Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

aloo ww jamaa BABA ni jina? ama kiwakilishi cha jina?

kama ni kiwakilishi cha jina jina lenyewe ni nani?
biblia inasemaa jina la MUngu ni yesu kristo
Neno Baba katika kiswahili ni Jina au sio Jina?
 
Salaam, shalom!!

Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.

Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!

Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?

Karibuni🙏
Mapepo ndio kitu gani?
 
Wapi nimesema Mungu ana NAFSI tatu?

Mungu ana NAFSI Moja.

Kama ambavyo mtu ni ROHO, anaishi ndani ya MWILI, na ana NAFSI Moja.

Mungu pia ni NAFSI Moja, akikaa Mbinguni KITI Cha enzi ni Baba,

Akija duniani katika mwili ni Mwana,

Akiwa ndani ya watu wote at once, ni ROHO MTAKATIFU, lakini ni yule yule Mungu Mmoja, NAFSI Moja.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
amina
 
Wapi nimesema Mungu ana NAFSI tatu?

Mungu ana NAFSI Moja.

Kama ambavyo mtu ni ROHO, anaishi ndani ya MWILI, na ana NAFSI Moja.

Mungu pia ni NAFSI Moja, akikaa Mbinguni KITI Cha enzi ni Baba,

Akija duniani katika mwili ni Mwana,

Akiwa ndani ya watu wote at once, ni ROHO MTAKATIFU, lakini ni yule yule Mungu Mmoja, NAFSI Moja.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
upo sahihi kabisaaaa.
 
Wakolosai 1:26-28
[26]siri ile iliyofichwa tangu zamani zote na tangu vizazi vyote, bali sasa imefunuliwa kwa watakatifu wake;
Even the mystery which hath been hid from ages and from generations, but now is made manifest to his saints:
[27]ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika Mataifa, nao ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu
To whom God would make known what is the riches of the glory of this mystery among the Gentiles; which is Christ in you, the hope of glory:
[28]ambaye sisi tunamhubiri habari zake tukimwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu katika hekima yote, tupate kumleta kila mtu mtimilifu katika Kristo.
Whom we preach, warning every man, and teaching every man in all wisdom; that we may present every man perfect in Christ Jesus:
 
Matendo ya Mitume 4:12
[12]Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.
Neither is there salvation in any other: for there is none other name under heaven given among men, whereby we must be saved.
 
Wakolosai 1:26-28
[26]siri ile iliyofichwa tangu zamani zote na tangu vizazi vyote, bali sasa imefunuliwa kwa watakatifu wake;
Even the mystery which hath been hid from ages and from generations, but now is made manifest to his saints:
[27]ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika Mataifa, nao ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu
To whom God would make known what is the riches of the glory of this mystery among the Gentiles; which is Christ in you, the hope of glory:
[28]ambaye sisi tunamhubiri habari zake tukimwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu katika hekima yote, tupate kumleta kila mtu mtimilifu katika Kristo.
Whom we preach, warning every man, and teaching every man in all wisdom; that we may present every man perfect in Christ Jesus:
Amen, ubarikiwe 🙏
 
Matendo ya Mitume 4:12
[12]Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.
Neither is there salvation in any other: for there is none other name under heaven given among men, whereby we must be saved.
Not only under heaven,

Kila goti litapigwa Mbinguni na duniani na Kila ulimi utakiri Yesu ni BWANA Kwa utukufu wa Mungu baba.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
 
Not only under heaven,

Kila goti litapigwa Mbinguni na duniani na Kila ulimi utajiri Yesu ni BWANA Kwa utukufu wa Mungu baba.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
mungu akubariki sana .
upo sahihi kabisa kabisa
 
Not only under heaven,

Kila goti litapigwa Mbinguni na duniani na Kila ulimi utakiri Yesu ni BWANA Kwa utukufu wa Mungu baba.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen

ndio biblia inasema KUMJUA YESU NI NANI UNA UZIMA
 
Ndiyo maana ukiumwa njaaa unakula hufanyi maombi ili ushibe, hata yesu alilisha watu kwa samaki wawili na mikate mitano hakuombea washibe bali walikula wakashiba, kuna mahitaji ya mwili na mahitaji ya roho vi vitu viwili tofauti kabisa, ukiumwa mwili ukawa dhaifu kwa sababu ya dhaifu la mwili unatafuta tiba upone huombi, ukiumwa kwa kurogwa au kufanyiwa ushirikina ili uumwe unaombewa ili upone.
Miaka na miaka tunaona shuhuda za kupona presha,ukimwi,ulemavu baada ya kuombewa,unaandika utoko gani hapa!?
 
Salaam, shalom!!

Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.

Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!

Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?

Karibuni🙏
Ili jina la Yesu ndo tulilopewa kutuokoa kutukomboa kututoa katika maangamizi ya adui ili jina lina nguvu pia na damu ya Yesu ina nguvu sana 🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom