Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake. Alafu hakuna mwanamke asiyetumia make up, especially watu weupe, au wewe unadhani maduka ya hizo sura yametokea wapi? Wewe mwenyewe linganisha kati ya muarabu aliyeoaga make up aliyeoa yule jamaa mweusi na huyo mtoto mkali. Wewe unaona nani pisi hapo? Haijalishi kama sura ya kununua au ya kuokota, point ni kwamba that's one beautiful of an African woman.Huyu huo uso kanunua dukani.
Sio organic.
Usije kula huo mtaji wa korosho.
Mjini hatari kijana
Ile rangi nyeupe kama bulb haina mvuto hata kidogo, iko plain as fvck, napata feve nikiiangalia.
Point ni kwamba, hata iweje siwezi kuja kulilia kuoa mwarabu au ngozi nyeupe yoyote. Hata awe natural kama unprocessed uranium-238 straight from the mine. Hawana mvuto wa kike kama wanawake wa kiafrica, hata wanunue body parts. That's a damn fact!