Vijana wa JF walizani unamaanisha huyo Mama alikua Mama Samia,kumbe ni Mwanamke mwingine sema nae ni Mtanzania!!,kwa jinsi nilivyokuelewa Mimi!!Vijana wa JF bwana mnapigana jeki naona
Sasa unadhani huyo mama hakusema kuwa ni mke wa Olisegun au?...
Mbona hata sisi tumevuka mipaka huko nje! Baharesa si yupo huko hadi Rwanda!!Sisi tumeshindwa kukuza vyaketu hata ndani,wenzetu wanavuka mipaka kwa usaidizi wa serikali zao,siku tukiamka usingizini wenzetu wanakula cha mchana kama sii cha jioni.
Mnasoma kwa kukurupuka. Hajamaanisha Samia amemaanisha huyo mama wa Mbezi.Hata wewe unataka kumchafua Bi mkubwa?
Obasanjo ana wake 18 akiwemo huyo mtanzania kwai ni kigogo dar es salaam ambapo Obasanjo mwenyewe amewahi kuishiNinakumbuka awamu ya nne kuna mama Mtanzania alisema yeye ni mke wa Mzee Obasanjo na alitapeliwa kiwanja wakati anataka kuwekeza Tanzania...
Na wewe unasoma bila kutumia akili, ni wapi kuna "distinction" mwandishi alipoonyesha ili nifikiri kinyume na ninavyodhania???---- onyesha hiyo distinction ili nifikiri vinginevyo waila inatakiwa huyo Sky ndiye afafanue na sio wewe.Mnasoma kwa kukurupuka. Hajamaanisha Samia amemaanisha huyo mama wa Mbezi.
Yani mtu akisema mama siku hizi ni moja kwa moja Samia? Salaleeee
Na wewe unasoma bila kutumia akili, ni wapi kuna "distinction" mwandishi alipoonyesha ili nifikiri kinyume na ninavyodhania???---- onyesha hiyo distinction ili nifikiri vinginevyo waila inatakiwa huyo Sky ndiye afafanue na sio wewe.
Wewe ni zuzu, badala ya kujibu unazuzuka🤣 toka lini nyoka mweusi akawa na akili??Wee jamaa ni kichwa maji kweli
Wewe ni zuzu, badala ya kujibu unazuzuka🤣
KUNA PESAWasalaam Wakuu,
Hivi ni kwanini kila kunapotokea changamoto/mgogoro kwenye kiwanda cha Dangote Cement Mtwara basi ndani ya siku chache tu lazima Rais Mstaafu wa Nigeria Obasanjo atue nchini na kuzungumza na Mkuu wa Nchi?...
Nyoka mweusi atakuwa nyoka tu hadi pale atakapokuwa kenge.Nijibu ujinga??
Vijana wa siku hizi hata Awe na shahada bado akili yake ni kama ya mbuzi tu.
Nyoka mweusi atakuwa nyoka tu hadi pale atakapokuwa kenge.
Wewe Sio nyoka, huwezi kupata hiyo heshima, wewe ni JOKA tena JEUSI, (The black serpent), hili ndilo lilikomuhadaa Hawa na akala tunda kule bustanini.Sawa Nyoka.
Wewe Sio nyoka, huwezi kupata hiyo heshima, wewe ni JOKA tena JEUSI, (The black serpent), hili ndilo lilikomuhadaa Hawa na akala tunda kule bustanini.
Sio hilo tuu angalia kila akiingia Rais mpya lazma atue nadhani ni mtaalamu wa security.Wasalaam Wakuu,
Hivi ni kwanini kila kunapotokea changamoto/mgogoro kwenye kiwanda cha Dangote Cement Mtwara basi ndani ya siku chache tu lazima Rais Mstaafu wa Nigeria Obasanjo atue nchini na kuzungumza na Mkuu wa Nchi?...
Leo Mbona umeandika Ujinga kuliko siku zote.Ninakumbuka awamu ya nne kuna mama Mtanzania alisema yeye ni mke wa Mzee Obasanjo na alitapeliwa kiwanja wakati anataka kuwekeza Tanzania...
Kubishana na mjinga ni upuuzi
Hiyo tunaita Retirement Plan.Obasanjo ni mwanademokrasia
Pia Dada yake Motsepe ndiye mke wa Ramaphosa..Ninachojua kwa Afrika hii hakuna Tajiri ( Bilionea ) ambaye ameibuka tu Mwenyewe bila Nguvu wa Kiongozi wa nchi.
Inasemekana Utajiri wa Dangote una mkono mkubwa wa huyo Rais Mstaafu wa Nigeria Obasanjo.
Inasemekana Utajiri alionao Mukwano ( si Jina lake halisi bali ni Brand Name yake tu ) wa Uganda una mkono mkubwa wa Familia ya Rais Museveni.
Inasemekana Utajiri mkubwa wa Familia ya akina Gupta huko Afrika Kusini ina mkono mkubwa wa aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma.
Inasemekana Utajiri mkubwa alionao Salim Said Bakhressa una mkono mkubwa wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa ( zamani OAU ) Balozi Salim Ahmed Salim ( japo pia Wameoleana ) vile vile.
Ilisemekana kuwa Utajiri mkubwa aliokuwa nao Yusuph Manji ulikuwa na mkono mkubwa wa Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete.
Inasemekana Utajiri mkubwa alionao Patrice Motsepe ( Rais wa CAF ) na pia Mmiliki wa Klabu kubwa na Tajiri sana Afrika Kusini ya Mamelodi Sundowns una mkono mkubwa wa Rais wa sasa wa Afrika Kusini Mheshimiwa Cyril Ramaphosa.
Inasemekana hata Utajiri aliokuwa nao Hayati Reginald Mengi una mkono mkubwa wa Waandamizi Watatu ( 3 ) wa Chama Tawala ( CCM ) na Mmoja sasa ni Marehemu.
Na inasemekana pia Utajiri mkubwa alionao Mo Dewji ( ambao ameurithi kutoka kwa Baba yake Mzee Ghullum ) nao pia una mkono wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi.
Ni vigumu mno kwa Bara hili la Afrika Mtu 'Kuibuka' tu kuwa Tajiri ( Bilionea ) bila kupigwa 'Tafu' na Marais wa nchi zao husika.
Huyo ni mbambanaji binafsi tena aliyehamasishwa na matendo yeti kuhamisha ,kama sii kupunguza uwekezaji wake kwetu na kuogopa kuweka mayai yote kwenye kaput moja.Mbona hata sisi tumevuka mipaka huko nje! Baharesa si yupo huko hadi Rwanda!!