Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Wewe kazana kutoa sadaka kwa mwamposa ukija kukumbuka shuka kumekucha. Wajinga ndio waliwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiumwa malaria unakunywa mseto,nyie huwa kondoo,akili hamnaHua hamkosi akili mgando
Kwa taarifa yako mpaka akina Hamad walipougua mpaka kukata tamaa kwa kupata tiba.
Waliamua kuhitaji uponyaji kwa jina hilo hilo na wakapona.
Endelea kukaza fuvu kwa mavitu mlomezeshwa huko.
Mapepo ni Roho chafu, hayachagui RANGI Wala kabila, mweusi, mzungu ,mwarabu, anapagawa kama kawaida.Na kwa nini ni waafrika tu ndiyo wenye hayo mapepo yanayofukuzwa na Yesu?
🤣🤣🤣 Mwamposa kaingiaje hapa Tena mkuu?Wewe kazana kutoa sadaka kwa mwamposa ukija kukumbuka shuka kumekucha. Wajinga ndio waliwao
Nimefungua kanisa lipo kigamboni mjimwema natoa mapepo kwa TSH. 50000. Huduma ni ya uhakika nafasi ni chache usije kusema hujaambiwa. Kwa maelezo zaidi njoo inbox.Mapepo ni Roho chafu, hayachagui RANGI Wala kabila, mweusi, mzungu ,mwarabu, anapagawa kama kawaida.
Ukiona mtu amevaa nusu Uchumi usijiulize mara mbili Wala kumtizana RANGI, ana Pepo.
Likewise, ukimwona mtu amechora tattoo mwilini, ni KAZI ya Pepo hiyo.
Karibu.
🤣🤣🤣🤣 Mbavu zanguuNimefungua kanisa lipo kigamboni mjimwema natoa mapepo kwa TSH. 50000. Huduma ni ya uhakika nafasi ni chache usije kusema hujaambiwa. Kwa maelezo zaidi njoo inbox.
Mwamposa kaja juzi, amelikuta Jina la YESU na atakufa na kuliacha likiendelea kufanya KAZI Kwa nguvu na ubora Ule Ule.Wewe kazana kutoa sadaka kwa mwamposa ukija kukumbuka shuka kumekucha. Wajinga ndio waliwao
Sasa huko Kanisani si ndio kila siku mnalalamika humu kua kuna wadada wana vaa nusu uchi? Halafu mnajijibu kua,Mungu wenu haangalii mavazi.Ukiona mtu amevaa nusu Uchumi usijiulize mara mbili Wala kumtizana RANGI, ana Pepo.
Donald Trump amekiri hadharani kuwa Yesu ndiye aliyemponya na risasi iliyolenga kumuua.Hilo jina linafukuza viumbe wa kufikirika (imaginary) huku Africa tuu embu jaribu kumtoa pepo Donald Trump au wazungu wengine na Wahindi au Wachina kwa jina la Yesu
Hawa si ndio manabii wanaotoa watu mapepo au ?🤣🤣🤣 Mwamposa kaingiaje hapa Tena mkuu?
Jibu swali hapo juu,Nimefungua kanisa lipo kigamboni mjimwema natoa mapepo kwa TSH. 50000. Huduma ni ya uhakika nafasi ni chache usije kusema hujaambiwa. Kwa maelezo zaidi njoo inbox.
Walokole hua mnakuaga kama vile mnachanjiwa,wewe hapo akili yako ulishamkabidhi mchungaji,hata ueleweshwe vipi huwezi kukubali jibu,Mwamposa kaja juzi, amelikuta Jina la YESU na atakufa na kuliacha likiendelea kufanya KAZI Kwa nguvu na ubora Ule Ule.
Jikite kwenye mada, kwanini Majina mengine, Allah, YEHOVA nk nk hayawezi kufukuza mapepo?
Mimi nilistuka zamani,
Isaya 9:6 ndivyo manabii walivyotabiri ujio wakeSalaam, shalom!!
Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.
Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!
Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?
Karibuni🙏
Jamaa anawamaliza kweli.Namwamini Mwenyezi Mungu na mwanae Yesu Kristo Ila siyumbishwi kiimani.Yaan nilipo ndio hapahapa.Nikiumwa ni hospital na kujiombea mwenyewe...maana kufa kupo tu hakukwepekiHawa si ndio manabii wanaotoa watu mapepo au ?
YOHANA 5:36Hivyo Yesu ndio Mungu wa Kweli,mwenye mamlaka ya vitu vyote vilivyopo ulimwenguni
MINDSETSalaam, shalom!!
Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.
Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!
Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?
Karibuni🙏