakitaka KUZISIKIA HIZO SAUTI NZURI zikisoma QURAN(tajweed ,tartil na hukumu zake) wanawaita walimu wa madrassa wakitoa elfu 50...walimu hao wanakuja na vitoto vya madrassah na kuanza kusoma Quran tukufu ,ikifuatiwa na WASSILATU SHAFI ,Kitabu cha Maulid Barzanji ,wanapiga madufu na nari zake wakimaliza wanajipiga BIRIANI chuzi zitooo...nyumba ya mwarabu tena ,kitonga mseleleko....shughuli ikiisha wanawaaga mpaka siku nyingine...ustadh anakwenda kutamba kijiwe cha kahawa na Al Kasus....[emoji1787][emoji1787]
Ya nini mwarabu "afuge mkwe" wa kirangi ,kiha ,kisambaa ,kinyaturu ,kimeru kisa tu NI FUNDI WA KUSOMA QURAN?!!![emoji1787][emoji1787]

Dunia imebadilika....fedha fedha fedha si hao waarabu si wewe Mngoni.....[emoji1787]

#SiempreJMT[emoji7]
#MamaAnaupigaMwingi[emoji7]

#DP World ndio habari ya mjini [emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mwenye masikio ya kusikia na asikie.
Mwisho wa kunukuu!
 
Sisi ni wabaguzi kuliko hata hao tunaowalaumu.

Ngoja nisimulie hiki kisa Kwa kifupi

Siku moja nikiwa mapumziko nilikutana na mtoto wa kiarabu kwenye restaurant moja mjini, alikua na rafiki yake mweusi.

Nilipiga nae story mbili tatu then nikaomba contact, Mtoto akadai simu yake kaiacha chini kwenye gari but akamuomba rafikie ( mweusi) achukue contact yangu ili baadae anitafute.

Cha kushangaza mweusi alitaka kuzingua kuchukua contact yangu [emoji3][emoji3] hata sijui alinichukulia vipi!
Mwarabu akarudia tena .....hey I say take his contacts plz!!!!

Ndo akawa ameichukua .

Mwarabu alinitafuta usiku na tukawa vizuri mpaka Leo.

Kwa hiyo ubaguzi tunao sisi wenyewe kabla ya kuwanyooshea vidole wengine.
Huu ni ubaguzi au wivu
 
SASA KAMA MTU UNAUZA BANDARI ILI UPATE HELA YA UPATU MWANAE NI KITU GANI KWAKO?
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
Japo ni ubaguzi kiukweli Mwarabu au Muhindi kuoa mtu mweusi ni hasara sana

Watu weusi tuna matatizo mengi kuliko faida.
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
Wewe mwongo mbona mimi nina wake wawili toka Arabia
 
Mtaje mmoja aliyefadhili timu Zanzibar au kutoa msaada wowote ule?
Umeme mnaotumia unajua unazalishwa wapi? Kwa asilimia kubwa umeme wa Zanzibar mnategemea mainland Tanganyika kupitia submarine cable, kuna cable ina km 39 kwenda unguja toka Dsm, Pemba hapo kuna cable inatoka Tanganyika ina km 75, au tuwakatieni umeme😆, hio ni moja niendelee?
 
Umeme mnaotumia unajua unazalishwa wapi? Kwa asilimia kubwa umeme wa Zanzibar mnategemea mainland Tanganyika kupitia submarine cable, kuna cable ina km 39 kwenda unguja toka Dsm, Pemba hapo kuna cable inatoka Tanganyika ina km 75, au tuwakatieni umeme😆, hio ni moja niendelee?
Unadhihirisha ujinga wako.Kwa hiyo Tanesco wanapokuuzia umeme wanakusaidia?Taja mfadhili wacha kuzungukazunguka.Au uwezo wako wa kufikiri ndio umefikia hapo?
 
Back
Top Bottom