GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na cha Kushangaza zaidi karibia 85% ya Bidhaa zao hizo za Electronics ni Original kabisa lakini bado wanaziuza / zinauzwa kwa Gharama nafuu sana wakati huko Tanzania ( Nyumbani ) bidhaa nyingi ambazo tunauziwa kwa Gharama Kubwa hapa Uganda bado ni Feki pia.
Haya Mangwena ( Wabobezi ) wa Uchumi tu hebu tafadhalini njooni hapa mtupe sababu kwani inashangaza sana.
Haya Mangwena ( Wabobezi ) wa Uchumi tu hebu tafadhalini njooni hapa mtupe sababu kwani inashangaza sana.