Ni kwanini Burundi inajipendekeza mno kwa Tanzania, lakini Rwanda inajiimarisha yenyewe kwa Kujipambania hadi Kusifika Kimataifa?

Ni kwanini Burundi inajipendekeza mno kwa Tanzania, lakini Rwanda inajiimarisha yenyewe kwa Kujipambania hadi Kusifika Kimataifa?

Ndio maana hakanywi na wazungu kuwakandamiza wapinzani wake kwa sababu ni agent wao kuihujumu DR Congo.
Congo Nchi kubwa Kama Ile inakubalije kuhujumiwa na kanchi kanakoingia mara 90 kwake?huo Ni ujinga uliopitiliza.

Ni sawa na enzi za utumwa,waarabu 4 wenye gobore wanateka wanaume wenye nguvu zao 400 kijijini na wanawapeleka kutoka kigoma mpk Tabora na watafika.Walipenda wenyewe kutawaliwa.
 
Congo Nchi kubwa Kama Ile inakubalije kuhujumiwa na kanchi kanakoingia mara 90 kwake?huo Ni ujinga uliopitiliza.

Ni sawa na enzi za utumwa,waarabu 4 wenye gobore wanateka wanaume wenye nguvu zao 400 kijijini na wanawapeleka kutoka kigoma mpk Tabora na watafika.Walipenda wenyewe kutawaliwa.
Sasa hako kanchi si kana sapotiwa na wenye pesa, silaha na ujuzi wa kutosha.
 
Sasa hako kanchi si kana sapotiwa na wenye pesa, silaha na ujuzi wa kutosha.
😄😄 Kanasapotiwa?Congo Ina madini Aina zote,Msitu wa Congo tu Peke yake Ni mkubwa kuliko hii nchi nzima ya Tz maana yake Ni Kama Ni Mbao na rasilimali za msituni wanazo za kufa mtu.Wanakosaje pesa?Ambazo zingewafanya wakanunua silaha za Aina yoyote Ile duniani

Wacongo hawanaga uzalendo na nchi yao.Wote wanawazaga kwenda zao kuishi huko Paris.
 
Sasa hako kanchi si kana sapotiwa na wenye pesa, silaha na ujuzi wa kutosha.

Hakuna nchi ukanda huu wote inayopokea misaada mingi ya kijeshi kama Rwanda iwe vifaa au mafunzo na hadi leo ndani ya vikosi vya Rwanda kuna baadhi hulipwa na nchi nyingine kwa task zao tuishie hapo tu.
 
Hebu eleza unafahamu ninikuhusu siasa ya maziwa makuu, ubase Rwanda na Congo
Ninajua kila kitu.Nimekueleza pale juu bila mkono wa Tz CNN-FDD hawana Chao pale Burundi,umebisha. Sasa we ndio useme kwanini sio kweli.
 
Hakuna nchi ukanda huu wote inayopokea misaada mingi ya kijeshi kama Rwanda iwe vifaa au mafunzo na hadi leo ndani ya vikosi vya Rwanda kuna baadhi hulipwa na nchi nyingine kwa task zao tuishie hapo tu.
Misaada gani hio ambayo Rwanda inapata lkn Kenya,Uganda,Tz hawapati.Twende kitakwimu hapa maana hizi zote data zake zipo.
 
Kwani Rwanda siyo Landlocked Country? Kuna shida ambazo Burundi inazo na Rwanda haina au haikuwahi kuwa nazo? Baada ya Genocide wote Warwanda na Waburundi walipewa Misaada ya Kujiimarisha na Kujiinua na IMF na WB mmeshajiandaa ni kwanini Rwanda ilizitumia vyema hizo Pesa na Burundi kupitia Viongozi wao wenye Urafiki na Rais wenu Mstaafu 'Mswahili' wa Pwani wakazifuja na kuja Kujenga Mahekalu, Mahoteli, Maduka makubwa, Kununua Mashamba mengi na kuja Kuoa hovyo Wanawake wa Kitanzania na Kuwaambukiza zaidi UKIMWI wao?

Rwanda waliokuwa matatizoni pamoja na Burundi katika 1994 Genocide ( tena wao ndiyo Wakiathirika zaidi kuliko Burundi ) wamewezaje Kujijenga na Kujiimarisha zaidi Kiusalama na Kijeshi mpaka sasa kuwa Tishio Africa na Wao Waburundi wasiweze / washindwe?

Unajenga nchi yako kwa Kujipendekeza na Kujikomba 24/7 kwa Tanzania mpaka kuruhusu waingie katika Idara zako Nyeti za Kijeshi, Usalama, Anga na Mawasiliano au kwa kuja na Mikakati thabiti ambayo haitoathiri Ustawi wako kama Nchi na Taifa?

Watutsi tukiwa tunawadharau Wahutu kwa kutokuwa Kwao na Akili msiwe mnaona tunawaomba bali huwa tuko sahihi 100% na nashukuru sasa kati ya Rwanda na Burundi tayari Rwanda inaonekana imeshavuka ngazi nyingi za Upuuzi wa Kiutawala, Kiutendaji na Kiuongozi uliopo huko Burundi.
Swali fikirishi, kwanini Burundi haijikombi Rwanda iliyofanikiwa na kuwa na jeshi imara Afrika(kwa mtazamo wako) kuliko nchi nyingine.
 
Msalimie Gen. Neva hapo Dodoma muulize Red-Tabara wanaendeleaje?

Gen yupo sana na atakuepo sana anafungua kiwanda cha mbolea FOMI
IMG_8229.jpg

Hii itatoa ajira nyingi kwa watanzania
 
Back
Top Bottom