Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Hujaelewa nn hapo? Hivyo vitu ambavyo watu walikuwa hawaruhusiwi kula kwa kuviona havifai au najisi ndio Yesu aliwaelimisha kuwa hakuna chakula najisi,mtu hachafuliwi kwa aina ya chakula Bali utu wake wa ndani na matendo yake,na hilo fungu ni maneno ya Yesu yalirekodiwa na kuandikwa na Marko,baadhi ya vyakula ambavyo wayahudi/waisraeli walikuwa hawaruhusiwi kula ni pamoja na nguruwe,kambale na sungura,,narudia tena Ukristo na uislam havifanani hata kidogo,kwaiyo Ile kauli yako ya mkristo wa kweli ni muislam sio sahihi,Bado Kuna maswala kama ndoa ukristo hauruhusu ndoa za wake wengi,ni mume mmoja na mke mmoja lakin uislam unaruhusu ndoa za wake wengi
Naona wewe ndiyo unarusha rusha, au unakula najisi?

Yesu hakuja kuitannguwa taurati, kwa kauli yake mwenyewe au hauamini hilo?

Wapi Yesu alikwambia ule najisi wakati yeye mwenyewe hajaila Najisi?
 
Yesu alikuja kutimiliza torati,unafaham maana ya kutimiza? Kwanini waislam hamli nguruwe?
 
Naona wewe ndiyo unarusha rusha, au unakula najisi?

Yesu hakuja kuitannguwa taurati, kwa kauli yake mwenyewe au hauamini hilo?

Wapi Yesu alikwambia ule najisi wakati yeye mwenyewe hajaila Najisi?
Yesu alikuja kutimiliza,nnauhakika hujuwi maana ya kutimiliza,nambie kwann waislam hawali nguruwe?
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
Kwanini usibaguliwe kama huna ustaararabu?
 
Juwa wewe inatosha.

sasa rudi juu kanijibu maswali yangu, au huna majibu?
Swali gani ambalo sijakujibu? Nimekupa mfano wa vitu mnavyoita najisi,yani nguruwe,Biblia inaruhusu wakristo kula,labda nikukumbushe tulipoanzia,ulidai mkristo wa kweli n muislam ukimaanisha mtu akifwata vigezo vya kimaandiko ya kikristo atafanya kama waislam wanavyopaswa,ndio nikakupa mfano wa mambo ambayo Biblia inaruhusu lakn waislam hawaruhusiwi ili kukupa uthibitisho kuwa ukristo na uislam ni vitu viwili tofauti kabisa maana Biblia inapingana na Quran
 
Great, you just did exactly as I told you.

This is a good real-life example of humans and their unstoppable need for approval and validation.

Since I don't want you, it frustrates you so much to a point of desperation. So you try everything you can to get my approval, that I like your kind. So you too can experience the feeling of being needed, wanted, admired and appreciated.

You know, now that I think about. I reckon, besides this being a fundamental feature of humanity's subliminal impulses.
This could be labeled as a problem that stems deeply from an individual's upbringing and childhood. In our case, that individual is you. I just turned you into a psychological experiment specimen.

It appears that during the time of your very childhood and upbringing. Your parents didn't give you enough attention, appreciation, and admiration. Or even worse, you didn't have any parents to begin with, means there's a considerable probability of you being an orphan. So you grew up to be this wierd self-centered and unaware, people pleaser woman-child. But since you didn't have parental oversight, maybe you're not even a woman. You could be a fuking fargot.

And judging from your writing which lacks sensible flow of activities, an average amount of articulation and eloquence, reason and logic, it seems like your mind is full of misery and troubles.

You're a mentally unstable person. In other words, you're insane and need therapy immediately.
I wrote this poem for you my guy friend.
Be strong.

Poem about gay man Andrew Tate who lost in life

"In shadows cast by life's cruel decree,
A gay man walks, his spirit not free.
Lost in the maze of judgment and strife,
Yet his heart beats strong, embracing life.
Through trials faced, his resilience prevails,
Rain-soaked tears, the weight of hidden tales.
In the dance of acceptance, a graceful twirl,
He finds strength, a resilient pearl.
Love denied, but not from within Andrew Tate .
A soul that soars, refusing to dim.
Embracing the colors of a vibrant soul,
He finds solace in the journey's toll.
Paths may be rugged, steep, and unclear kahtaan is causing mayhem.
Yet, he persists, conquering every fear.
For in the tapestry of life's intricate art,
His resilience shines, a work of the heart and look for shoulders to lean-to here at Jamii Forum.

We love you gay man .
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
Hivi unajua masharti ya mungu wa waarabu? Utayaweza hayo masharti? Wanakuhurumia!
 
Back
Top Bottom