Ni kwanini game ya Yanga imeahirishwa lakini ya Simba haikuahirishwa?

Ni kwanini game ya Yanga imeahirishwa lakini ya Simba haikuahirishwa?

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Nimejiuliza sana sijapata jibu. Kama ni kwaajili ya mechi za Caf mbona wote wanacheza wiki hiyohiyo??
Anyway, inawezekana ni Yanga iliyoomba , na Simba ikaona yenyewe icheze tu.

Na katika hili hakika Simba inaonekana haina pressure na mashindano ya Caf tofauti na Yanga.

Pia Yanga mkifungwa game ya Caf siku ya jumanne MTAKUWA HAMNA KISINGIZIO CHA UCHOVU. PIA MSIJE KUWEKA KISINGIZIO CHA KOCHA MPYA, TUNACHOJUA SISI NI KWAMBA WACHEZAJI WOTE SIO WAPYA
 
Simba Hataki Viporo vya Supu za Vibudu
FB_IMG_17323117735622112.jpg
 
Nimejiuliza sana sijapata jibu. Kama ni kwaajili ya mechi za Caf mbona wote wanacheza wiki hiyohiyo??
Anyway, inawezekana ni Yanga iliyoomba , na Simba ikaona yenyewe icheze tu.

Na katika hili hakika Simba inaonekana haina pressure na mashindano ya Caf tofauti na Yanga.

Pia Yanga mkifungwa game ya Caf siku ya jumanne MTAKUWA HAMNA KISINGIZIO CHA UCHOVU. PIA MSIJE KUWEKA KISINGIZIO CHA KOCHA MPYA, TUNACHOJUA SISI NI KWAMBA WACHEZAJI WOTE SIO WAPYA
Mechi za team zote mbili ziliahirishwa isipokuwa simba wenyewe baade ndo waliomba wacheze mechi yao na pamba kama ilivyokuwa kwenye ratiba ya awali.
 
Nimejiuliza sana sijapata jibu. Kama ni kwaajili ya mechi za Caf mbona wote wanacheza wiki hiyohiyo??
Anyway, inawezekana ni Yanga iliyoomba , na Simba ikaona yenyewe icheze tu.

Na katika hili hakika Simba inaonekana haina pressure na mashindano ya Caf tofauti na Yanga.

Pia Yanga mkifungwa game ya Caf siku ya jumanne MTAKUWA HAMNA KISINGIZIO CHA UCHOVU. PIA MSIJE KUWEKA KISINGIZIO CHA KOCHA MPYA, TUNACHOJUA SISI NI KWAMBA WACHEZAJI WOTE SIO WAPYA
nadhani ni kwasababu ya jukumu zito na kubwa zaidi ya wengine la kimataifa 🐒
 
Sasa Bravo, halafu ktk mashindano ya loosers ndo kweli mechi ya ligi kuu iahirishwe? Hata wao Simba kwa ukubwa wao wakaona ni fedheha bora wacheze na Pamba..ukute Pamba ni bora zaidi ya hao bravo...just kidding!!
 
Dose Za sindano za kusisimua misuli wachezaji inabdi wachome week moja kabla ya game masharti yake inabdi kusiwepo na game yoyote hapo katikatiView attachment 3159298
Mimi ni shabiki lialia wa Simba, huu ushabiki umevuka kiwango. Kutuhumu wachezaji wa timu pinzani eti wanatumia dawa za kusisimua misuli sio sahihi. Na kama ni kweli, basi tatizo lipo TFF na CAF! Tuache ushabiki wa kishamba!
 
Nimejiuliza sana sijapata jibu. Kama ni kwaajili ya mechi za Caf mbona wote wanacheza wiki hiyohiyo??
Anyway, inawezekana ni Yanga iliyoomba , na Simba ikaona yenyewe icheze tu.

Na katika hili hakika Simba inaonekana haina pressure na mashindano ya Caf tofauti na Yanga.

Pia Yanga mkifungwa game ya Caf siku ya jumanne MTAKUWA HAMNA KISINGIZIO CHA UCHOVU. PIA MSIJE KUWEKA KISINGIZIO CHA KOCHA MPYA, TUNACHOJUA SISI NI KWAMBA WACHEZAJI WOTE SIO WAPYA
Yanga inashiriki kombe kubwa la CCL simba anashiriki kombe dogo la wamama ndio maana inabidi ajiandae kikubwa. Period
 
Nimejiuliza sana sijapata jibu. Kama ni kwaajili ya mechi za Caf mbona wote wanacheza wiki hiyohiyo??
Anyway, inawezekana ni Yanga iliyoomba , na Simba ikaona yenyewe icheze tu.

Na katika hili hakika Simba inaonekana haina pressure na mashindano ya Caf tofauti na Yanga.

Pia Yanga mkifungwa game ya Caf siku ya jumanne MTAKUWA HAMNA KISINGIZIO CHA UCHOVU. PIA MSIJE KUWEKA KISINGIZIO CHA KOCHA MPYA, TUNACHOJUA SISI NI KWAMBA WACHEZAJI WOTE SIO WAPYA
Mechi zote ziliahirishwa, Simba wakaomba mechi yao ichezwe baada ya kufanya analysis na kuona faida zaidi wakiicheza kuliko kuiacha. Mimi Yanga kindakindaki hapa nawapongeza Koloz kwa walichokifanya.
 
Nimejiuliza sana sijapata jibu. Kama ni kwaajili ya mechi za Caf mbona wote wanacheza wiki hiyohiyo??
Anyway, inawezekana ni Yanga iliyoomba , na Simba ikaona yenyewe icheze tu.

Na katika hili hakika Simba inaonekana haina pressure na mashindano ya Caf tofauti na Yanga.

Pia Yanga mkifungwa game ya Caf siku ya jumanne MTAKUWA HAMNA KISINGIZIO CHA UCHOVU. PIA MSIJE KUWEKA KISINGIZIO CHA KOCHA MPYA, TUNACHOJUA SISI NI KWAMBA WACHEZAJI WOTE SIO WAPYA
Sasa wewe bravos nayo ni timu ya kufanya uairishe mechi? Pamba ni Bora kuliko ata hao bravos unailinganisha na mechi za wanaume?
 
Kichwa cha mada ni kama unauliza swali ila content yake umeuliza na kujipa majibu mwenyewe. Wakaja swampakunyepa wenzako mkaanza kujaza upupu. Mwisho mmejikuta wote mnawashwa.
 
Ikiahirishwa Yanga na Simbaiwe hivyo ? Khaaaa....Yanga wameomba kwa sababu zao....zikakubalikaaa
 
Back
Top Bottom