Ni Kwanini Mdude Nyagali hakamatwi na hachukuliwi Hatua Kali Kwa Kuendelea Kumchafua Rais Samia Bila Ushahidi?

Ni Kwanini Mdude Nyagali hakamatwi na hachukuliwi Hatua Kali Kwa Kuendelea Kumchafua Rais Samia Bila Ushahidi?

Ndugu zangu Watanzania,

Ikiwa tutaacha Taifa likajenga utamaduni wa watu wakatumia mitandao ya kijamii kuchafua viongozi wetu,kuwapaka matope, kuwadhalilisha, kuwatukana matusi bila kuchukuliwa hatua wala kukamatwa ili watoe ushahidi tutakuwa tunariharibu Taifa letu.tutakuwa tunaharibu maadili na utamaduni mzima wa kuheshimiana na kukosoana kwa staha.

Imeshakuwa kero sana kwetu wananchi kuona mara nyingi sana Mdude Nyagali akitumia mitandao ya kijamii kumtolea RAIS wetu lugha za matusi, kumdhalilisha ,pamoja na kumhusisha ,kumzushia tuhuma za uongo, uchonganishi na zenye lengo la kumchafua pasipo ushahidi wa aina yoyote ile.

Amekuwa akifanya hivyo mara nyingi sana.na kitendo cha kukaliwa kimya pasipo kuchukuliwa hatua za kukamatwa,kuhojiwa,kufikishwa mahakamani kumemfanya ajione yupo juu ya sheria,kujiona anaogopwa ,kujiona yeye anaweza kufanya lolote,kusema chochote, kumtukana yeyote, kumdhalilisha yeyote,kumvunjia heshima yeyote,kumzushia yeyote pasipo kuchukuliwa hatua wala kukamatwa wala kuhojiwa wala kukemewa.

Imefanya watu wabaki wanashangaa inakuwaje mtu huyu anayefanya kazi ya kumchafua Mheshimiwa Rais kila siku anaachwa bila kuchukuliwa hatua? Watu wanashangaa kwanini anafumbiwa macho muda wote? Wahusika mnasubiri mtu huyu aropoke au aseme nini au amchafue vipi na kwa kiasi gani Rais wetu ndipo mumchukulie Hatua? Je sheria zinatumika kwa baadhi ya watu na kufungwa pingu kwa wengine kutokutumika?

Kwanini hamumkamati na kumhoji ili atoe ushahidi wa tuhuma anazozitoa? Yeye ni nani katika Taifa hili? Hii haikubaliki wala kuvumilika kuona akimchafua Rais wetu Pasipo kuchukuliwa hatua kali za kisheria. ni lazima tufahamu ya kuwa hakuna uhuru usio na mipaka,hakuna uhuru au demokrasia kwa ajili ya kutukana , kudhalilisha,kuwashushia heshima wengine pamoja na kuwapaka matope wengine. Uhuru una kwenda sambamba na wajibu wa kuzingatia haki za watu wengine .

Huwezi ukawa unachafua watu wengine halafu ukasema ni demokrasia au uhuru.uhuru na demokrasia ina mipaka yake. Nawakumbusheni ya kuwa Mbali ya kuwa RAIS Samia ni Mama mwenye watoto, wajukuu lakini kubwa ni kuwa Ni Rais wetu ,ni kiongozi wetu tunaye muangalia na anayegusa Maisha yetu moja kwa moja. Kwa hiyo hatufurahishwi wala kupendezwa kuona Rais wetu akichafuliwa na mtu au kuzushiwa mambo yasiyo na ushahidi wa aina yoyote ile.hii haikubaliki hata kidogo.

Ni lazima tabia hii mbaya na chafu inayofanywa na watu aina ya Mdude Nyagali waliokosa adabu na staha tuipinge,kuikemea ,kuishambulia na kuikataa kabisa hapa Nchini.ni lazima tuseme tunataka uhuru na demokrasia lakini siyo uhuru wa kuwatusi na kuwachafua wengine bila ushahidi wa aina yoyote ile.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Viongozi wanaoingia madarakani kwa kupora chaguzi wana usafi gani? Kuingia madarakani kwa kuiba chaguzi ni ziadi y a hizo kauli za Mdude zinazokuliza hapa.
 
Ukiona umepaniki sana basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile hata ukifa.
Kufa utatangulia wewe ,Mungu bado yupo na majukum na mimi na siku ikifika kufa ni wajibu

Kuna ujinga mwingi sana ,hasa nyie vijana wa ccm ,kijana wa ccm akisha kua na no ya mwenyekiti ,ccm mkoa, wilaya , akaongeza ya mwenyekiti uvcc taifa basi, basi huona yupo kwenye system tiyari , mfano wa vijana wa namna hii ni wewe.

Nyie machawa sikia ccm hatuko ila wapo ndugu na jamaa wenye sauti sio nyie makabwela ila tumechagua haki

Natukutanapo na dugu zetu hutuimarisha zaidi katika mapambano sio nyie machawa, daily kesha na kujiona mpo na umuhim sana ndani ya ccm,akili zero kabisa
 
Moyo wa unyama unakuwasha sana mkuu

Last two week mods walikuokoa kwa kufuta uzi uliouweka ukitaka SATIVA atekwe nankupotea na nduguze wasihangaike kumtafuta. Tukasema uzi ule uwe ushahidi wakakuokoa ukaondolewa


Leo kiu ya damu inakupa kiherehere unataka Mdude naye akamatwe. Tunajua unamaanisha nini kwenye hiyo aya uliyoweka hapo.

Ndugu.
Usidhani hao wanaoongea wanasema uongo. Dola imekuwa behind all this na unajiaminisha kuwa upo salama, wakishamalizana na sisi watakuja kwenu mliobeba siri zao
Unaweza weka ushahidi wako wa kauli ,maneno,tuhuma na shutuma atoazo Mdude? Unaweza kumtuhumu mtu bila ushahidi? Mara ngapi mdude amekuwa akimtukana, kumdhalilisha,kumtweza ,kumchafua na kumvunjia heshima? Unaona ni sawa kwa afanyayo Mdude? Nasema tena kuwa hiyo haikubaliki na lazima ifike mwisho kwa mtu huyu kuwajibishwa ipasavyo.
 
Nenda kamkamate wewe unajiona unajua kuliko maboss wako wanaokufanya uende chooni.
 
Viongozi wa nchi zilizoendelea huwa wanapotezea tu walopokaji.
Walopokaji wanaweza kukuyumbisha kama utawae dekeza.
Kauli zinazo sikilizwa ni za viongozi wa juu ambao wana maadili ya uongozi.
Kama Mitume walikuwa wanasemwa vibaya Kiongozi utazuiaje kusemwa.
Mwambie Mama achape kazi kelele zipo tu.
 
Kufa utatangulia wewe ,Mungu bado yupo na majukum na mimi na siku ikifika kufa ni wajibu

Kuna ujinga mwingi sana ,hasa nyie vijana wa ccm ,kijana wa ccm akisha kua na no ya mwenyekiti ,ccm mkoa, wilaya , akaongeza ya mwenyekiti uvcc taifa basi, basi huona yupo kwenye system tiyari , mfano wa vijana wa namna hii ni wewe.

Nyie machawa sikia ccm hatuko ila wapo ndugu na jamaa wenye sauti sio nyie makabwela ila tumechagua haki

Natukutanapo na dugu zetu hutuimarisha zaidi katika mapambano sio nyie machawa, daily kesha na kujiona mpo na umuhim sana ndani ya ccm,akili zero kabisa
Porojo zako hazina mashiko hata kidogo. Lazma ufahamu ya kuwa nchi hiii inaendeshwa kwa misingi ya sheria na katiba.hakuna sheria inayoruhusu mtu kudhalilisha wengine na kuwazushia uongo watu wengine
 
Tatizo ni kwamba Lucas unafikiria mambo kwa kutumia "masaburi' badala ya ubongo. Kipi kigeni alichoongea Mdude ambacho ni uongo? we mgeni hapa nchini?. Wakati Tundu Lissu anatoa taarifu kuwa kuna watu mabaya wanamfuatilia si mlisema uzushi? Baada ya hapo Lissu hakushambuliwa kwa risasi za moto? Acha ujinga katika issue zinazo husu uhai wa wengine. Unajikomba mpaka aibu.
Anaweza akathibitisha kwa ushahidi tuhuma alizoziweka?
 
Mdude Nyagali alisema Samia ni fisadi na mla rushwa ; mnataka ushahidi gani zaidi ya mkataba wa Dp World na mwanae Abdul kutaka kutoa hongo kwa Tundu Lissu?
Mkitaka Samia asiambiwe dhambi zake aache kutenda hizo dhambi! Samia ana kula rushwa Ndio maana hata siku moja hawezi kukemea rushwa! She has no moral authority to do so!
 
Porojo zako hazina mashiko hata kidogo. Lazma ufahamu ya kuwa nchi hiii inaendeshwa kwa misingi ya sheria na katiba.hakuna sheria inayoruhusu mtu kudhalilisha wengine na kuwazushia uongo watu wengine
Nenda kamkamate sasa au wewe ni keyboard worrior unayetegemea polis huku ukiwa umeficha mkia matakoni kama mbwa Koko anayekimbizwa na jibwa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ikiwa tutaacha Taifa likajenga utamaduni wa watu wakatumia mitandao ya kijamii kuchafua viongozi wetu,kuwapaka matope, kuwadhalilisha, kuwatukana matusi bila kuchukuliwa hatua wala kukamatwa ili watoe ushahidi tutakuwa tunariharibu Taifa letu.tutakuwa tunaharibu maadili na utamaduni mzima wa kuheshimiana na kukosoana kwa staha.

Imeshakuwa kero sana kwetu wananchi kuona mara nyingi sana Mdude Nyagali akitumia mitandao ya kijamii kumtolea RAIS wetu lugha za matusi, kumdhalilisha ,pamoja na kumhusisha ,kumzushia tuhuma za uongo, uchonganishi na zenye lengo la kumchafua pasipo ushahidi wa aina yoyote ile.

Amekuwa akifanya hivyo mara nyingi sana.na kitendo cha kukaliwa kimya pasipo kuchukuliwa hatua za kukamatwa,kuhojiwa,kufikishwa mahakamani kumemfanya ajione yupo juu ya sheria,kujiona anaogopwa ,kujiona yeye anaweza kufanya lolote,kusema chochote, kumtukana yeyote, kumdhalilisha yeyote,kumvunjia heshima yeyote,kumzushia yeyote pasipo kuchukuliwa hatua wala kukamatwa wala kuhojiwa wala kukemewa.

Imefanya watu wabaki wanashangaa inakuwaje mtu huyu anayefanya kazi ya kumchafua Mheshimiwa Rais kila siku anaachwa bila kuchukuliwa hatua? Watu wanashangaa kwanini anafumbiwa macho muda wote? Wahusika mnasubiri mtu huyu aropoke au aseme nini au amchafue vipi na kwa kiasi gani Rais wetu ndipo mumchukulie Hatua? Je sheria zinatumika kwa baadhi ya watu na kufungwa pingu kwa wengine kutokutumika?

Kwanini hamumkamati na kumhoji ili atoe ushahidi wa tuhuma anazozitoa? Yeye ni nani katika Taifa hili? Hii haikubaliki wala kuvumilika kuona akimchafua Rais wetu Pasipo kuchukuliwa hatua kali za kisheria. ni lazima tufahamu ya kuwa hakuna uhuru usio na mipaka,hakuna uhuru au demokrasia kwa ajili ya kutukana , kudhalilisha,kuwashushia heshima wengine pamoja na kuwapaka matope wengine. Uhuru una kwenda sambamba na wajibu wa kuzingatia haki za watu wengine .

Huwezi ukawa unachafua watu wengine halafu ukasema ni demokrasia au uhuru.uhuru na demokrasia ina mipaka yake. Nawakumbusheni ya kuwa Mbali ya kuwa RAIS Samia ni Mama mwenye watoto, wajukuu lakini kubwa ni kuwa Ni Rais wetu ,ni kiongozi wetu tunaye muangalia na anayegusa Maisha yetu moja kwa moja. Kwa hiyo hatufurahishwi wala kupendezwa kuona Rais wetu akichafuliwa na mtu au kuzushiwa mambo yasiyo na ushahidi wa aina yoyote ile.hii haikubaliki hata kidogo.

Ni lazima tabia hii mbaya na chafu inayofanywa na watu aina ya Mdude Nyagali waliokosa adabu na staha tuipinge,kuikemea ,kuishambulia na kuikataa kabisa hapa Nchini.ni lazima tuseme tunataka uhuru na demokrasia lakini siyo uhuru wa kuwatusi na kuwachafua wengine bila ushahidi wa aina yoyote ile.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anamchafua rais?
 
Müddet alisema Samia ni fisadi na mlarushwa mnataka ushahidi gani zaidi ya mkataba wa Dp World na mwanao Abdul kutaka kutoa Gongo kwa Tundu Lissu?
Mkitaka Samia asiambiwe dhambi zake Aachen kutenda hizo dhambi! Samia ana ula rushwa Ndio maana hata siku moja hawezi kukemea rushwa!
Uropokaji wenu ni wakijinga sana .kwa sababu hakuna ushahidi mnaouweka katika zaidi ya kuropoka tu.
 
Uropokaji wenu ni wakijinga sana .kwa sababu hakuna ushahidi mnaouweka katika zaidi ya kuropoka tu.
Ushahidi ni huo mkataba wa Dp World, usingekuwa na viashiria vya rushwa asingeuficha!!
Kuhusu mtoto wake Abdul, mbona mko kimya baada ya Lissu kumsema hadharani? Sio Siri tena kuwa Abdul ndio dalali wa magendo ya mama yake!
 
Ushahidi no hip mkataba wa Dp World, usingekuwa na viashiria vya rushwa asingeuficha!!
Kuhusu mtoto wake Abdul, mbona mko kimya baada ya Lissu ki taka hadharani? Sio Siri tena kuwa Abdul ndio dalali wa mage do ya mama yake!
Nani asiyefahamu kuwa Lissu ni mropokaji Mkubwa?
 
Back
Top Bottom