Ni kwanini jamii ya wahindi imesahaulika kwenye teuzi za kisiasa?

Ni kwanini jamii ya wahindi imesahaulika kwenye teuzi za kisiasa?

Jiulize kwa nini hawapendi kununua viwanja na kujenga nyumba zao badala yake wanaishi nyumba za serikali miaka nenda rudi, kwanini hawaoi waswahili na kwanin hawajui kiswahili vizuri na mwisho kwanini wana shule zao, Benki, hospital, saccos,Makaburi yao tu, ukifungua duka pembeni wa mdosi yenye bidhaa ileile sidhani kama ipo siku mdosi atanunua kwenye duka lako wewe mswahili.
 
Nadhani hujajua usmart haupimwi kwa kuongoza darasani,unawezaje kusema watu ambao hawazidi mil 2 na wanamiliki zaidi ya asilimia sabini ya uchumi wote wa Tz ni vilaza?unajua wanamiliki zaidi ya asilimia sitini ya kampuni zote kubwa Tz?

Msamaehe tu mkuu, kwa fikra za kibongo kuwa hodari darasani ndio ubora wa upeo wa mtu
 
Nazungumzia shule za secondary za umma wewe unaleta stori zisizoeleweka.

Sasa shule za Umma wakafanye nini? Asilimia 99% ya wanaosomesha hizo shule ni maskini. Wahinidi akili zao ni kubwa huwakuti kujiingiza kwenye maeneo ya kuwadumaza wakawa maskini
 
Kwanza ni upumbavu kuongozwa na mhindi kama vile watanzania wameisha, MO amekuwa mbunge Singida matokeo yake kaacha umaskini wa kutupwa kawaachia nyumba za tembe tupu same to Rostam Azizi Igunga n.k

Kwani wahindi sio watanzania? mbona unatia aibu Kamanda
 
Sasa shule za Umma wakafanye nini? Asilimia 99% ya wanaosomesha hizo shule ni maskini. Wahinidi akili zao ni kubwa huwakuti kujiingiza kwenye maeneo ya kuwadumaza wakawa maskini
Hizo shule za umma ndio Tanzania yenyewe.
 
Mbona India sijasikia jamii ya watanzania iliyokumbukwa kwenye teuzi?
 
Jiulize kwa nini hawapendi kununua viwanja na kujenga nyumba zao badala yake wanaishi nyumba za serikali miaka nenda rudi, kwanini hawaoi waswahili na kwanin hawajui kiswahili vizuri na mwisho kwanini wana shule zao, Benki, hospital, saccos,Makaburi yao tu, ukifungua duka pembeni wa mdosi yenye bidhaa ileile sidhani kama ipo siku mdosi atanunua kwenye duka lako wewe mswahili.
Sio nyumba za serikali, sema nyumba zao walizopokonywa Kisha wakakodishiwa, majority ya NHC mjini zilikuwa nyumba za Wahindi Zikataifishwa.

Yaani mtu atafute hela yake, ajenge nyumba yake uitaifishe Kisha umkodishie, halafu halitoshi unaanza kumnanga kwanini hajengi.
 
HAWA JAMAA WAKO VIZURI SANA KWENYE SEKTA YA FEDHA TATIZO LAO HATA AISHI MIAKA 100,MENTALY HAIACHANI NA INDIA NA CANADA,LAKINI TATIZO HUENDA NI SISI WATANZANIA NA WAGANDA TULILIANZISHA.
*waliwahi kumbeba IDD AMIN.

Mkuu hupo sahihi, wengi wa wahindi wa TZ hata jamaa zao huko India hawawajui, wapo hapa kwa miaka mingi sana. Tatizo kubwa linakuja kuwa sisi tunawabagua, sisi wenyewe tunawaita si watanzania, tunawaon wageni. Unakumbuka yaliotokea ya yule Miss Tanzania wa kihindi? napia wanakaa kimitego mitego mana wameshaumwa na nyoka mara kadhaa, hawa ni tafauti na waafrica ukiwapiga mikwaju leo kesho wameshasahau. Umesahau kuwa Nyerere alitaifisha mali za wahindi wengi sana baada ya uhuru? Umeona aliyofanyiwa Manji na Jiwe? Lazima waishi ki standby tu kutokana na serekali zetu zilivo.
 
Hizo shule za umma ndio Tanzania yenyewe.

Lakini hakuna anaelazimshwa kufanyakazi humo, Hata mimi uwalimu niliukimbia baada ya kugundua nijiingiza kwenye umaskini wa milele nikajikita kwenye michongo mengine ambayo inaleta tamaa ya kubadilisha Maisha yangu.
 
Jiulize kwa nini hawapendi kununua viwanja na kujenga nyumba zao badala yake wanaishi nyumba za serikali miaka nenda rudi, kwanini hawaoi waswahili na kwanin hawajui kiswahili vizuri na mwisho kwanini wana shule zao, Benki, hospital, saccos,Makaburi yao tu, ukifungua duka pembeni wa mdosi yenye bidhaa ileile sidhani kama ipo siku mdosi atanunua kwenye duka lako wewe mswahili.

Kwanza warejeesheni nyumba zao mulizowanyang'nya ambazo saivi munajidai kuwakodisha ndipo watajenga nyengine
 
Lakini hakuna anaelazimshwa kufanyakazi humo, Hata mimi uwalimu niliukimbia baada ya kugundua nijiingiza kwenye umaskini wa milele nikajikita kwenye michongo mengine ambayo inaleta tamaa ya kubadilisha Maisha yangu.
Kuna maslahi binafsi na nchi yako. Huwezi kukataa kuitumikia nchi yako halafu ukalazimisha upewe feva.

Angalia hili ni jeshi la South Africa. Ni mchanganyiko wa jamii yote 👇👇👇

1622144033710.png


Tanzania ni nchi yenye jamii nyingi ikiwemo wahindi kama msemavyo, sasa hao wahindi mbona huku hawahitaji kuwemo.
 
Jiulize kwa nini hawapendi kununua viwanja na kujenga nyumba zao badala yake wanaishi nyumba za serikali miaka nenda rudi, kwanini hawaoi waswahili na kwanin hawajui kiswahili vizuri na mwisho kwanini wana shule zao, Benki, hospital, saccos,Makaburi yao tu, ukifungua duka pembeni wa mdosi yenye bidhaa ileile sidhani kama ipo siku mdosi atanunua kwenye duka

Kinachowasumbua wabongo ni Ubaguzi
Wabongo wanabaguana wenyewe kwa wenyewe wamwache mhindi!
 
Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.

Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.

Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.

Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.

Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.

Dukuduku langu ni? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?

Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.

Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya

Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella

CEO wa Google ni Muhindi

Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.

Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.

Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..
Mwendazake hakuwapenda wahindi
 
INFIRIORITY COMPLEX either wewe ulieandika hii thread wewe ni MUHINDI unataka kujifanya nyie ni smart kuliko wahindi.

Ushindwe na ulegee.
Sisi weusi tuko smart kuliko unavyotegemea.


Mpu.mbv.. wewe
unamtukana mwenzako, unajifanya wewe in smart. umeshindwa hata ku spell inferiority complex!

inferiority complex

noun
noun: inferiority complex
  1. an unrealistic feeling of general inadequacy caused by actual or supposed inferiority in one sphere, sometimes marked by aggressive behaviour in compensation.
Translate inferiority complex to

Definitions from Oxford Languages
 
Back
Top Bottom