Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

huyohuyo mchambia mchanga na mawe
Sasa bi mkubwa chuki yako imeanza kwa waarabu.
Haya na sisi wanyamwezi pia unatuchukia?
Au tatizo Uislamu?
Km we kafiri usiogope kusema. Unadai waarabu wamekutesa kumbe chuki yako iko juu ya watu wasiokula nguruwe na kunywa mataptap.
Hio chuki ina madhara sana manake piga ua Waislamu lzm utawahitaji tu.
Km sio kwenye ajira basi kwenye kukupima tezi dude hospital
 
Sasa bi mkubwa chuki yako imeanza kwa waarabu.
Haya na sisi wanyamwezi pia unatuchukia?
Au tatizo Uislamu?
Km we kafiri usiogope kusema. Unadai waarabu wamekutesa kumbe chuki yako iko juu ya watu wasiokula nguruwe na kunywa mataptap.
Hio chuki ina madhara sana manake piga ua Waislamu lzm utawahitaji tu.
Km sio kwenye ajira basi kwenye kukupima tezi dude hospital
ushapanic pita huko na mapunguani wenzio,,,unadhani kila mtu anashobokea hayo madini yenu ya kitumwa
 
Kuna mmoja alikua na kacheo flani ivi, aise alikua anachuki za kidini, hawapendi waislamu, leo yuko wapiii, ameshajifia na huko alipo anakipata anachostahili.
Wa namna hio wako kila mahala . Bahti mbaya ukikutana nao kwenye ofisi za serikali utadhani mali ya baba zao.
Wakiona jina la kisharifu utadhani wameona simba.
Roho zao mbaya kuliko sura zao.
Mungu awape imani waujue ukweli kabla ya ile siku kuu
 
ushapanic pita huko na mapunguani wenzio,,,unadhani kila mtu anashobokea hayo madini yenu ya kitumwa
Sio ku panic
Naona umeanza kutukana waarabu sasa umehamia kwa waislam.
Tatizo nini.?
Waislam wamekufanza kipi kibaya .
Sema tukusaidie
 
Sio ku panic
Naona umeanza kutukana waarabu sasa umehamia kwa waislam.
Tatizo nini.?
Waislam wamekufanza kipi kibaya .
Sema tukusaidie
angalia alieanza kwenda huko,,,mie nimefata upepo tu kwanza wapi nimetaja chochote kinachohusiana na uislam???? shida walamba makobazi ya waarabu mnamchanganya mwarabu na uislamu
 
angalia alieanza kwenda huko,,,mie nimefata upepo tu kwanza wapi nimetaja chochote kinachohusiana na uislam???? shida walamba makobazi ya waarabu mnamchanganya mwarabu na uislamu
Wako waarabu wakristo kama wewe. Tatizo lako inaonekana sio waarabu bali ni waislamu.
Umeanza kutaja sijui tende za bure sijui vilemba.
Sasa nakushauri tu.
Chuki dhidi ya waislamu itakuathiri mwenyewe manake wako kila kona.
We utaishi wapi ukakosa waislamu ambao unawategemea.
Mimi Wafanyakazi wangu wengi wakristo Tatizo lako labda nj ajira.

Sema usaidiwe usije kufa ovyo.
 
Wako waarabu wakristo kama wewe. Tatizo lako inaonekana sio waarabu bali ni waislamu.
Umeanza kutaja sijui tende za bure sijui vilemba.
Sasa nakushauri tu.
Chuki dhidi ya waislamu itakuathiri mwenyewe manake wako kila kona.
We utaishi wapi ukakosa waislamu ambao unawategemea.
Mimi Wafanyakazi wangu wengi wakristo Tatizo lako labda nj ajira.

Sema usaidiwe usije kufa ovyo.
Kama ulivyojibu kwani tende anakula muislam tu?? na malemba wanavaa waislam peke yao mbona singasinga hajamaind........teeh ajira nitegemee kuajiriwa na mtumwa wa dini za majahazi,,,we nenda kasalimie majini yako mida yenyewe ndo hii
 
Kama ulivyojibu kwani tende anakula muislam tu?? na malemba wanavaa waislam peke yao mbona singasinga hajamaind........teeh ajira nitegemee kuajiriwa na mtumwa wa dini za majahazi,,,we nenda kasalimie majini yako mida yenyewe ndo hii
Umeona eee. Unajianika mwenyewe bila kutambua.
Haijawahi kutokea mtu aka chukia jamii flani bila sababu muhimu sana.
Sasa twambie waislamu wamekufanza nini mpk uwachukie kiasi hiki?
Au ulikuwa unaishi kwa shemeji yako Muislamu akakutimua?

Pambana mdogo Wangu.
Haya maisha ukiwa maskin utamchukia kila mtu bila sababu ya msingi
 
Umeona eee. Unajianika mwenyewe bila kutambua.
Haijawahi kutokea mtu aka chukia jamii flani bila sababu muhimu sana.
Sasa twambie waislamu wamekufanza nini mpk uwachukie kiasi hiki?
Au ulikuwa unaishi kwa shemeji yako Muislamu akakutimua?

Pambana mdogo Wangu.
Haya maisha ukiwa maskin utamchukia kila mtu bila sababu ya msingi
nilikua naishi kwa binti wa kiarabu akaninyima msosi......,,,,,,,,next.....
unapiga kelele ya umasikini na utajiri wenyewe wakuzugia tubinti tu twa jf ,,kapuku anamjua kapuku mwenzie
 
Huo msikiti wa waarabu upo sehemu gani? Just curious!
Huyo Mpigadili fisksi tu,sijawahi kusikia msikiti mtu anafungiwa mlango.Hata kwa hao mabohora na mashia hapo Kisutu hawafukuzi mtu yeyote.
 
Mtoa mada mbona kasema, toa Watu Maarufu (Akiwemo Alpha blond, toa wenye pesa)
Sasa watu ambao sio maarufu hata ukitajiwa utawajua? Njoo Tanga Kuna Wasambaa kibao Wana wake waarabu, na tamaduni za kiarabu hakuna misifa sifa na kujionesha kutembea mtaani kumuonesha Kila mtu.
 
Kwani bongo kuna waarabu,,,,,,,,,,,,uarabu wenu unaishiaga hapa tu mkitoka kwenda kwa wenzenu huko na nyie mnatengwa.....teeeh unavowaongelea kama kitu fulani cha ajabu,,,na nani kakwambia nimeokota mtaani,,,,mengine hatuwezi sema tutachoresha watu bure tu ....ila kikubwa wazuri kuzaa nao watoto wa kupost insta ila nyuchi bado palepale zimepooza
Kipindi Zanzibar wanaonewa Qaboos aliwachukua wengi tu,

Hapo Dubai Kuna weusi ama machotara kibao Wana Vyeo vikubwa vikubwa vya polisi na Jeshini, Hapa Jirani Tanga Naishi na mstaafu wa Jeshi la UAE ambaye Hana hata Chembe ya uarabu.

Utatengwa kama unaenda sehemu ambayo hamfanani culture, Ila mwarabu wa Oman mtanzania Akienda Oman ama Mwarabu wa Yemen Mtanzania akienda Yemen wanaishi kawaida tu. We umeona Hadi Mtanzania ndio Sultan wa Oman Sasa hivi angekua ametengwa angepata Nafasi kubwa hivyo?
 
Kipindi Zanzibar wanaonewa Qaboos aliwachukua wengi tu,

Hapo Dubai Kuna weusi ama machotara kibao Wana Vyeo vikubwa vikubwa vya polisi na Jeshini, Hapa Jirani Tanga Naishi na mstaafu wa Jeshi la UAE ambaye Hana hata Chembe ya uarabu.

Utatengwa kama unaenda sehemu ambayo hamfanani culture, Ila mwarabu wa Oman mtanzania Akienda Oman ama Mwarabu wa Yemen Mtanzania akienda Yemen wanaishi kawaida tu. We umeona Hadi Mtanzania ndio Sultan wa Oman Sasa hivi angekua ametengwa angepata Nafasi kubwa hivyo?
Unaongelea hawa wakina mwajuma wetu wa kibada au
 
Back
Top Bottom