Ni kwanini Makonda anakagua miradi iliyotekelezwa na Serikali na kisha kuikabidhi kwa CCM?

Ni kwanini Makonda anakagua miradi iliyotekelezwa na Serikali na kisha kuikabidhi kwa CCM?

Yaani huyu anaharibu kabisa natamani nimwambie Raisi huyu anakuharibia hicho anachokifanya ni rabish matokeo yake anawapigia campaign wapinzani kwa kuonyesha kuwa CCM hawajafanya kitu huku akiwataja taja CHADEMA.Yaani Katibu mkuu ,review hiki anachokifanya Makonda please
 
Kwani hiyo Miradi inasimamiwa na Serikali ya Chama gani? Hivi Upinzani wa Tanzania unaunda Serikali ya sasa? Swali lako ni la Kitoto sana na sikudhani kama ungeliuliza wakati lipo tu wazi na majibu yake yapo hadharani. Yaani umeshindwa tu hata kujua ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ndicho Kinaunda Serikali Kuu hii iliyopo ya hawa Watendaji akina Mkuu wa Mkoa Makonda na kwamba yote haya unayomshangaa Mkuu wa Mkoa Makonda kuyafanya na hadi kuyazindua hivi ni sehemu ya Utekelezaji wa yale yaliyokuwa katika ILANI ya Chama Tawala ( CCM ) Ndugu? Umenishangaza mno!

Hapa kila mtu anakushangaa small-minded person. Na watu wa aina hii ni wengi sana na ndio shida ya nchi hii. Nchii hii itasonga mbele kadiri akili kama zako zinavozidi kupungua.

Umeshindwa kutambua kuwa point hapa si nani anaongoza serikali. Bali “kuikabithi CCM miradi”. Nakukumbusha - ona tofauti kati ya CCM na serikali. Serikali (inayoongozwa na CCM) hii inafanya kazi kwa niaba ya watanzania!! Miradi ya CCM ni ile iliyogharimiwa kwa fedha za CCM. Mambo yanayofanywa kwa kodi ni mali za watanzania kwa ujumla wao!!

Makabidhiano kati ya RC na CCM ni propaganda. Miradi hii si ya CCM, ni ya waTanzania!!
 
Kwani hiyo Miradi inasimamiwa na Serikali ya Chama gani? Hivi Upinzani wa Tanzania unaunda Serikali ya sasa? Swali lako ni la Kitoto sana na sikudhani kama ungeliuliza wakati lipo tu wazi na majibu yake yapo hadharani. Yaani umeshindwa tu hata kujua ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ndicho Kinaunda Serikali Kuu hii iliyopo ya hawa Watendaji akina Mkuu wa Mkoa Makonda na kwamba yote haya unayomshangaa Mkuu wa Mkoa Makonda kuyafanya na hadi kuyazindua hivi ni sehemu ya Utekelezaji wa yale yaliyokuwa katika ILANI ya Chama Tawala ( CCM ) Ndugu? Umenishangaza mno!

Mi sina mashaka na mtazamo wangu juu yako, una uelewa mdogo mno kiasi kwamba sitarajii kitu kikubwa kutoka kwenye mchango wako... siwezi tu kukupuuza.

Na hata hapo ni kwamba umejitahidi sana, unastahili pongezi mno... tuko tofauti ila tunavumiliana.

Uko sahihi!
 
Mi sina mashaka na mtazamo wangu juu yako, una uelewa mdogo mno kiasi kwamba sitarajii kitu kikubwa kutoka kwenye mchango wako... siwezi tu kukupuuza.

Na hata hapo ni kwamba umejitahidi sana, unastahili pongezi mno... tuko tofauti ila tunavumiliana.

Uko sahihi!

Akili yako na ya Mpuuzi Mchezaji na Nahodha wa Azam FC Frank Domayo aliyemuumiza vibaya leo Beki wa Simba SC Shomari Kapombe ni sawa tu.
 
Kama ilivyo kwa Iran kutoa hati ya kukamtwa Trump na kuomba Interpol isaidie kwa kosa la kumuua mkuu wao wa operation za mafunzo ya kijeshi, waliyotoa wiki iliyopita.

Nami natoa hati ya kukamatwa kwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda kwa kosa la kufanya ziara ya ki-serikali akiwa amevalia mavazi ya kichama akiongozana na wana-CCM kwa kutumia gharama za serikali, huku akionekana kufanya zaidi siasa kuliko kufanya kazi ya umma, haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma na naagiza akamatwe.

IGP Sirro, saidia hili.

Usiniulize mimi ni nani, mpaka niagize hivi? Kwani Iran amewazaje?

Ebooo 😎
 
Kama ilivyo kwa Iran kutoa hati ya kukamtwa Trump na kuomba Interpol isaidie kwa kosa la kumuua mkuu wao wa operation za mafunzo ya kijeshi, waliyotoa wiki iliyopita.

Nami natoa hati ya kukamatwa kwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda kwa kosa la kufanya ziara ya ki-serikali akiwa amevalia mavazi ya kichama akiongozana na wana-CCM kwa kutumia gharama za serikali, huku akionekana kufanya zaidi siasa kuliko kufanya kazi ya umma, haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma na naagiza akamatwe.

IGP Sirro, saidia hili.

Usiniulize mimi ni nani, mpaka niagize hivi? Kwani Iran amewazaje?

Ebooo 😎
Nakuombea pia kwenye hili... Nakuombea sana
 
Tatizo la Makonda limeanzia mbali, kumbe hii kukabidhi miradi alikuwa anakabidhi kila kitu!
 
Alikabidhi miradi yetu pamoja na dhamana tuliyomwazima, sasa apumzike kwa amani.
 
Ndugu zangu, au mimi tu sielewi hii kitu!

Nauliza ili nipate kujua, nimekuwa nikishangaa huu mkakati wa Paulo Makonda, RC Dar es Salaam. Sijawahi kuona kabla, pengine ni kwa vile sijui!

Kama hiyo haitoshi, anatumia nafasi hiyo kuwadhihaki watu na kuwananga ikiwa mbunge wa eneo la mradi hatokani na chama chake.

Pamoja na ukweli kuwa serikali iliyopo madarakani inatekeleza ilani ya chama chake, ni nini kinawapa umiliki namna hii?

Miradi ya maendeleo, miradi ya serikali, ni vipi inakabidhiwa kwa chama? Je, ni mali ya chama?

Maendeleo hayana vyama!

Wasalaam,

Ncha Kali.
Kwa sasa unaweza kumshitaki
 
Back
Top Bottom