Ni jina linaloishiSalaam, shalom!!
Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.
Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!
Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?
Karibuni🙏
Baada ya Yesu kupaa Mbinguni,Mitume kila mmoja alitumwa duniani kwa kazi maalum
Yesu alitumwa duniani kipindi ambacho watu walikuwa wana amini uchawi, na kumuasi Mungu.
Mungu akaona atume mjumbe ampe nguvu ya kufanya zaidi ya wachawi ili wamwani Mungu.
Yesu akapewa uwezo, wa kufukuza mapemo, uchawi na hata kuponya magonjwa ambayo yalikuwa hayana tiba
Na ndio sababu ukitumia jina la Yesu ambaye ndiye mjumbe alipewa hiyo nguvu, unaweza kuponya na kufukuza mapepo.
(Kwa bahati mbaya, watu waka mwamini kuwa Yesu ndiye Mungu badala ya Kumuamini Mungu aliyemtuma)
Unamaanisha Majina mengine hayaishi?Ni jina linaloishi
Pepo gani ulimuona kafukuzwa kea jina la yesu?..pepo aogope jina yesu!?..yesu mwenyewe hakutumia jina lake kufukuza pepoSalaam, shalom!!
Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.
Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!
Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?
Karibuni🙏
Ni Jina la Mungu mwenyewe. Ndo maana ukilitamka ulimwengu wa Roho unatikisika. Mbingu zinanyamaza kukusikiliza. Una fungua malango yote. Hata yaliyofungwa yakatupwa funguo zake.Ni jina linaloishi
Jina la yesu lingeponya magonjwa hospital zisingejengwa, hospital zimejengwa kuanzia na wamisionari wageni hadi wazawa,hao wanaojifanya kuombea wakiumwa huenda hospitalBaada ya Yesu kupata Mbinguni,
Mbona Jina lake Hadi Leo Lina mamlaka ya kufukuza mapepo na kuponya magonjwa?
Fafanua hapo.
Ni jina linaloishiSalaam, shalom!!
Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.
Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!
Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?
Karibuni🙏
Linaishi kiroho na lina mamlaka kwakuwa Kristo aliishinda kuzimu.. Mengine yalichemshaUnamaanisha Majina mengine hayaishi?
Au tuseme Majina mengine hayana mamlaka kuzidi Jina Hilo?
Nimefanya Utafiti.Umejuaje?
So amazing 🤔Ni jina linaloishi
Linaishi kiroho na lina mamlaka kwakuwa Kristo aliishinda kuzimu.. Mengine yalichemsha
Mafundisho yake na mitume ni tofauti jaribu kupata elimuMitume kila mmoja alitumwa duniani kwa kazi maalum
Yesu alitumwa duniani kipindi ambacho watu walikuwa wana amini uchawi, na kumuasi Mungu.
Mungu akaona atume mjumbe ampe nguvu ya kufanya zaidi ya wachawi ili wamwani Mungu.
Yesu akapewa uwezo, wa kufukuza mapemo, uchawi na hata kuponya magonjwa ambayo yalikuwa hayana tiba
Na ndio sababu ukitumia jina la Yesu ambaye ndiye mjumbe alipewa hiyo nguvu, unaweza kuponya na kufukuza mapepo.
(Kwa bahati mbaya, watu waka mwamini kuwa Yesu ndiye Mungu badala ya Kumuamini Mungu aliyemtuma)
Inashangaza.Halafu Lina nguvu kweli.....
Aisee,huyu mwamba kweli alichaguliwa na Mungu.🙏
Na kwa nini ni waafrika tu ndiyo wenye hayo mapepo yanayofukuzwa na Yesu?Salaam, shalom!!
Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.
Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!
Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?
Karibuni🙏
Pepo gani ulimuona kafukuzwa kea jina la yesu?..pepo aogope jina yesu!?..yesu mwenyewe hakutumia jina lake kufukuza pepo
Hafananishwi...yupo peke yake.🙏🙏Inashangaza.
Jina Lina zaidi ya miaka 2000 haijawahi kuchuja.