Ndyali
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,678
- 971
DC Sabaya ni miungoni mwa viongozi wenye sifa za kuongoza Awamu hii ya Tano. Hivyo si rahisi kutenguliwa."immunity"
Sabaya hawezi kuchukuliwa hatua kwa kua anayoyafanya ndiyo aliyotumwa kufanya na wakubwa wake , I mean anayoyafanya ndio mabosi wake wanataka afanye huko HAI .
Sent from my SM-J700H using Tapatalk