inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Acheni kukuza vitu,Wana akili gani?Pua ndefu akili nyingi wale...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kukuza vitu,Wana akili gani?Pua ndefu akili nyingi wale...
Hii mitaa uliyomtajia hawezi kuijua kwa sababu kanajifanya kanyarwanda na huku sio Kanyarwanda...kuna mwaka aliwahi kutuongopea eti kakulia ikulu ya Uganda...kajamaa ni kaongo na kana majigambo ys kishamba sana#GENTAMYCINE!
Saa ingine huwa unaandika habari za mihemko kuliko uhalisia.
Kwanza sioni rasmi sababu ya wewe kusema Burundi inajikomba kwa Tanzania.
Wewe huyajui kwa undani mambo nyeti ya kiserikali hususan kiuchumi na kiusalama.
Huwezi jua burumdi kama land locked country,hujui inapitia changamoto gani kiuchumi na hivyo kuhitaji mazingira bora ya kuitumia bandari yetu na pia kushirikiana nasi kwenye ujenzi wa SGR ya msongati.
Pia kiusalama Tanzania na Burundi tuna pakana kwa karibu na kwa eneo kubwa la nchi kavu na tumekuwa na changamoto ya usalama.
Na tumemsikia Rais wa Burundi akitamka hadharani kwamba kuna kiongozi wa waasi Burundi anaisumbua serikali yake kwa sasa akishirikiana na waasi wa ADF.
Sasa wewe unawezaje kujua kama hiyo si agenda mojawapo iliyo mlazimu kuja nchini,huenda wao wana tetesi za waasi hao kuitumia ardhi yetu kinyemela kwa mafunzo yao na kuingia Burundi kufanya vurugu na kurudi.
Sio kila wanalolijadili faragha hawa marais iwekwe hadharani. Mengine huwa ni nyeti za kiusalama zaidi.
Wewe unamsifu Kagame yule msigina Demokrasia ambaye anawaua na kuwafunga wote wanaojaribu kumkosoa mpaka wanamuziki!
Huyu Kagame ambae anatajirika kwa kuiba raslimali za CONGO DRC Anazozichimba kimabavu akiwatumia kina Lauwrer Nkunda!
Huyu anaemtesa Victoir Ingabire!
Hebu nenda Rwanda uingie kigali na uingie mitaani kuanzia Lemela,Kimironko,Nyamirambo,Kichukiro na katikati Nyabugogo uingie na uongee na raia wa kawaida wakwambie (kama utawaondoa hofu ya Kagame).
Halafu ujuwe kinachoendelea!
Acha chuki zako kisa rais wa Burundi kuisifia serikali unayoichukia wewe.
Shame on you.
Pichani chini ndie mtu hatari kwa serikali ya Burundi. View attachment 1984008
Hujui tu wahutu wa Rwanda wanavoteseka na kufa na Tai shingoniKwani Burundi hakuna Watutsi?
Swali la kujiuliza kwa nini wahutu na watutsi wa Rwandwa wameweza kuiimarisha nchi yao halafu hao hao wahutu na watutsi wa Burundi wameshindwa kuiendeleza nchi yao.
Nalifahamu fika hilo jambo,Hujui tu wahutu wa Rwanda wanavoteseka na kufa na Tai shingoni
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Nalifahamu fika hilo jambo,
Ila nilichokua namuonesha popoma ni kwamba Burundi watutsi pia wapo na nchi yao ni maskini.
Wenyewe wanajiona ni taifa teule, yaani ukiwabariki watutsi na wewe utabarikiwa na ukiwalaani basi nawe pia utalaaniwa.Ndio jamii ya Rwanda Na Burundi Na Kigoma jamii zao hufanana kwa kua na aina ya Watutsi, wahutu na watwa sasa mambo ya historia hatutaki kuyaleta hapa ya vita za tokea miaka ya 1972 na genocide ya 1994, na katika jamii hizo mkoloni alipoingia alimpa kipaumbele mtusi huku akijua mtutsi ni Minority group hadi leo wakati Wahutu ni Wengi ukanda huo kuliko watustsi, kiasili mtutsi ni mfugaji na alipata fursa ya kuwatawala wengine mapema lakini haimaanishi kua ana akili kuliko muhutu hapana sii kweli, mtutsi hupenda sifa na kusifiwa sifiwa lakini ni maboya kama wengine tu
Kwahiyo Rwanda ina demokrasia?Burundi ni goi-goi kwenye demokrasia ndiyomaana ni Mashosti na Tanzania.
Burundi na Rwanda yote ni mikoa ya Tanzania, hakuna unaya kudekaNa cha Kushangaza zaidi kama Burundi inabebwa kwakuwa iliathirika na 1994 Genocide kwa Ripoti za UN zinasema kwamba Rwanda ndiyo iliathirika sana tu ila yenyewe wala haijikombi wala haijipendekezi kwa Mataifa makubwa ya Ukanda wake.
Naifananisha Burundi na Mtoto Mvivu na Mpumbavu pia anayependa Kudeka, Kuongozwa na asiyejitambua ila naifananisha Rwanda na Mtoto Yatima ila aliyejaaliwa Akili, Ushujaa, Mchapakazi, anayejiamini na asiyependwa Kupandwa Kichwani na Wapuuzi (wanaojiita Wakongwe)
Mwanamume Afrika ni Paul Kagame tu.
Kwahiyo Rwanda ina demokrasia?
Mnafki mkubwa
Kwahiyo Rwanda ina demokrasia?
Mnafki mkubwa
Huo ni UKWELI usiopingikaRwanda hakuna demokrasia, huo ndio ukweli na the guy anachekewa sababu husaidia kuiba mali ya mwafrika mwenzie kupeleka Ulaya, na kusababisha fujo isiyoisha DRC , fika congo yote kinshasa, Lubumbashi, Goma, Kisangani, Maniema hakuna ata Mkongomani Moya atasema anampenda munyarwanda ni shetani mkubwa huyo hafai
Bora leo umetutambulisha jinsia yako kwamba wewe ni demu.Na cha Kushangaza zaidi kama Burundi inabebwa kwakuwa iliathirika na 1994 Genocide kwa Ripoti za UN zinasema kwamba Rwanda ndiyo iliathirika sana tu ila yenyewe wala haijikombi wala haijipendekezi kwa Mataifa makubwa ya Ukanda wake.
Naifananisha Burundi na Mtoto Mvivu na Mpumbavu pia anayependa Kudeka, Kuongozwa na asiyejitambua ila naifananisha Rwanda na Mtoto Yatima ila aliyejaaliwa Akili, Ushujaa, Mchapakazi, anayejiamini na asiyependwa Kupandwa Kichwani na Wapuuzi (wanaojiita Wakongwe)
Mwanamume Afrika ni Paul Kagame tu.
😄😄😄 Wanaume wa Wacongo wamekalia kucheza ndomboro ya soro,kujichubua ngozi,kusuka wakina dada masaluni,hawatakagi kufanya kazi ngumu ngumu/za maana,wote wanawaza kwenda Paris Wala hawana dreams za kuijenga nchi yao.Rwanda hakuna demokrasia, huo ndio ukweli na the guy anachekewa sababu husaidia kuiba mali ya mwafrika mwenzie kupeleka Ulaya, na kusababisha fujo isiyoisha DRC , fika congo yote kinshasa, Lubumbashi, Goma, Kisangani, Maniema hakuna ata Mkongomani Moya atasema anampenda munyarwanda ni shetani mkubwa huyo hafai
Ndio maana hakanywi na wazungu kuwakandamiza wapinzani wake kwa sababu ni agent wao kuihujumu DR Congo.Rwanda hakuna demokrasia, huo ndio ukweli na the guy anachekewa sababu husaidia kuiba mali ya mwafrika mwenzie kupeleka Ulaya, na kusababisha fujo isiyoisha DRC , fika congo yote kinshasa, Lubumbashi, Goma, Kisangani, Maniema hakuna ata Mkongomani Moya atasema anampenda munyarwanda ni shetani mkubwa huyo hafai
Ndio maana hakanywi na wazungu kuwakandamiza wapinzani wake kwa sababu ni agent wao kuihujumu DR Congo.
Shithole country Burundi survival yake inaitegemea Tz kwa asilimia zote.Leo Tz ikawaacha Burundi haitazidi hata wiki 1 tu CNDD-FDD itakua ishatolewa madarakani huku waasi wa Red-Tabara wakiwa ikulu wakinywa juice.