Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ni wapiga nyeto wazuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juhudi, kutumia fursa na bahati. Ukichunguza usishangae kukutana na mnunuzi wa mawe kwa wapasuaji ana lori na huenda alianza na kupasua na kuuza hayo mawe kwa ndoo ndoo.Oya FM kuna watu wana juhudi za kupasua mawe kule machimbo Ila wapo wapi? Hivi unataka kuniambia wale ni wavivu mtu anapasua mawe kuanzia asubuhi mpaka jioni ndoo 1 kubwa 3000
Ata vaa yao tu....mtihaniunataka kumaanisha nini mkuu?
Hiyo sio juhudi, huko ni kutumia nguvu za mwili. Juhudi na matumizi ya nfuvu za mwili ni vitu viwili tofauti Mkuu.Oya FM kuna watu wana juhudi za kupasua mawe kule machimbo Ila wapo wapi? Hivi unataka kuniambia wale ni wavivu mtu anapasua mawe kuanzia asubuhi mpaka jioni ndoo 1 kubwa 3000 kwa hio anajitahidi kwa siku walau apasue ndoo 10 arudi nyumbani na 30,000 Ila ameshapondeka mikono na vidole vibaya sana
Hata mwekezaji maarufu, Warren Buffett ni INTROVERT!Muhimu: Elewa neno asilimia kubwa haimanishi ni wote, hata wazaramo wakimya wapo lakini asilimia kubwa ni waongeaji.
Introverts ni watu ambao wanapenda kuwa peke yao muda mwingi, mkikutana mnasalimiana, anaweza kukusaidia, n.k. wepo waongeaji wazuri tu lakini bado wanapenda muda mwingi kukaa wenyewe, ni tofauti na mtu ambae hajibu salamu, hataki kusaidia wengine, n.k.
Introverts ni wachache sana lakini wana asilimia kubwa kwenye kufanikiwa kupitia masomo, ubunifu, teknolojia, n.k.
Kwenye uwanja wa teknolojia wengi ni introverts kina Elon Musk, Bill Gates, Mark Zuckbereg, Jeff Bezos, Steve Jobs (rip), n.k. pia ni mabilionea.
Wanasayansi wengi walioleta magueuzi kama Isaac Newton, Albert Einsten, n.k. ni introverts.
Wale kina John Kisomo wa shuleni ilikuwa kawaida kukuta ni introverts, mtu kapata 98% anaenda kulalamika kwa mwalimu kapunjwa, huko vyuoni waliendelea kugonga gpa za juu kiasi cha kubakizwa kuwa lecturers.
Messi ni Introvert ni mchezaji bora kuwahi kutokea kwenye mpira, Wachezaji wanakiri wenyewe kwamba wanalazimika kukusanyika hata sita kumkaba yeye tu.
Yeah iko ndo nilichopitia ila kinafikia mwishoni soon watakuja kunilamba miguu nawawekea pilipili ***** zaoUnajua alafu huna mtaji alafu hapo hapo huna wa kukushika Mkono alafu kuna mshenzi anakuona kabisa wewe unajua Ila kwa sababu unajua kumzidi yeye anasema ngoja afe kivyake siku ukipasua mawingu namjua namjua zinakuaga nyingi sana hata wakikuona kwenye Shideo utasikia "nilisoma nae yule"
Nafikiri uintrovert na uextrovert bado haujaeleweka vizuri kwa watu wengi.Hahaha, alafu unaishi kwa kusema introvert wanafanikiwa. Kuna watu ni wakimya sehemu wanazoishi, ila niwazungumzaji na wachangamfu sana maeneo ya kazi au biashara zao.
Acha watu wajichanganye tu!.
We Jamaa hivi kuna tofauti gani kati ya kua na juhudi na kua na uvivu?Inahitajika juhudi kujifunza na kutafuta maarifa, je hao wapasua kokoto wanafanya hivyo?. Na mifano mingi ya kutofautisha.
Em soma upya ulichouliza MkuuWe Jamaa hivi kuna tofauti gani kati ya kua na juhudi na kua na uvivu?
Nimeshasoma haya jibu IPI tofauti ya uvivu na juhudi?Em soma upya ulichouliza Mkuu
Hivi wanawazidi wangoni!!!hata wazaramo wakimya wapo lakini asilimia kubwa ni waongeaji.
Kama umerudia soma ulichouliza na unajua maana ya maneno hayo mawili, kwanini tupoteze muda kwenye hili Mkuu?.Nimeshasoma haya jibu IPI tofauti ya uvivu na juhudi?
YeahHuwa hawaongei sana, vitendo vyao ndio huongea.
bonge la fact mkuuWapo ambao hawajafanikiwa kabisa, wapo wapo tu mitaani wala hawatengenezi networking. Nadhani haya mambo ya mafanikio siri ni bahati, kutumia fursa na kuwa na bidii bila kujali sana mambo mengine. Halafu most of time unavyopata mafanikio ndivyo unavyopunguza circle ya marafiki na unaonekana introvert.
Pamoja bossbonge la fact mkuu