Jipu
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 2,950
- 6,215
Jaribu kuwa na fikra hata kidogo.Ninakumbuka awamu ya nne kuna mama Mtanzania alisema yeye ni mke wa Mzee Obasanjo na alitapeliwa kiwanja wakati anataka kuwekeza Tanzania.
Lakini katika profile ya Obasanjo hakuna maelezo ya kuwa na mke Mtanzania. Inawezekana mama ni mpango wa kando.
Huyu mzee ni shemeji yetu.