Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Mapepo feki lazima yatoke mbele ya watu Ili watapeliwe zaidi na manabii na wachungaji matapeli. Hili ni bayana.
 
Na pepo msafi ni nani!?.. hakuna kiumbe kiitwacho shetani,shetani(kiarabu shaytwaani) ni hali ambayo hata wewe unaweza kuwa nayo,ukimshawishi mtu kufanya uovu wewe ni shetani
Soma Yohana 8:44

Shetani ni kiumbe, baba wa UOVU na uuaji na Hila zote.

Sasa kule hija Huwa mnarusha mawe kumponda nani ikiwa shetani ni Hali ya mtu kuwa mwovu?
 
Soma Yohana 8:44

Shetani ni kiumbe, baba wa UOVU na uuaji na Hila zote.

Sasa kule hija Huwa mnarusha mawe kumponda nani ikiwa shetani ni Hali ya mtu kuwa mwovu?
Ibilisi,aliyekua akimshawishi ibrahim asimtoe sadaka mwanae, ibilisi aliwalaghai adam na mkewe wakausogelea mti waliokatazwa,kitendo cha ibilisi kuwalaghai wamuasi mola wao, ibilisi anakua kafanya ushetani
 
Mitume wote (kila mmoja) alitumwa Duniani kwa kazi maalum
Yesu alitumwa duniani kipindi ambacho watu walikuwa wana amini Uchawi/Ushirikina, na kumuasi Mungu.

Mungu akaona atume mjumbe ampe nguvu ya kufanya zaidi ya wachawi ili wamwani Mungu.

Yesu akapewa uwezo mkubwa, wa kufukuza mapepo, kuponya waliorogwa na hata kuponya magonjwa ambayo yalikuwa hayana tiba, kufufua na mengine mengi ambayo wachawi hawakuyaweza. Hata kuzaliwa kwake Mungu alikufanya tofauti ili wachawi wajue kuwa, yupo mwenye mamlaka kuliko wao.

Na ndio sababu mtu yeyote mwenye imani akitumia jina la Yesu ambaye ndiye mjumbe aliyepewa hiyo nguvu, anaweza kuponya na hata kufukuza mapepo nk.

Kwa bahati mbaya sana, watu waka mwamini Yesu kuwa ndiye Mungu badala ya Kumuamini Mungu aliyemtuma
Unamuongelea Yesu au Issa?
 
Unajua / fahamu Multiple Personality Disorder ?

Tena hizi imani acha tu..., kuna kipindi Mapadre walikuwa eti wanaondoa mapepo Exorcisms (ni wengi walipoteza maisha) na nadhani upuuzi huo ulitaka tena kuletwa na kina Kiboko ya Wachawi...

Anyway to each their own...
 
Salaam, shalom!!

Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.

Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!

Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?

Karibuni🙏
Kichapo anachomilikishwa shetani amewatuma sasa wafuasi wake kuintigate kuwa Yesu siye bali ni Yeshua ili apumue na kisago
 
Mitume wote (kila mmoja) alitumwa Duniani kwa kazi maalum
Yesu alitumwa duniani kipindi ambacho watu walikuwa wana amini Uchawi/Ushirikina, na kumuasi Mungu.

Mungu akaona atume mjumbe ampe nguvu ya kufanya zaidi ya wachawi ili wamwani Mungu.

Yesu akapewa uwezo mkubwa, wa kufukuza mapepo, kuponya waliorogwa na hata kuponya magonjwa ambayo yalikuwa hayana tiba, kufufua na mengine mengi ambayo wachawi hawakuyaweza. Hata kuzaliwa kwake Mungu alikufanya tofauti ili wachawi wajue kuwa, yupo mwenye mamlaka kuliko wao.

Na ndio sababu mtu yeyote mwenye imani akitumia jina la Yesu ambaye ndiye mjumbe aliyepewa hiyo nguvu, anaweza kuponya na hata kufukuza mapepo nk.

Kwa bahati mbaya sana, watu waka mwamini Yesu kuwa ndiye Mungu badala ya Kumuamini Mungu aliyemtuma
Mtu yeyote anaweza fukuza Pepo Kwa Jina la YESU?

Mbona Kwa witch doctors, Sangoma ,msikitini hawalitumii Jina la YESU?

Kutumia Jina la YESU, shart uwe na authority, tofauti na hapo, mapepo yatakutandika na kukuchania nguo kama Wana wa Skewa!
 
Kichapo anachomilikishwa shetani amewatuma sasa wafuasi wake kuintigate kuwa Yesu siye bali ni Yeshua ili apumue na kisago
Yesu ni Kwa kiswahili,

Jesus ni Kwa Kiingereza,

YESHUA ni Kwa kiebrania .
 
Salaam, shalom!!

Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.

Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!

Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?

Karibuni🙏
Yesu ndiye mkuu wa hao wote.
 
Usilitaje bure jina Mungu wako, Mungu hatamhesabia haki mtu atajaye jina lake bure

Na ndio maana tunamtumia Yesu mwana kukemea maovu na pepo wachafu
 
Usilitaje bure jina Mungu wako, Mungu hatamhesabia haki mtu atajaye jina lake bure

Na ndio maana tunamtumia Yesu mwana kukemea maovu na pepo wachafu
Hujui kuwa ,

Mungu ni title ya Mamlaka ya juu kuliko zote Mbinguni na duniani, sio personal name ya Mungu?

Sasa Yesu ndilo JINA la Mungu,

Note: Kufukuza mapepo Kwa Jina la YESU/Mungu, Si kulitaja Bure Jina la Mungu.

Kulitaja Jina la Mungu katika mizaha ndio kulitaja Bure Jina la Mungu.
 
Back
Top Bottom