Ni kwanini jamii ya wahindi imesahaulika kwenye teuzi za kisiasa?

Ni kwanini jamii ya wahindi imesahaulika kwenye teuzi za kisiasa?

Mimi na wahindi tofauti lkn ukweli wahindi walio kuja East Africa hawakuja by choice waliletwa na Mwingereza kujenga reli kwahiyo unao waona hapaTanzania wapo wapo tu INDIA hawakubaliki vile vile TANZANIA mnawazingua kwahiyo wapo katikati.Ukweli kwamba huyu MWENGEREZA nafikiri na SPAIN Wamewaze-confused jamii nyingi sn.

Mfano:- African-America unaona wanavyo pata taaba hapa America japo kuwa wao ndio wamajengo America. Sera zilizopo ni zakumkandamiza mtu mweusi tu.

South America vile vile mtu mweusi hana thamani yoyote nk.
Tajiri mkubwa kbs na wa kwanza ktk orodha za matajiri ni Mhindi Boss Ambani !!
Uliza mzaliwa wa wapi???
 
Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili.

Chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na Watanzania waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.

Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.
kwani usnart upo kwenye kufaulu mitihani tu
 
Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili.

Chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na Watanzania waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.

Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.
Actually Ila uchumi wa India ni tayari wapo middle income country Kwa miaka mingi sasa na uchumi wao unaperform vizuri zaidi Kwa miaka ya hivi karibuni na pia wanayo technology kutuzidi Sisi . Japo uchafu ni wachafu Sana hawa jamaa wa kihindi
 
Sass huyo Tajiri Amban anahusiana na nini na hii post hapa ? Ambani ni mhindi wa TZ?au umeshindwa kuelewa au ufahamu wako mdogo kuhusu mtiririko wa Comments zilizopo.
FYI, bila kukuKwazaa !! Naomba upanue au utanue kifuwa chako..,na wigo waufahamu!!
Wahindi kwa jumla ni taifa lenye malengo ya kuongeza kiuchumi tangu enzi hizoooo!!
Hivi sasa wamesha thibitisha huko North America na Asia nk nk...
Na wengi wao ni waalikwa wa nje ya bara HINDI,
( yeye iko dugu vao tanjania zaliwa pale )
God bless them...
 
unhen pahale shahar ke kendr se baahar nikalakar hamaare saath ghulana-milana chaahie, nahin to ham unhen raajaneeti hee nahin, har cheej par chhod denge.
 
FYI, bila kukuKwazaa !! Naomba upanue au utanue kifuwa chako..,na wigo waufahamu!!
Wahindi kwa jumla ni taifa lenye malengo ya kuongeza kiuchumi tangu enzi hizoooo!!
Hivi sasa wamesha thibitisha huko North America na Asia nk nk...
Na wengi wao ni waalikwa wa nje ya bara HINDI,
( yeye iko dugu vao tanjania zaliwa pale )
God bless them...
Kama Taifa kwanza waondoke kule kwenye CASTE SYSTEM ambayo wanayo hilo la kwanza waondoke kwenye uprimitive walio kuwa nao.

India is not self reliant kama wanavyo jimwambafai Covid-19 imewaprove hawa wezi kujitegemea bila kusaidia na mataifa makubwa.
 
Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili.

Chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na Watanzania waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.

Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.
Tumewazidi kufaulu mtihani? Mbona tukija kwenye application ya elimu kwenye maisha ya kawaida waafrika tuko hoi, nafuu hata wahindi? Kumbuka tunaenda India kutibiwa? Fact: Tuache kasumba ya kukaririri shuleni ili tupasi mitihani.
 
Kama Taifa kwanza waondoke kule kwenye CASTE SYSTEM ambayo wanayo hilo la kwanza waondoke kwenye uprimitive walio kuwa nao.

India is not self reliant kama wanavyo jimwambafai Covid-19 imewaprove hawa wezi kujitegemea bila kusaidia na mataifa makubwa.
Jemmy ndg yangu.. tusiumize kichwa tuwache hawa jamaa siyo size yetu!!!! Na wala tusicheke majanga yao!! Wala tusidhihaki tamaduni na mila za wengine..
God bless Tanzania
 
Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili.

Chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na Watanzania waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.

Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.
Kuna kufaulu darasani na kuweka kwenye practice ulichosoma darasani. Kama mliwapita darasani huko kwao tuna nini kama nchi cha kuonyesha maendeleo ya computer science kulinganisha na wao? Any way cha msingi ni kuwa, kama mhindi anauwezo, asinyimwe nafasi ya uteuzi kwa sababu ya uhindi wake.
 
Mimi nafikiri tuna kaubaguzi sana kwenye ajira za siasa
Angalia kama mtu ni mzaliwa na ana haki zote kama mtanzania mwingine ila akiingia siasa utasikia majina na maneno ya kila aina

Sio kama hawataki kuingia siasa bali serikali ndio haitaki kuwahamasisha na kuwavuta kwenye medani za Siasa

Wenzetu wazungu watu wanahimizwa kuingia Jeshi na hata siasa kama wakisoma vizuri na kujihusisha na siasa wanakubalika na jamii na Serikali pia

Kama serikali ikihimiza na kuwapa nafasi wanaweza sana ila hata kama leo Rais akamchagua Mtanzania mwenye asili ya Kihindi awe Waziri lazima watu povu litawatoka sana kwa sababu sio mazoea ya kuwapa nafasi hizo
 
Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.

Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.

Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.

Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.

Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.

Dukuduku langu ni? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?

Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.

Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya

Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella

CEO wa Google ni Muhindi

Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.

Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.

Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..
INFIRIORITY COMPLEX either wewe ulieandika hii thread wewe ni MUHINDI unataka kujifanya nyie ni smart kuliko wahindi.

Ushindwe na ulegee.
Sisi weusi tuko smart kuliko unavyotegemea.


Mpu.mbv.. wewe
 
Esema Ni wahindi hivyo sio waafrika Wala wa Tanzania wateuliwe ili iweje? Mbona huko India ngozi nyeusi haziteuliwi?
 
Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.

Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.

Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.

Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.

Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.

Dukuduku langu ni? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?

Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.

Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya

Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella

CEO wa Google ni Muhindi

Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.

Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.

Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..
Ulipokwenda Jeshini (JKT), uliwaona Wahindi?
 
Back
Top Bottom