Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Naamini alikuwa anapuuzwa tu baada ya kuona kichwani kwake kuna tatizo.ila sasa ni lazima achukuliwe hatua kali sanaNdumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini alikuwa anapuuzwa tu baada ya kuona kichwani kwake kuna tatizo.ila sasa ni lazima achukuliwe hatua kali sanaNdumba
Kwa hiyo inachofanya yeye ndio kazi yake hiyo kudhalilisha na kutukana wengine? Kwani yeye yupo juu ya sheria?Wewe Mwashambwa Iko hivi:Watu kama huyo uliyemtaja walikuwepo,wapo,Watakuwepo hadi kiama, Wewe chapa kazi simamia unachoamini na kutenda!
Mbona una mawazo ya kijinga kiasi hiki? Umeandika ukiwa umeweka vitu gani kichwani mwako?Rais anayeongoza mamilioni ya watu kutukanwa waziwazi ni rukhsa.
Ukikataza rais kutukanwa hadharani, unaalika vikao vya siri vya mapinduzi ya kijeshi, watu wampige risasi na kumua rais.
Kuruhusu rais atukanwe hadharani kunamsaidia hata rais mwenyewe kujua watu hawapendi nini.
Kunavisaidia hata vyombo vya usalama kuweza ku monitor nchi.
Usifikiri nchi zilizoendelea zenye demokrasia ya juu zinazoruhusu viongozi wao watukanwe wazi ni nchi za watu wajinga, na sisi kuweka utamaduni wa Lese Majeste, kuweka sheria kali dhidi ya kutukana viongozi, ni ujanja.
Kwani ikitokea kichaa anakuja na kisu utakaa umuangalie?Sasa kama unajua kichwa chake hakiko sawa kwa nini unafungua thread kumjadili? Na wewe utakuwa na shida upstairs
Ni lazima afahamu ya kuwa sheria ni msumeno.na itamfikia vyema kabisa.Yupo humu Mdude_Nyagali , Mkuu pole na masahibu naona hapa kuna Chawa wa Mama kakuanzishia uzi. Kama una nafasi mjibu.
Lucas Mwashambwa
Mawazo gani ni ya kijinga?Mbona una mawazo ya kijinga kiasi hiki? Umeandika ukiwa umeweka vitu gani kichwani mwako?
Ni lazima afahamu ya kuwa sheria ni msumeno.na itamfikia vyema kabisa.
Unavyomwona Mdude ndivyo ulivyo kabisa, tofauti yenu ni vyama tu.Yule jamaa naona kichwa chake hakipo sawa.
Wapi umeona mimi nikimtukana mtu au kumzushia mtu uongo?Unavyomwona Mdude ndivyo ulivyo kabisa, tofauti yenu ni vyama tu.
Unaelewa "Lese Majeste" ni nini? 🤔Mbona una mawazo ya kijinga kiasi hiki? Umeandika ukiwa umeweka vitu gani kichwani mwako?
Embu acha kujishushia heshima hapa wewe mwenye mawazo kama mdudeMawazo gani ni ya kijinga?
Unaelewa "Lese Majeste" ni nini?
Unaelewa muelekeo wa dunia ya wanasheria wasomi kuhusu Lese Majeste katika dunia ya leo ni upi?
Umesoma kitabu gani, makala gani, kuhusu sheria za Lese Majeste?
A crime against the Crown,Mawazo gani ni ya kijinga?
Unaelewa "Lese Majeste" ni nini?
Unaelewa muelekeo wa dunia ya wanasheria wasomi kuhusu Lese Majeste katika dunia ya leo ni upi?
Umesoma kitabu gani, makala gani, kuhusu sheria za Lese Majeste?
Endeleeni na ujinga mkifikiri kuwa mpo juu ya sheriaA crime against the Crown,
Huyu lice hajui chochote zaidi ya kusifia
Ikiwa hivyo itabidi Atapelekwa Mirembe kuungana na walioko kule.Mdude hata akikamatwa anashinda kesi maana zitapelekwa document zinazothibitisha anamatatizo ya akili
nyamaza au nimuite ticha wako aliekufundisha chuo,Endeleeni na ujinga mkifikiri kuwa mpo juu ya sheria
Comrade yule jamaa ni yale MADISHI YA ZAMANI yale MAKUBWA YA KUSAMBAZA CABLE UHINDINI. ALAFU LIMEFYATULIWA 😂😂😂😂Yule jamaa naona kichwa chake hakipo sawa.