Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Baada ya Yesu kupaa Mbinguni,

Mbona Jina lake Hadi Leo Lina mamlaka ya kufukuza mapepo na kuponya magonjwa?

Fafanua hapo.
Linafukuzaje mapepo na magojwa

sijawahi kuona mgonjwa au hayo mapepo yametoka kwa jina la yesu zaid ya usanii tu!
 
Back
Top Bottom