Ni Kwanini Mdude Nyagali hakamatwi na hachukuliwi Hatua Kali Kwa Kuendelea Kumchafua Rais Samia Bila Ushahidi?

Yule jamaa naona kichwa chake hakipo sawa.
Swali fikirishi aliye mharibu akili ni nani?, Kwa wale ambao hawajui akili ya binadamu inavyofanya kazi nikwamba akili ya binadamu huihifadhi kumbukumbu ya kila kitu tunacho kiona, kusikia na kufunza, (life learning skills) na kufundishwa, binadamu ukikutana na jambo fulani ama changamoto ubongo hutafsiri kumbukumbu ulizo zihifadhi kukabiliana na changamoto uliyona nayo na kama huna ulicho hifadhi huwezi kukabiliana na changamoto.

Binadamu ndiye mara nyingi husababisha changamoto kwa wengine kwa makusudi ama bila kujua, hata yeye hujisabanishia Changamoto kwa uzembe uvivu ujinga na ushamba, uwezo wa binadamu kutafsiri kumbukumbu alizo zihifadhi kwa haraka na kupata suluhisho hutambuliwa kama mwenye akili sana
 
Nashangaa hivyo vi kesi vidogo vidogo wanavyopewa, sijui DPP na na DCI wanakwama wapi,, kama ya Boniphace Jackob, hiyo nayo ni kesi kweli
 
Mawazo gani ni ya kijinga?

Unaelewa "Lese Majeste" ni nini?

Unaelewa muelekeo wa dunia ya wanasheria wasomi kuhusu Lese Majeste katika dunia ya leo ni upi?

Umesoma kitabu gani, makala gani, kuhusu sheria za Lese Majeste?
Unamuonea bure Lucas Mwashambwa sidhani kama anakuelewa
 
Kwamba Mungu amekosa kazi?
Hakika ni Mungu tu anamlinda Mdude ndio maana yuko huru kueleza kwa uwazi hayo unayoyalalamikia. Miongoni mwa watu wengi wanaotukana kimoyomoyo, jasiri Mdude Nyagali yuko free ku express kilichopo moyoni mwake. Mungu wake anamlinda na hatakuja kupatwa na hayo unayoyataka.
 
umekurupuka kama mlevi

Unaweza kutukana lakini ujumbe wa Mdude Nyagali ulikuwa on point, na umefika Ikulu, umefika Mambo ya Ndani, umefika TISS, umefika most importantly, kwa wananchi.

Nyagali kasema Party Secretary Nchimbi was more presidential and statesmanlike in his remarks because he tried to unite a nation in turmoil and trepidation.

Samia akaja akapindua yote yaliyosemwa na Nchimbi, akachafua hali ya hewa aliyojaribu kuirekebisha Nchimbi.

Na Nchimbi alisema kada yeyote wa chama anaeongea "mambo ya kijinga" yeye toka aingie amekua "akiruka nae." Sasa tulitegema akija kuongea Mwenyekiti wa chama basi akazie pale Nchimbi alipoachia, sio kuliambia taifa wanaomlilia na kulaani kifo cha Kibao "ni makhulukutabu...kufa kupo... serikali yangu si ya samaki ....sing'oki kirahisi... kufa kwaja ... mabalozi wameongea ya kwao sio ya nchi zao... watoto wa polisi wapewe ajira polisi, huyu si wa kwanza kufa, kifo ni kifo."

Kama kifo ni kifo kwa nini juzi ulitoa statement ya Twitter ya kukemea mauaji ya Kibao ???

Soma spichi unazoandikiwa Mama Samia.
 

Yah right ..... Hawamkamati kwa vile wanajua anasema UKWELI ....!!
 
Mkamateni Mange Kimambi ata me simuelewi ila sumu ya nyigu kaa mbali

Ni mwanaharakati sio mchumia tumbo kama wengi wenu kazi moja tu kusifia ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…