Sijawahi kuwa karibu na hao watu. Hivyo siwezi kujua ubora wao katika hizo shughuli zao. Miziziology inahusika kwa hao wenye uwezo wa kupotea katikati ya upepo.
Kama mnavyoambiwa eti Mbowe rais ajayeKwenye vijiwe vya kahawa kuna watu wanajua afu unakuta wamehadithiwa sasa
Majibu ya namna hii yanafanya watu wapuuzie uzi wako mkuu, tupingane kwa hoja..mbona jamaa anareply kwa hekima
Nami zamani nilikuwa naamini hivi hivi kama Wewe ila baada ya Kukutana na Mmoja Wao na Kunielimisha vyema hiyo Dhana imeshanitoka rasmi.
Nimesikia mahala kuwa COMMANDO (si lazima awe wa Tanzania) ana uwezo wa kupata taarifa nyeti hata kuliko Mwana Usalama Taifa mwenyewe. Kwa mfano; COMMANDO wa Malawi anaweza akaenda nchini Zimbabwe katika maeneo yao muhimu na akapata akitakacho na wala asishtukiwe, lakini kwa Usalama wa Taifa wa Malawi anaweza kwenda ila atagundulika kwa haraka sana tu.
Wajuvi wa haya Masuala mliojazana hapa Jamvini JamiiForums, karibuni mtuelimishe na sisi akina Mzukulu ili nasi tuwe na Maarifa kama nyie pia.
unamtukana moja ya watu watema madn humuNdiyo umeandika Upuuzi gani huu?
Sema chief una dharau sana [emoji23][emoji23][emoji23]Mpuuzi nae huwa anatema Madini Ndugu?
kwa kweli hata sijui itakusaidia vipi kimaisha ukitakajua haya mambo, lakini sio mbaya kama burudani, kwanza hizi nchi za kiafrica hao hawana umuhumimu wowote, awe watanzania au malawi.
Ni wa muhimu kwenye nchi zenye maslahi fulani kwenye nchi fulani mfano nchi za mabeberu, ofisi za balozi zao zote zina hawa watu.
Lakini kwa burudani yako angalia hizi series zinaitwa THE UNIT
Kumbe anasema sasa wewe unaamini?Mkuu hii comment imenifanya nicheke sana. Maana kuna dogo hapa anapenda kuvaa jezi za Yanga anasemaga yeye ni usalama wa taifa! Kwa hiyo atakuwa ni commando!?
Wewe kuna maafisa usalama hawajui hata kurusha ngumiHuyo ni mtu mmoja, huwezi kuwa afisa usalama kama sio komando, kwaiyo unazungumzia mtu mmoja katika kazi tofauti kama ffu na traffic police
Kumbe anasema sasa wewe unaamini?
Wewe kuna maafisa usalama hawajui hata kurusha ngumi
[emoji23] TzcWa nchi gani hao?
Nina uhakika na ninacho ongea chiefWa nchi gani hao?