Ni kwanini jamii ya wahindi imesahaulika kwenye teuzi za kisiasa?

Ni kwanini jamii ya wahindi imesahaulika kwenye teuzi za kisiasa?

Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.

Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.

Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na
Ulianza vizuri lakini ulinipoteza ulipotoa kauli ya ki mjomba Tom ya kuwa wahindi ni bora kuliko sisi.
Wapewe nafasi kama raia wengine lakini sio kwa sababu ya uhindi wao.

Amandla...
 
Zamani kulikuwa na mpaka walimu wenye asili ya Asia, siku hizi kuwakuta kwenye public service ni nadra sana. Sijui unampaje ukuu wa wilaya au mkoa!
 
Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.

Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.

Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.

Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.

Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.

Dukuduku langu ni?? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?????

Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.


Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya

Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella

CEO wa Google ni Muhindi

Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.

Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.

Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..
Kwanini huulizi kwanini wahindi huwaoni 👇👇

  • Nurses huko zahanati ya kata
  • Walimu shule za kata
  • Police
  • Wanajeshi
  • Watumishi halmashauri huko
 
Nadhani hujajua usmart haupimwi kwa kuongoza darasani,unawezaje kusema watu ambao hawazidi mil 2 na wanamiliki zaidi ya asilimia sabini ya uchumi wote wa Tz ni vilaza?unajua wanamiliki zaidi ya asilimia sitini ya kampuni zote kubwa Tz?
Neno smart linatafsiri kubwa sana kwa kila namna hawa jamaa hawako kwenye category ya watu smart nabisha ilo na nitaendelea kubisha. Kinachowabeba ni unyenyekevu wao wakinafki wakitaka chao na ilo ndio linalowabeba, nchi ambayo huwezi tuma hela kwenda nje ya nchi kama sio ubinafsi ni nini?

Katika kitu wanachotuzidi ni Government support financial hapo wako vizuri sana kama ata simu wanaweza nunua kwa installment, mikopo kwao iko nje nje sana ata kwa wafanya biashara iko ndio wanachotuzidi na kinawapa kiburi kuja kwetu kuinvest.
 
Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.

Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.

Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.

Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.
Ni kwasababu jamii ya kiafrika nayo imesahaulika kwny teuzi huko india
 
Kwanini huulizi kwanini wahindi huwaoni [emoji116][emoji116]

  • Nurses huko zahanati ya kata
  • Walimu shule za kata
  • Police
  • Wanajeshi
  • Watumishi halmashauri huko
Professor pratap, hakuna kama yeye Tanzania nzima. Anafundisha Biology karibia vyuo vyote Tanzania , hasa UDSM na matawi yake yote, pia nasikia na Muhimbili anakwenda kufundisha. Ni Mtanzaniamhindi.
Kama wana vigezo na sifa wanayo badi wateuliwe.lakini wahindi wengi walioko Tanzania wanapenda biashara kuliko masomo. DSM kuna shule nyingi za wahindi mfano Indian School kule Temeke .lakini huwezi kukuta wahindi wanafika chuo kikuu, Ila kariakoo, Mlimani city, na Posta wenye maduka makubwa ni wahindi.
 
Umenitafakarisha katika Angle tofauti...! Wapo watu Weusi Marekani Wanajiita ' 'Black Americans' .. kiuhalisia hawa ni Wajukuu Wa Watumwa Waafrika waliopelekwa Kule Kipindi Cha Slave trade.... ! Hawa kuna haja gani huko waliko Kujiita 'Eti Black American Au Wengine Wananeutralise Kwa Kujipachika jina Diaspora'. .... Ulimbukeni Au Kujidharau Yaani Unapo Kwenu unatakiwa kuJivunia Kwenu lakini Umeng'ang'ania Kuishi Ardhi Ya Wenyewe, Jitafakari ....! Nyongo nshatoa...!
 
Professor pratap, hakuna kama yeye Tanzania nzima. Anafundisha Biology karibia vyuo vyote Tanzania , hasa UDSM na matawi yake yote, pia nasikia na Muhimbili anakwenda kufundisha. Ni Mtanzaniamhindi.
Kama wana vigezo na sifa wanayo badi wateuliwe.lakini wahindi wengi walioko Tanzania wanapenda biashara kuliko masomo. DSM kuna shule nyingi za wahindi mfano Indian School kule Temeke .lakini huwezi kukuta wahindi wanafika chuo kikuu, Ila kariakoo, Mlimani city, na Posta wenye maduka makubwa ni wahindi.
Nazungumzia shule za secondary za umma wewe unaleta stori zisizoeleweka.
 
Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili, chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na waTz waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.
Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
#"BSc compture science".....ulifanyaje ukafika India?
 
Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili, chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na waTz waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.
Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Kwanza wahindi wa India sio hawa wa Tanzania, hawa ambao wapo Tanzania wengi si wahindu ama waisilamu wa Sunni, ni mashia na wengi sio Shia mainstream Bali ni minority ambao wapo Sponsored baadhi na uingereza ama Iran etc.

Mfano kama Ismailia ambao wapo wengi kiongozi wao ni Aga khan, yupo uingereza hawa waki graduate Tanzania wa naenda kokote Duniani alipo Muingereza, iwe Australia, Kenya, uingereza, Canada etc. Na elimu yao sio hii ya Necta wanasoma mitaala ya Uingereza.

Hawa ndio wameijenga Tanzania kuanzia
1. Jina lenyewe la Tanzania
2. Mahospitali makubwa kama Muhimbili na Amana
3. Mashule mbalimbali kama Tambaza, mzizima na mengine katikati ya jiji etc.

Nyerere mwenyewe hawa alikuwa akiwa respect sana.

Kuhusu usmart ndio wengi ni smart na wamesoma kuliko muhindi average uliyemkuta India, nawafahamu wengi wanashika vitengo vingi duniani, kuna mmoja namfahamu muda mrefu kagraduate hapa Tanzania then straight ameanza kazi the Hague.
 
Kuna wale jamaa wanaitwa siddi wako India wana asaili ya Africa inasemekana wametokea Kenya, sasa hao jamaa wanaisha maisha ya kubaguliwa kinoma wanawatreat kama last class citizens, hawa jamaa ni ovyo sana kuwapa ata nafasi ya kuwa wajumbe wa nyumba kumi ni kutukosea heshimu sana Watz na Africa kwa ujumla. Washukuru British kuwapa upendeleo lasivo wa kuwapa exposure lasivo ni very primitive society.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
India ubaguzi upo kwenye katiba, kuna watu wamezaliwa kuwa madobi tu, wengine wamezaliwa kuwa wafalme, wengine wamezaliwa kuwa wabeba mizigo etc. Mpaka kwenye daftari unaandika caste yako.

Hata hawa unaowaona Tanzania hawakubaliki na waisilamu wala wahindu ndio maana wame settle huku kwetu.
.
 
Kwanza wahindi wa India sio hawa wa Tanzania, hawa ambao wapo Tanzania wengi si wahindu ama waisilamu wa Sunni, ni mashia na wengi sio Shia mainstream Bali ni minority ambao wapo Sponsored baadhi na uingereza ama Iran etc.

Mfano kama Ismailia ambao wapo wengi kiongozi wao ni Aga khan, yupo uingereza hawa waki graduate Tanzania wa naenda kokote Duniani alipo Muingereza, iwe Australia, Kenya, uingereza, Canada etc. Na elimu yao sio hii ya Necta wanasoma mitaala ya Uingereza.

Hawa ndio wameijenga Tanzania kuanzia
1. Jina lenyewe la Tanzania
2. Mahospitali makubwa kama Muhimbili na Amana
3. Mashule mbalimbali kama Tambaza, mzizima na mengine katikati ya jiji etc.

Nyerere mwenyewe hawa alikuwa akiwa respect sana.

Kuhusu usmart ndio wengi ni smart na wamesoma kuliko muhindi average uliyemkuta India, nawafahamu wengi wanashika vitengo vingi duniani, kuna mmoja namfahamu muda mrefu kagraduate hapa Tanzania then straight ameanza kazi the Hague.
Ndio maana nasema wamepata priority ya kwenda nje wengi refer to story ya Victoria na Abdul, hawa jamaa hawa cha kutuzidi nitasimama kwenye ilo

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom