Jaribu kuwa na fikra hata kidogo.Ninakumbuka awamu ya nne kuna mama Mtanzania alisema yeye ni mke wa Mzee Obasanjo na alitapeliwa kiwanja wakati anataka kuwekeza Tanzania.
Lakini katika profile ya Obasanjo hakuna maelezo ya kuwa na mke Mtanzania. Inawezekana mama ni mpango wa kando.
Huyu mzee ni shemeji yetu.
NED(Non Executive Director).Matajiri wengi huwa wanawapa hisa au vyeo Marais wastaafu au mawaziri wakuu kwa mambo kama haya na pia kampuni kuaminika zaidi.
Jambo la kawaida sana wakubwa kuwa Directors.
Afanye yote lakini ajue kwamba ata colombia na haiti kulikuwa na madini leo kuna mashimo tu na hao wanaoitwa wawekezaji hawapo tena.Kipindi cha Mzee Magufuli Dangote waliyumba na kusuasua sana kwenye biashara yao.. Nadhani sasa bei ya Cement itarudi kule ambako Dangote waliplan ifike.. Na hilo la makaa sina shaka lazima limezungumzwa.
Muda ni wakati mzuri sana Mkuu, ngoja tuone..
Punguza utundu.Ninakumbuka awamu ya nne kuna mama Mtanzania alisema yeye ni mke wa Mzee Obasanjo na alitapeliwa kiwanja wakati anataka kuwekeza Tanzania.
Lakini katika profile ya Obasanjo hakuna maelezo ya kuwa na mke Mtanzania. Inawezekana mama ni mpango wa kando.
Huyu mzee ni shemeji yetu.
GAZPRON na bomba la mafuta huko Ujerumani kutoka Russia, Mwenyekiti wa Bomba ni Chancelor Mstaff Shoda.Matajiri wengi huwa wanawapa hisa au vyeo Marais wastaafu au mawaziri wakuu kwa mambo kama haya na pia kampuni kuaminika zaidi.
Jambo la kawaida sana wakubwa kuwa Directors.
Ndio hivyo mkuu....wasijifungie kwenye boksi na tafsiri zisizo sahihiVijana wa JF walizani unamaanisha huyo Mama alikua Mama Samia,kumbe ni Mwanamke mwingine sema nae ni Mtanzania!!,kwa jinsi nilivyokuelewa Mimi!!
GAZPRON na bomba la mafuta huko Ujerumani kutoka Russia, Mwenyekiti wa Bomba ni Chancelor Mstaff Shoda.
Ukiwa na kampuni lazima uwe na Public Relation team itakayokusaidia kufanya lobbying kwa viongozi wa juu wa nchi wenye maamuzi ili kufanikisha malengo ya kampuni ndiyo maana Dangoti hapati shida kumwona Rais.Wasalaam Wakuu,
Hivi ni kwanini kila kunapotokea changamoto/ mgogoro kwenye kiwanda cha Dangote Cement Mtwara basi ndani ya siku chache tu lazima Rais Mstaafu wa Nigeria Obasanjo atue nchini na kuzungumza na Mkuu wa Nchi?
Ilitokea hili mara mbili wakati wa Rais Hayati Magufuli, na hivi majuzi badala ya mgogoro wa kiwanda na madereva nasikia leo hii Obasanjo ameonana na kufanya mazungumzo na Rais Mama Samia.
Kuna nini nyuma ya pazia Kati ya Dangote Group na Obasanjo?
@FisadiKuu [emoji38][emoji38][emoji38]Jibu ni hiyo user name yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jibu ni hiyo user name yako.
Lobbying ni mini maana yake boss,nitoe tongotongo[emoji101]Kuna kitu kinaitwa "Lobbying".
Ndicho ambacho Mzee Olusegun Obasanjo anafanya.
Uchumi ni siasa,Dangote ni home grown company ya Nigeria,imeitangaza nigeria duniani,Ili mambo ya Dangote yanyooke lazima uwatumie watu kama Obasanjo Rais mstaafu katika PR,na mahusiano ya nje na wakuu wa nchi nyingine,Wasalaam Wakuu,
Hivi ni kwanini kila kunapotokea changamoto/ mgogoro kwenye kiwanda cha Dangote Cement Mtwara basi ndani ya siku chache tu lazima Rais Mstaafu wa Nigeria Obasanjo atue nchini na kuzungumza na Mkuu wa Nchi?
Ilitokea hili mara mbili wakati wa Rais Hayati Magufuli, na hivi majuzi badala ya mgogoro wa kiwanda na madereva nasikia leo hii Obasanjo ameonana na kufanya mazungumzo na Rais Mama Samia.
Kuna nini nyuma ya pazia Kati ya Dangote Group na Obasanjo?
Ukiwa na kampuni lazima uwe na Public Relation team itakayokusaidia kufanya lobbying kwa viongozi wa juu wa nchi wenye maamuzi ili kufanikisha malengo ya kampuni ndiyo maana Dangoti hapati shida kumwona Rais.
Nafasi aliyoshika inamfanya kuwa PR mzuri kutengeneza mahusiano na kampuni na nchi mbalimbali, ndiyo maana makampuni kama Pepsi.Nike au Adidas wanawatumia Messi au RonaldoMzee Obasanjo hanaga shuguli maalumu..anazurura tu. Hata wewe ukiwa na harusi unaweza kumualika