Ni kwanini K Lyn hakupata heshima anayostahili kwa mchango wake mkubwa kwenye Bongo Flava industry?

Ni kwanini K Lyn hakupata heshima anayostahili kwa mchango wake mkubwa kwenye Bongo Flava industry?

Alikuwa yupo vizuri sana.. na anasauti nzuri pia alikuw anavionjo vya wasanii wa magharibi..
 
Nakubaliana na wewe K Lyn is underated. Kabla ya kua Miss Tanzania alikua pia kwenye band moja ilikua inapiga live pale Kilimanjaro Hotel.
 
Nakubaliana na wewe K Lyn is underated. Kabla ya kua Miss Tanzania alikua pia kwenye band moja ilikua inapiga live pale Kilimanjaro Hotel.
Muziki ulikuwa unampenda Kylin kuzidi yeye anavyoupenda, ndani ya muda mfupi aliweza kutoa hits hizo 5 lakini Media hasa ile kubwa haikuzipa airtime inayostahili, Ilikuwa nadra kumuona kwenye shows, n.k. licha ya mashabiki kumkubali.

Nadhani kilichotokea alikataa kutumika na media kubwa ya enzi hizo, akaamua kufanya mziki kama hooby kama walivyofanya kina Sheila kwa kujali zaidi mashabiki kuzidi maslahi.
 
msimseme vibaya mtoto wa watu muacheni! hapa hatuzungumzii kudanga bali mziki wake.
Muziki na maisha, kwani uongo alikuwa gold digger? Licha ya kumkubali ila hio pia ilikuwa tabia yake chafu
 

Mchango wake kwenye sanaa ya bongo sio wa kubeza lakini alichukuliwa poa.

Hakuwa msanii aliebahatisha kutoa Hit moja au mbili akapotea, Alihusika kwenye Hits 5, Ni wasanii wa kike wachache sana waliweza kutoa hits zaidi ya 3 (Ray C, Jide, Enika, n.k.), Sio rahisi !!

Zifuatazo ni hits zake 5 alizowahi kutu bless kwenye bongo fleva
  • Nikipata wangu
  • Crazy over you ft Squeezer
  • Nalia kwa furaha ft Bushoke
  • Nishike mkono ft Blue
  • Chochote utapata ft Noorah
kuimba alikuwa anajua, Alitoa hits ndani ya muda mchache, Alikuwa mrembo (Miss Tanzania), alikuwa mchangamfu, Shooting kali, Vionjo vya wasanii wa Marekani, n.k.

Kwa mtazamo wangu sina ushahidi lakini navyoona K Lyn alikuwa na pesa nje ya muziki, alikataa unyanyasaji na unyonyaji wa media kubwa, mapromota wanyonyaji nao walishindwa kumnasa hivyo ikapelekea kupewa airtime kidogo kinyume na ukubwa wa hits zake pamoja na kuwa shows chache ambazo hazikuendana na kiu ya mshabiki, Muziki aliufanya kama hobby ya kufurahisha mashabiki zake kuzidi maslahi.
Ila kusema ukweli hizo nyimbo zote ulizozitaja, ni nzuri mpaka kesho. Lakini pia na yeye mwenye K Lyn ni mrembo aisee! Ni vile tu kwa sehemu fulani aliichafua CV yake kwenye lile sakata lake la kudai mirathi.
 

Mchango wake kwenye sanaa ya bongo sio wa kubeza lakini alichukuliwa poa.

Hakuwa msanii aliebahatisha kutoa Hit moja au mbili akapotea, Alihusika kwenye Hits 5, Ni wasanii wa kike wachache sana waliweza kutoa hits zaidi ya 3 (Ray C, Jide, Enika, n.k.), Sio rahisi !!

Zifuatazo ni hits zake 5 alizowahi kutu bless kwenye bongo fleva
  • Nikipata wangu
  • Crazy over you ft Squeezer
  • Nalia kwa furaha ft Bushoke
  • Nishike mkono ft Blue
  • Chochote utapata ft Noorah
kuimba alikuwa anajua, Alitoa hits ndani ya muda mchache, Alikuwa mrembo (Miss Tanzania), alikuwa mchangamfu, Shooting kali, Vionjo vya wasanii wa Marekani, n.k.

Kwa mtazamo wangu sina ushahidi lakini navyoona K Lyn alikuwa na pesa nje ya muziki, alikataa unyanyasaji na unyonyaji wa media kubwa, mapromota wanyonyaji nao walishindwa kumnasa hivyo ikapelekea kupewa airtime kidogo kinyume na ukubwa wa hits zake pamoja na kuwa shows chache ambazo hazikuendana na kiu ya mashabiki, Muziki aliufanya kama hobby ya kufurahisha mashabiki zake kuzidi maslahi.
She was brilliant

Tatizo hating is our middle name
 
Ile pisi imesimama aise mr plenty alikuwa anaenjoy sana.
 
Swali zuri sana! K Lyn bila shaka amekuwa mmoja wa wanamuziki wa kike wenye ushawishi mkubwa katika tasnia ya Bongo Flava, lakini ni kweli kwamba pengine hajapata kutambuliwa kwa kiwango ambacho wengine wamepata. Kuna sababu kadhaa zinazoweza kuchangia hili:
Angalia video hii hapa

1. Tasnia ya Muziki na Jinsia:
Ubaguzi wa kijinsia: Kwa bahati mbaya, wanawake katika tasnia ya muziki mara nyingi hukabiliwa na changamoto zaidi kuliko wanaume, kama vile kupata nafasi sawa za kuonyesha vipaji vyao, kupata mikopo kwa kazi zao, na kupata heshima inayostahili.
Kuzingatia maumbo na urembo: Wanawake mara nyingi hukaguliwa zaidi kwa muonekano wao kuliko vipaji vyao, na hii inaweza kuwafanya wasichukuliwe kwa uzito kama wasanii.

2. Ukosefu wa Uendelezaji wa Kazi:
Ukosefu wa Meneja mzuri: Kuwa na meneja mzuri kunaweza kufanya tofauti kubwa katika kukuza kazi ya msanii. Kutokuwa na meneja anayeweza kupanga mikakati mizuri ya uendelezaji kunaweza kuathiri umaarufu wa msanii.
Ukosefu wa Rasilimali: Kufanya kazi katika tasnia ya muziki inahitaji fedha nyingi kwa ajili ya kurekodi, kutengeneza video, na kufanya matangazo. Kukosa rasilimali za kutosha kunaweza kuzuia msanii kufikia hadhira kubwa.
Mfano huu hapa

3. Mabadiliko ya Mitindo ya Muziki:
Ushindani mkali: Tasnia ya muziki inabadilika haraka sana, na mitindo mpya hutokea kila mara. Wasanii wanapaswa kuwa makini sana ili kuweza kubaki kuwa na umuhimu.
Kuongezeka kwa wasanii wapya: Kila siku kuna wasanii wapya wanaoibuka, na hii inaweza kufanya iwe vigumu kwa wasanii wa zamani kuendelea kuwa katika uangalizi.

4. Utambuzi wa Mitandao ya Kijamii:
Umuhimu wa mitandao ya kijamii: Katika era ya digitali, mitandao ya kijamii ina jukumu kubwa katika kukuza umaarufu wa msanii. Wasanii ambao wana uwezo wa kutumia mitandao ya kijamii kwa ufanisi wanaweza kufikia hadhira kubwa zaidi.
Mfano hapa
Ni muhimu kutambua kwamba sababu hizi hazitumiki kwa K Lyn peke yake, bali kwa wanamuziki wengi wa kike. Ni muhimu kuendelea kumsapoti K Lyn na wasanii wengine wa kike ili waweze kupata nafasi sawa na wanaume katika tasnia ya muziki.
Kujua zaidi bonyeza hapa
 
Watu wenye mchango mkubwa kwenye Bongo fleva wakiombwa wanyooshe mkono juu, na yeye atanyoosha? Au unataka kututania?
 
K lyn yule mke wa professor janabi mke wa nyalandu yule Nancy sumary mke mmoja wa waziri sasa walikuwa wadangaji tu walikuwa wanawinda mapedeshee na wamewapata wamejaa kwenye mfumo kwa hyo heshima wamepata mkuu pamoja na hyo k lyn.
 
K lyn yule mke wa professor janabi mke wa nyalandu yule Nancy sumary mke mmoja wa waziri sasa walikuwa wadangaji tu walikuwa wanawinda mapedeshee na wamewapata wamejaa kwenye mfumo kwa hyo heshima wamepata mkuu pamoja na hyo k lyn.
1. Jackline Ntuyabaliwe
2. Faraja Kotta
3. Nancy Sumari

hawa watatu ndio ma-miss pekee ninaowakumbuka, ambao hawakua na skendo nyingi chafu, pia walifaidi udangaji wao mana waliolewa na vipoba!
 
Back
Top Bottom