Ni kwanini Makonda anakagua miradi iliyotekelezwa na Serikali na kisha kuikabidhi kwa CCM?

Ni kwanini Makonda anakagua miradi iliyotekelezwa na Serikali na kisha kuikabidhi kwa CCM?

SI vyema kumhusisha mtu na HISIA mbaya zisizoeleweka...si utu kwa kweli...acha KUTIA CHUKI MIOYONI MWA WATU
Huyu anasubiri firing squad come 2020!
Sababu mauaji ya Ben Saanane, Utekaji wa kina Roma mkatoliki, Mauaji ya Diwani wa Hananasifu na mengine mengi. Uzuri ni kwamba tayari yuko kwenye list ya No-fly -Ban anakikanyaga tu kwenye international airport yoyote duniani anakula bangili za chuma!! Mwacheni atapetape!
 
SI vyema kumhusisha mtu na HISIA mbaya zisizoeleweka...si utu kwa kweli...acha KUTIA CHUKI MIOYONI MWA WATU
Wewe huyu yupo kwenye list! Ni rahisi tu hebu muulize hili: Akina Diamond walienda kumlilia wakati Roma alipotekwa! Yeye akawaahidi kuwa wasiwe na wasiwasi angerudishwa kabla ya Jumamosi- Ikawa hivyo. Vile vile ilikuwa hivyo kwa Mo Dewji. Sasa Roma yuko US ametoa ushahidi kuwa Makonda anahusika na utekaji wake. Yuko amepigwa Ban kukanyaga US na kupanda ndege za kimataifa! Huyu alikuwa Dodoma wakati Tundu Lissu akishambuliwa na viashiria vyote vinamhusisha na shambulio hili baya. Huyu anahusishwa na Nape kutishiwa wakati akimchunguza na uvamizi wa Clouds ambayo ni tuhuma yenye ushahidi wa CCTV camera! Usimtetee muuaji POLE
 
Ndugu zangu, mimi sielewi hii kitu.

Nauliza ili nipate kujua, nimekuwa nikishangaa huu mkakati wa Paulo Makonda, RC Dar es Salaam. Sijawahi kuona kabla, pengine ni kwa vile sijui!

Kama hiyo haitoshi, anatumia nafasi hiyo kuwadhihaki watu na kuwananga ikiwa mbunge wa eneo la mradi hatokani na chama chake.

Pamoja na ukweli kuwa serikali iliyopo madarakani inatekeleza ilani ya chama chake, ni nini kinawapa umiliki namna hii?

Miradi ya maendeleo, miradi ya serikali, ni vipi inakabidhiwa kwa chama? Je, ni mali ya chama?

Maendeleo hayana vyama!

Wasalaam,

Ncha Kali.
Kipindi hiki tumevamiwa na wajinga fulani kwenye uongozi wa nchi hii na wameharibu nchi sana nadhani mnawajua.
 
Nimeleta hoja hii nikiwa na wasiwasi kwamba huenda ni mimi tu nisiyeelewa, michango ya wadau inaonesha kwa wote ni kitu kigeni.

Kama ni hivyo basi, tuseme ni utaratibu wa CCM mpya.?

Haikuwa ikifanyika hivi huko nyuma, na hata sasa haionekani kufanyika mikoa yote.

Sasa watetezi mnaosema ni ilani ya chama, hamuoni mmekosa hoja.?

Kuna tatizo pahala, tatizo ni kubwa!

Nguvu nyingi inatumika kulazimisha watu waone mambo makubwa yaliyofanywa na serikali ya kishindo, na sasa inamilikisha chama ili kipate la kusema!
 
Kipindi hiki tumevamiwa na wajinga fulani kwenye uongozi wa nchi hii na wameharibu nchi sana nadhani mnawajua.
Wanafanya hayo maovu na bado wanapata waungaji mkono,hata humu Jukwaani wamejazana,hawalali na wapi online 24/7.Ukistaajabu ya Wamalawi utayaona ya Watanzania panapo October 2020!!!
Nani katuloga hasa?Tunasifia mashujaa mbali mbali kama kina Mwl Nyerere,Mzee Madiba,Lumumba na wengine kwa kuthubutu kusimamia haki kwa wote huku hatuthubutu hats kukemea unyanyasaji dhidi ya Watanzania wenzetu wanaokandamizwa na watawala weusi wenzetu?Uzalendo maana yake nini?
 
Chama tawala ni kipi? Tuanze hapo kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app

Chama tawala ni CCM.

Je, kimeanza mwaka huu kutawala.?

Kinatawala Dar es Salaam pekee.?

Huu utaratibu wa kukabidhiwa miradi ya serikali umekuwa ukifanyika hivi siku zote.?

Miradi yote imekuwa ikikabidhiwa kwa chama.?

Maswali haya ndo msingi wa hoja yangu, karibu tuendelee.
 
Hata sisi wananch hatuijui serekal ila ccm sababu ndio tulio wapa dhamana so wao ndio wanatakiwa waje Tena kwetu kutuonesha kama kwel Yale walio tuahid na tuliyo watuma wameyafanya kweli
Ndiomana hata chadema Hua mnaitukana ccm pale serikal inapo borongo Hua hamuitukan serekal directly
 
Wewe huyu yupo kwenye list! Ni rahisi tu hebu muulize hili: Akina Diamond walienda kumlilia wakati Roma alipotekwa! Yeye akawaahidi kuwa wasiwe na wasiwasi angerudishwa kabla ya Jumamosi- Ikawa hivyo. Vile vile ilikuwa hivyo kwa Mo Dewji. Sasa Roma yuko US ametoa ushahidi kuwa Makonda r na utekaji wake. Yuko amepigwa Ban kukanyaga US na kupanda ndege za kimataifa! Huyu alikuwa Dodoma wakati Tundu Lissu akishambuliwa na viashiria vyote vinamhusisha na shambulio hili baya. Huyu anahusishwa na Nape kutishiwa wakati akimchunguza na uvamizi wa Clouds ambayo ni tuhuma yenye ushahidi wa CCTV camera! Usimtetee muuaji POLE
Ya "akutukanaye".....
Acha kuunganishaunganisha picha ili upate mtiririko uutakao.....

Makonda ni mwanasiasa kijana na alianza kuandamwa siku nyingi huko toka akiwa TAHLISO...
Jiwe la kumshambulia kuliko kukubwa LILISIMIKWA pale aliposimama kidete kuyaongelea machafu ya upigaji juu ya lile jengo letu la vijana UVCCM....
IKUMBUKWE ALIKUWA ANAPAMBANA NA WATU WALIOKUWA NYUMA YA MAGOGO WA UPIGAJI NCHINI HAPA.

HAYO YAKAPITA

CHUKI ikaendelea dhidi yake pale alipokuwa anasimama KISIASA na baadhi ya wale "mitume 12 wa BUNGE".......

Makonda AMEKUWA mhanga wa mashambulizi YANAYORATIBIWA VYEMA kutoka kwa wale watu wenye NGUVU zisizoeleweka.....
Nakukumbusha tu uwezo wa HAO WATU....

Mh.Mizengo Kayanza Peter Pinda alishawahi kulalamika bungeni kuwa
"majitu hayo Yana mitandao mipana yenye propaganda na udundumwizi mwingi,si majitu mepesi hata KIDOGO"
Sasa km waziri mkuu....mtendaji mkuu wa serikali...mtu ambaye anaijua nchi zaidi ya kijana mwenzetu makonda ANAYAPWAGA HAYO HADHARANI.....
Je akitokea kijana mkakamavu na jasiri wa kuyasema hayo,ATABAKI SALAMA?!!!
TUWENI WAKWELI JAMA...

Makonda anashambuliwa kukubwa na wengi ambao wamekodisha "wapiga miluzi ya CHUKI" wasio na IDADI....

Mnyonge mnyongeni,Haki yake mpeni.

THINK THRICE
 
Back
Top Bottom