Sasa wanatafuta nini kwenye hiyo miji basi maanake ndiko waliko poteza maelfu ya maaskari wao pamoja na zana.Kwani wapi walisema wanataka kukamata miji mikuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wanatafuta nini kwenye hiyo miji basi maanake ndiko waliko poteza maelfu ya maaskari wao pamoja na zana.Kwani wapi walisema wanataka kukamata miji mikuu?
Hizo ni propaganda za media za Magharibi tu. Kwa sasa Ukraine anakula kichapo cha mmbwa koko.Sasa wanatafuta nini kwenye hiyo miji basi maanake ndiko waliko poteza maelfu ya maaskari wao pamoja na zana.
Hakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.
Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
Kharkiv hawajateka acha uongo wamekatalia tu kwenye viunga. Crimea wewe naona hata hujui habari yake.Khakiv na Crimea ni mijibya Baba ako ??
Hao ambao hawana propaganda wao wanasema Russia ameshateka Kyiv hadi Putin amepiga marufuku habari za vita zisiandikwe, unafikiri ni mchezo.Hizo ni propaganda za media za Magharibi tu. Kwa sasa Ukraine anakula kichapo cha mmbwa koko.
Kwa anvyolialia Raisi wa Ukraine na kuwapigia magoti Nato na US. Mi naamini Ukraine anahali mbaya sana, maana sasa Zlensky ameshachanganyikiwa haongei tena kama Raisi anapayuka tu.Hao ambao hawana propaganda wao wanasema Russia ameshateka Kyiv hadi Putin amepiga marufuku habari za vita zisiandikwe, unafikiri ni mchezo.
Red brigedKikundi kama hiko Tanzania ni sawa na kipi?
Kharkiv hawajateka acha uongo wamekatalia tu kwenye viunga. Crimea wewe naona hata hujui habari yake.
Kwa hiyo wewe unapata taarifa zako hizo kutoka kwenye chombo gani hicho kisicho cha kipropaganda. Acha unafiki wewe.Nipe hiyo Habari ambayo mie siijui. Huenda wewe unafuatilia Propaganda za magharibi zinazosambazwa na BBC
Kama huamini fuatikia hii habari …!View attachment 2155148
Bado tu unasemaga hakuna kundi kama hilo?Hakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.
Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
Ni kweli walipewa hii kazi ?sasa hivi taarifa kutoka kwenye taasisi za kijajusi zinasemekana hili kundi ambalo lipo ukraine wamepewa kazi ya kuhakikisha wanamkamata na kumteka raisi wa Ukraine kisha kumpelelaka Urusi akiwa hai.
Warusi wazuri mno kwenye propaganda, hilo limewasaidia Sana.Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
UshahidiUnafahamu Putin alitamba kwamba angemaliza kazi kwa siku tatu tu.!!
Naam! Haya ni majibu ya LGBTQ baada ya kupigwa mashineHakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.
Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
Wamebana wanaachia, kumbe halipoHakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.
Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
Russia gate matokeo hayakuchezewa aisee.Inasemekana ndiyo waliochezeaga Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Marekani uliomweka Trump Madarakani, Kama ni kweli hawa jamaa ni noma
(WW)Watu wasiojulikaNaKikundi kama hiko Tanzania ni sawa na kipi?