🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jibu ni hiyo user name yako.
Umemkaripia vema. Ni vizuri kuwepo na mipaka ya utani.Use
Uwe unaangalia na aina ya utani mkuu ukiona huwezi nyamaza tu...unaweza kujiletea shida siku nyingine ohooo..yule sio rika yako..
Asante mkuu kumbe na wewe umeona kuna aina za utani na watu na mahali pa utani.Umemkaripia vema. Ni vizuri kuwepo na mipaka ya utani.
Kipindi cha Mzee Magufuli Dangote waliyumba na kusuasua sana kwenye biashara yao.. Nadhani sasa bei ya Cement itarudi kule ambako Dangote waliplan ifike.. Na hilo la makaa sina shaka lazima limezungumzwa.View attachment 1772376
FisadiKuu
huenda madereva wa Dangote sasa wakalipwa, hapo hakuna kudhulumiwa, labda na makaa ya mawe mchuchuma na gasi vikatolewa kwa punguzo ili uendeshaji kiwanda uwe nafuu
Use
Uwe unaangalia na aina ya utani mkuu ukiona huwezi nyamaza tu...unaweza kujiletea shida siku nyingine ohooo..yule sio rika yako..
Umemkaripia vema. Ni vizuri kuwepo na mipaka ya utani.
Asante mkuu kumbe na wewe umeona kuna aina za utani na watu na mahali pa utani.
Wala hukuelewa nilichoongea asikiaye na afahamu acha kudandia gari kwa mbele.Vijana wa JF bwana mnapigana jeki naona
Sasa unadhani huyo mama hakusema kuwa ni mke wa Olisegun au??
Au mlikua hamfwatilii bado maswala ya nchi ndo mmeanza juzi???
Halafu mnajua umri wa Sky Eclat ???
Wengine humu wanamtania Obasanjo ndo rika lao......kaeni kwa kutulia
NB: Hata mimi nilimshuhudia huyo maza akilalamika. Na anakaa mbezi beach mpaka leo hii yupo Tanzania hii