Ni kwanini Burundi inajipendekeza mno kwa Tanzania, lakini Rwanda inajiimarisha yenyewe kwa Kujipambania hadi Kusifika Kimataifa?

Ndio maana hakanywi na wazungu kuwakandamiza wapinzani wake kwa sababu ni agent wao kuihujumu DR Congo.
Congo Nchi kubwa Kama Ile inakubalije kuhujumiwa na kanchi kanakoingia mara 90 kwake?huo Ni ujinga uliopitiliza.

Ni sawa na enzi za utumwa,waarabu 4 wenye gobore wanateka wanaume wenye nguvu zao 400 kijijini na wanawapeleka kutoka kigoma mpk Tabora na watafika.Walipenda wenyewe kutawaliwa.
 
Sasa hako kanchi si kana sapotiwa na wenye pesa, silaha na ujuzi wa kutosha.
 
Sasa hako kanchi si kana sapotiwa na wenye pesa, silaha na ujuzi wa kutosha.
πŸ˜„πŸ˜„ Kanasapotiwa?Congo Ina madini Aina zote,Msitu wa Congo tu Peke yake Ni mkubwa kuliko hii nchi nzima ya Tz maana yake Ni Kama Ni Mbao na rasilimali za msituni wanazo za kufa mtu.Wanakosaje pesa?Ambazo zingewafanya wakanunua silaha za Aina yoyote Ile duniani

Wacongo hawanaga uzalendo na nchi yao.Wote wanawazaga kwenda zao kuishi huko Paris.
 
Sasa hako kanchi si kana sapotiwa na wenye pesa, silaha na ujuzi wa kutosha.

Hakuna nchi ukanda huu wote inayopokea misaada mingi ya kijeshi kama Rwanda iwe vifaa au mafunzo na hadi leo ndani ya vikosi vya Rwanda kuna baadhi hulipwa na nchi nyingine kwa task zao tuishie hapo tu.
 
Hebu eleza unafahamu ninikuhusu siasa ya maziwa makuu, ubase Rwanda na Congo
Ninajua kila kitu.Nimekueleza pale juu bila mkono wa Tz CNN-FDD hawana Chao pale Burundi,umebisha. Sasa we ndio useme kwanini sio kweli.
 
Hakuna nchi ukanda huu wote inayopokea misaada mingi ya kijeshi kama Rwanda iwe vifaa au mafunzo na hadi leo ndani ya vikosi vya Rwanda kuna baadhi hulipwa na nchi nyingine kwa task zao tuishie hapo tu.
Misaada gani hio ambayo Rwanda inapata lkn Kenya,Uganda,Tz hawapati.Twende kitakwimu hapa maana hizi zote data zake zipo.
 
Swali fikirishi, kwanini Burundi haijikombi Rwanda iliyofanikiwa na kuwa na jeshi imara Afrika(kwa mtazamo wako) kuliko nchi nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…