Ni kwanini NATO na USA wanaliogopa kundi la Wagner Group kutokea Urusi

Ni kwanini NATO na USA wanaliogopa kundi la Wagner Group kutokea Urusi

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Mara nyingi USA na NATO wamekuwa wakilalamika kuhusu hili kundi la Wagner Group ambalo linasemekana chimbuko lake urusi limekuwa likiwanyima usingizi.

sasa hivi taarifa kutoka kwenye taasisi za kijajusi zinasemekana hili kundi ambalo lipo ukraine wamepewa kazi ya kuhakikisha wanamkamata na kumteka raisi wa Ukraine kisha kumpelelaka Urusi akiwa hai.

Je, Wagner group ni kundi gani hilo na ni kwanini wamekuwa tishio nchi za Magharibi?
 
Hakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.

Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
 
Hakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.

Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
akili zingine za ajabu,kwa hiyo kwenda kuteka nchi,unaenda tu unakuwa umeiteka,labda tumpe mfano marekani kama ilimchukua wiki moja,kuteka iraq,au syria kafanikiwa kuiteka..
 
Mara nyingi USA na NATO wamekuwa wakilalamika kuhusu hili kundi la wagner group ambalo linasemekana chimbuko lake urusi limekuwa likiwanyima usingizi

sasa hivi taarifa kutoka kwenye taasisi za kijajusi zinasemekana hili kundi ambalo lipo ukraine wamepewa kazi ya kuhakikisha wanamkamata na kumteka raisi wa ukraine kisha kumpelelaka urusi akiwa haiii

je wagner group ni kundi gani hilo na ni kwanini wamekuwa tishio nchi za magharibi
Wagner ni mamluki, Mamluki kwa jumla ni hatari kwa amani. Kama ni mamluki wa Urusi au wa Marekani. Maana wanatumwa pale ambako nchi haitaki kwenda rasmi. Maana serikali itawajibika kwa jinai. Kama mamluki wanaua hovyo, basi unafunga kampuni, unabadilisha jina na sare na kuwanzisha tena kwa jina tofauti.

Kijeshi hakuna anayeogopa Wagner. Si bora kuliko komando wa kawaida. Urusi ilituma Wagner Libya na Syria. Marekani ilituma Blackwater Irak (na Afghanistan?)

Mamluki zinasaidia pia serikali kuepukana na wajibu wake mbele ya raia. Maana wakifa ni kifo cha binafsi.
 
Mwabepande Americans and Bunju EU civilians still proceeding to be tortured with adorable hearts by believing the such hypocritical people though they eventually showed what their true colors is to the Poland Nation on NATO issues[emoji849][emoji57]
 
Hakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.

Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
Mkuu nafikiri Vita sio sawa na kucheza gemu
 
1647369739400.png
 
Mara nyingi USA na NATO wamekuwa wakilalamika kuhusu hili kundi la wagner group ambalo linasemekana chimbuko lake urusi limekuwa likiwanyima usingizi

sasa hivi taarifa kutoka kwenye taasisi za kijajusi zinasemekana hili kundi ambalo lipo ukraine wamepewa kazi ya kuhakikisha wanamkamata na kumteka raisi wa ukraine kisha kumpelelaka urusi akiwa haiii

je wagner group ni kundi gani hilo na ni kwanini wamekuwa tishio nchi za magharibi
Hilo kundi lipo mkuu ni mamluki hao wa Russia ndio wamepigana syria wamepelekwa venezuela na central afrika.
 
Hilo ni kundi la askari binafsi wa kukodi (private mercenary army) ambalo muasisi wake ana uhusiano wa karibu na Putin.

Limekuwa likitumiwa na Putin kama mkono wa kijeshi wa Urusi nje ya mipaka yake hasa Syria,Libya,Msumbiji,Mali na sasa Ukraine.

Kwa Sasa wamewekewa vikwazo na EU ili kudhibiti shughuli zake.
 
Nadhani limepata sifa ya kusikika zaidi karibuni, kutoka Afrika ya Kaskazini na sasa vita vya Russia na Ukraine. Wakandarasi wa aina hiyo wapo wengi, hasa US.
 
Mara nyingi USA na NATO wamekuwa wakilalamika kuhusu hili kundi la wagner group ambalo linasemekana chimbuko lake urusi limekuwa likiwanyima usingizi

sasa hivi taarifa kutoka kwenye taasisi za kijajusi zinasemekana hili kundi ambalo lipo ukraine wamepewa kazi ya kuhakikisha wanamkamata na kumteka raisi wa ukraine kisha kumpelelaka urusi akiwa haiii

je wagner group ni kundi gani hilo na ni kwanini wamekuwa tishio nchi za magharibi
Hivi vita vimeleta hadithi nyingi...
 
Hakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.

Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
sawa mmarekani mweusi tumekusikia
 
Back
Top Bottom