crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Ile pesa ilikuwa inatosha kununua bonge la kiungo wakutumika kwa muda mrefu na kuipa mafanikio timu.
Tumemnunua casemiro umri 31 halafu unampa mkataba wamiaka 6 akiwa miongoni mwa highly paid players ndani ya timu. Jamaa hana cha kupoteza pale. Kashashinda kila kitu labda Europa tu.
Dah kweli hii timu ina pesa za kuchezea aisee . ona sasa inachofanywa. so sad
Tumemnunua casemiro umri 31 halafu unampa mkataba wamiaka 6 akiwa miongoni mwa highly paid players ndani ya timu. Jamaa hana cha kupoteza pale. Kashashinda kila kitu labda Europa tu.
Dah kweli hii timu ina pesa za kuchezea aisee . ona sasa inachofanywa. so sad