Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda yeye kateuliwa IndiaUliona India waafrika wanateuliwa?
Kwanza ni upumbavu kuongozwa na mhindi kama vile watanzania wameisha, MO amekuwa mbunge Singida matokeo yake kaacha umaskini wa kutupwa kawaachia nyumba za tembe tupu same to Rostam Azizi Igunga n.kKuna wale jamaa wanaitwa siddi wako India wana asaili ya Africa inasemekana wametokea Kenya, sasa hao jamaa wanaisha maisha ya kubaguliwa kinoma wanawatreat kama last class citizens, hawa jamaa ni ovyo sana kuwapa ata nafasi ya kuwa wajumbe wa nyumba kumi ni kutukosea heshimu sana Watz na Africa kwa ujumla. Washukuru British kuwapa upendeleo lasivo wa kuwapa exposure lasivo ni very primitive society.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Huwezi kuwa na akili ata kumzidi binti yangu wa miaka 4, your a waste and disgrace to your society and country nyie mnatakiwa kupigwa mawe mchana kweupe huwezi kumsifia muhindi, what has he done for your country bora ata mjapan he has built on aid roads, schools, bridges ata izo nguzo wametoa misaada yakutosha.ndio wanaakili kuliko Mimi na Mimi Nina akili kuliko wewe
Hili ndio la msingi..sijawahi kuwaona wanajihusisha na siasa zaidi ya hapa ilala..nenda kwenye mikutano ya siasa kama utawaona..zamani tulisoma nao ila now hata hatukutani nao tena..Wana KILA kitu chao
Wahindi wapo kwenye siasa wengi. Hiyo Morogoro wahindi kibao wamekuwa wabunge.Hili ndio la msingi..sijawahi kuwaona wanajihusisha na siasa zaidi ya hapa ilala..nenda kwenye mikutano ya siasa kama utawaona..zamani tulisoma nao ila now hata hatukutani nao tena..Wana KILA kitu chao
Wahindi wapo kwenye siasa wengi tu. Hiyo Morogoro wahindi kibao wamekuwa wabunge.Hili ndio la msingi..sijawahi kuwaona wanajihusisha na siasa zaidi ya hapa ilala..nenda kwenye mikutano ya siasa kama utawaona..zamani tulisoma nao ila now hata hatukutani nao tena..Wana KILA kitu chao
Watz njaa sana na hawatumii akiliNi moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.
Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.
Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.
Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.
Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.
Dukuduku langu ni?? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?????
Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.
Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya
Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella
CEO wa Google ni Muhindi
Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.
Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.
Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..
Ewaaa!!!,Anataka nafasi za juu tu.Kwanini huulizi kwanini wahindi huwaoni [emoji116][emoji116]
- Nurses huko zahanati ya kata
- Walimu shule za kata
- Police
- Wanajeshi
- Watumishi halmashauri huko
Upo sahihi Mkuu, nadhani wangejiita tu Wamarekani Waafrika,au waamerika kutoka Afrika.Umenitafakarisha katika Angle tofauti...! Wapo watu Weusi Marekani Wanajiita ' 'Black Americans' .. kiuhalisia hawa ni Wajukuu Wa Watumwa Waafrika waliopelekwa Kule Kipindi Cha Slave trade.... ! Hawa kuna haja gani huko waliko Kujiita 'Eti Black American Au Wengine Wananeutralise Kwa Kujipachika jina Diaspora'. .... Ulimbukeni Au Kujidharau Yaani Unapo Kwenu unatakiwa kuJivunia Kwenu lakini Umeng'ang'ania Kuishi Ardhi Ya Wenyewe, Jitafakari ....! Nyongo nshatoa...!
Ndio huko huko Asia mkuu.Ghalib ni chotara wa kiarabu na kibantu.
Unataka kuniambia hamna mTanzania anaweza kufanya anayofanya Mo?Your over rating them,ukienda Kenya wamekubali kuwa raia wa kawaida kule sababu wameshindwa kuwaendesha wako adi kwenye kuact movie sasa. Nimekutana na hao Wahindi Dangote pia vilaza balaa wanabebana tu hamna kitu technical wanajua zaidi yakutegemea engineers wetu.Sababu wana kitu ambacho wewe huna, hao wazungu kwenye madini, dangote kwenye cement, wakenya mashuleni, MA CEO wa kigeni etc wote sio kwamba ni watu wa zuri, la hasha, Bali wana kitu ambacho sisi hatuna, iwe ni uzoefu, mtaji, uwezo etc.
Leo Simba toka naijua mimi haijawahi fanya vizuri bila MO, wakati MO ni mdhamini mwanzoni mwa miaka ya 2000 waliofanya vizuri, akaondoka timu ikawa mbovu, karudi timu imefanya vizuri tena, MO Ana nini? Ana pesa, timu inafanya vizuri Sababu anatoa hela, inawezekana akawa si mtu mzuri, ila pesa zake zinahitaji ka Kuinua mpira pale.
We hujaingia mtaani na sidhani hata kama Una biashara unafanya ila hawa jamaa wakisema wanaondoka trust me hata mafuta tunayojipaka tu mwilini utakosa pengine tukamue alizeti tupake, wapo behind nyuma ya wajasiriamali na industry nyingi hapa TZ.
Unamfahamu Prof Al-Noor Kussumu?Hao watu hawafai,siyo wazalendo,ni wabaguzi na ni wapigaji.
Kama ni kweli basi waliowapa iyo fursa walikuwa vilaza na wanapaswa kuwajibishwa kwakutuangusha na kutuzalilisha.Muhindi anachofanya kwa Tanzania ni kwa manufaa yake na watu wake kama sio kujijengea temple zao, mashule yao na Hospital zao ni vile hawawezi kutukataza tu kwenda lakini wangeweza wangefanya hivo.1.wamekuchagulia jina LA nchi, unajisifu mimi Mtanzania kwa jina alilokuchagulia mhindi
2. Wamekujengea hospitali yako ya Taifa
3.wamekujengea mashule makubwa makubwa
4. Makampuni makubwa nchi yako wanamiliki wao
Then unasema bila evidence yoyote hawana lolote?
Kwani kuna wa bongo wa ngapi nje? Je priority zao ni zipi? Tunao kina Jon Stephano waje watuambie.
Sie mijitu myeusi tulivyo na roho mbali,ukimuona mweusi mwenzio yupo TRA au NSSF,unatamani umroge,Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.
Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.
Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.
Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.
Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.
Dukuduku langu ni?? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?????
Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.
Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya
Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella
CEO wa Google ni Muhindi
Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.
Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.
Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..
Mabenki yapi hayo? bank M sio? 🤣 ☝️Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.
Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.
Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.
Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.
Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.
Dukuduku langu ni?? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?????
Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.
Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya
Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella
CEO wa Google ni Muhindi
Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.
Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.
Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..
Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.
Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.
Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.
Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.
Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.
Dukuduku langu ni?? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?????
Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.
Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya
Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella
CEO wa Google ni Muhindi
Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.
Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.
Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..
Kwenye zahanati na hospitali wapoKwanini huulizi kwanini wahindi huwaoni 👇👇
- Nurses huko zahanati ya kata
- Walimu shule za kata
- Police
- Wanajeshi
- Watumishi halmashauri huko