wahindi hawana interest na udiwani/ siasa, haswa vijana. Siasa zilizojaa chuki, ukabila na rushwa. Wapo busy na maisha yao.Kuna mtanzania ni diwani India?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wahindi hawana interest na udiwani/ siasa, haswa vijana. Siasa zilizojaa chuki, ukabila na rushwa. Wapo busy na maisha yao.Kuna mtanzania ni diwani India?
Kuna mtanzania ambae ni raia wa India? Sikuelewi ndugu.Mbona India sijasikia jamii ya watanzania iliyokumbukwa kwenye teuzi?
Kwani kuna mtanzania ambae ni raia wa kihindi? Hata mimi sijakuelewaKuna mtanzania ambae ni raia wa India? Sikuelewi ndugu.
Wajameni hebu tujiruhusu kufikri kwanza.Kuna mtanzania ni diwani India?
Kuna aliyeomba akanyimwa? au ndio unajipa jibu kabla ya kuomba?Kwani kuna mtanzania ambae ni raia wa kihindi? Hata mimi sijakuelewa
kuwa na adabu una laana pekeyakoo,,kama mtu kakosea usiwajumuishe wote,,utumwa wa akil unakusumbua wwRangi nyeusi ina laana, angalia ma profesa wetu.... Waafrika tukisoma ndio tunakua wajinga zaidi. Hatuna lolote zaidi ya kuiga ya wazungu
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
ww nae ni muhind kumpnga mweus mwenzak?? hv unapata wap ujasir wakuwatetea watu wanaokomba rasilimari zenu[emoji48][emoji48][emoji48]unamtukana mwenzako, unajifanya wewe in smart. umeshindwa hata ku spell inferiority complex!
inferiority complex
noun
noun: inferiority complex
Translate inferiority complex to
- an unrealistic feeling of general inadequacy caused by actual or supposed inferiority in one sphere, sometimes marked by aggressive behaviour in compensation.
Definitions from Oxford Languages
Naombaje uraia wa Tanzania wakati tayari ninao nimezaliwa hapahapa Tanzania?Kuna aliyeomba akanyimwa? au ndio unajipa jibu kabla ya kuomba?
Africans in India
Ubadhirifu Bilioni 1, Milioni 513 Wizara ya Fedha, Majaliwa asimamisha kazi Vigogo Ubadhirifu zaidi ya Bilioni 1 Wizara ya Fedha, Majaliwa asimamisha kazi Vigogo – Millardayo.comww nae ni muhind kumpnga mweus mwenzak?? hv unapata wap ujasir wakuwatetea watu wanaokomba rasilimari zenu[emoji48][emoji48][emoji48]
Hakuna watz India ambao wanauraia?Wajameni hebu tujiruhusu kufikri kwanza.
Ili aweze hata kutiliwa maanani inatakiwa awe raia kwanza. Hata hapa kwetu ni hivyohivyo.
Ni swala la katiba/sheria na sio utashi tu.
Wahindi wako na biashara zao, wengine ni Professionals ( finance, accounts, ICT, medical etc). Hawahitaji favour kuwa waajiriwe kwenye taasisi za serikali.Kuna maslahi binafsi na nchi yako. Huwezi kukataa kuitumikia nchi yako halafu ukalazimisha upewe feva.
Angalia hili ni jeshi la South Africa. Ni mchanganyiko wa jamii yote 👇👇👇
View attachment 1799783
Tanzania ni nchi yenye jamii nyingi ikiwemo wahindi kama msemavyo, sasa hao wahindi mbona huku hawahitaji kuwemo.
Lakini kwenye siasa wapo kwasababu zinalipa na teuzi wanataka.Wahindi wako na biashara zao, wengine ni Professionals ( finance, accounts, ICT, medical etc). Hawahitaji favour kuwa waajiriwe kwenye taasisi za serikali.
Watz mna jina za ajabu ....na an tomxxx [emoji38][emoji16][emoji112][emoji112]Hiyo ndo sababu?
Raia wa Tanzania awe pia na uraia wa India? Hapana, kwa mujibu wa Katiba yetu.Hakuna watz India ambao wanauraia?
Ticha wangu mmoja mzushi mzushi wa advanced biology alikuwa anamtaja sana huyu Prof.PratapProfessor pratap, hakuna kama yeye Tanzania nzima. Anafundisha Biology karibia vyuo vyote Tanzania , hasa UDSM na matawi yake yote, pia nasikia na Muhimbili anakwenda kufundisha. Ni Mtanzaniamhindi.
Kama wana vigezo na sifa wanayo badi wateuliwe.lakini wahindi wengi walioko Tanzania wanapenda biashara kuliko masomo. DSM kuna shule nyingi za wahindi mfano Indian School kule Temeke .lakini huwezi kukuta wahindi wanafika chuo kikuu, Ila kariakoo, Mlimani city, na Posta wenye maduka makubwa ni wahindi.