Ni kwanini DC Sabaya hajawajibishwa baada ya kubainika kuwa tuhuma alizotoa kwa wamiliki wa mabasi kuhujumu miundo mbinu ya reli ni za uongo?

Na sabaya atakuwa na maadui wengi sana maana wale watu ni watu wameajiri vijana wengi sana kutokana na hizo biashara zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye anachojiamini ni kuwa yupo karibu na Rais......

Ajaribu kumuuliza mwenzake Lugola, ambaye kila siku alikuwa akimpamba Mkuu, hata hivyo mwisho wa siku akamtumbua hadharani kwa aibu!
 
Anamshughulikia Mbowe Hai huko. Hawezi tumbuliwa.
Amshughukikie akitenda haki........

Lakini kwa njia hii anayoitumia ya "Bashite style" hakika kuna siku ataangukia pua
 
Kama huyu alifoji kitu hii na bado yupo.
View attachment 1333780
Kitendo cha kufoji kitambulisho cha TISS na mpaka sasa bado yuko kazini ni uthibitisho kuwa kitambulisho hicho sio forgery, ila ni kawaida kwa TISS kuwakana watu wao cover zao zikiwa blown, hata yule mpuuzi aliyemtishia Nape bastola, naye walimkana, Mwigulu mchemba akajifanya polisi inamsaka.
P
 
hao wapo kwa mlengo wa kisiasa zaidi kuliko utendaji wamewekwa kuhakikisha chadema awapumui hata wao wanajua kwamba ni special
 
sabaya with bashite style mwsiho wake utakuwa mbaya kama jina lake,sijui baba yake alikosa jina la kumpa
 
Sure..
Yule wa nape namfahamu alikuwa mlinzi wa bashite anaitwa herry kisanduku.
Kama ni kweli jamaa ni TISS, hata kumtaja hapa ni kosa la jinai, sheria ya usalama wa taifa inakataza kumtaja in public ofisa yoyote wa TISS, huko ni ku blow his cover!, kutokujua sheria sio excuse ya kutokutenda kosa kwa kuivunja sheria usio ijua!.
P
 
Mbona president huwa anawa expose hadharani? Umesahau ile ya Diwani Athumani .oh au kwa vile rais wa TZ yuko juu ya sheria
 
Umesahau kuwa mwenzake Blasius Byakanwa alipoharibu miundombinu ya shamba la Mbowe ndipo alipopandishwa cheo na kuw RC? Soon utasikia naye kapewa cheo cha juu zaidi
 
Inategemea na zama
 
Kusema uongo na kubambikia watu makosa kwa kichaka cha uzalendo, ni moja ya sifa kubwa kwa sasa ndani ya hii nchi. Hakuna hatua yoyote atachukuliwa maana huo ndio utamaduni wa sasa.
Kwenye yale mashtaka haliwezi ongezeka likawa shitaka la Saba
 
sabaya with bashite style mwsiho wake utakuwa mbaya kama jina lake,sijui baba yake alikosa jina la kumpa
It's true

Kwa kuwa hivi sasa huyo Sabaya anasota katika gereza la Kisongo.

Alidhani mwendazake ataishi milele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…