Ni kwanini jamii ya wahindi imesahaulika kwenye teuzi za kisiasa?

Ni kwanini jamii ya wahindi imesahaulika kwenye teuzi za kisiasa?

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.

Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.

Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.

Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.

Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.

Dukuduku langu ni? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?

Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.

Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya

Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella

CEO wa Google ni Muhindi

Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.

Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.

Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..
 
Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya..
Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili.

Chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na Watanzania waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.

Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.
 
Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili, chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na waTz waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.
Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Umemaliza mchezo,huyu huenda katumwa na Shabeth kuja kupima upepo.
Hivyi yuko hata mgogo mmoja India ni waziri?
 
Umemaliza mchezo,huyu huenda katumwa na Shabeth kuja kupima upepo.
Hivyi yuko hata mgogo mmoja India ni waziri?
Kuna wale jamaa wanaitwa siddi wako India wana asaili ya Africa inasemekana wametokea Kenya, sasa hao jamaa wanaisha maisha ya kubaguliwa kinoma wanawatreat kama last class citizens, hawa jamaa ni ovyo sana kuwapa ata nafasi ya kuwa wajumbe wa nyumba kumi ni kutukosea heshimu sana Watz na Africa kwa ujumla. Washukuru British kuwapa upendeleo lasivo wa kuwapa exposure lasivo ni very primitive society.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili, chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na waTz waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.
Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Nadhani hujajua usmart haupimwi kwa kuongoza darasani,unawezaje kusema watu ambao hawazidi mil 2 na wanamiliki zaidi ya asilimia sabini ya uchumi wote wa Tz ni vilaza?unajua wanamiliki zaidi ya asilimia sitini ya kampuni zote kubwa Tz?
 
Back
Top Bottom