tiba kuu ya yote ni secularism tu which means kutofautisha sera za Serikali na dini kuwa private ya mtu. If you don't do that na kuwapa wenye dini shobo na hisia zao watu watauliwa tu Km Tanzania inavyoshobokea Uislamu na Ukristo dhidi ya Mashoga na soon watahamia kwingine then wao kwa wao. Kuhusu izo nchi za kikristo kuwa na uhuru mwingi is mostly coz ya secularism Ndo maana hata mashoga na wanawake wana uhuru mwingi when kw biblia hawana sana na Mashoga wanatakiwa wauliwe kw biblia which means Biblia is more radical than Islam on that issue. Pia watu wengi wanapenda kuijaji Ukristo now and Forget it's past crimes. Islam ina miaka 1400, Ukristo 2,000 and Judaism 3500 uko. Kasome mavita ya Ukristo Ulaya uko kati ya wakatoliki na waprotestant, 30 year old war uko Ulaya na crusades campaigns za Roma, Spain, Ureno etc wanawake walikuwa lazima wavae nguo fulani, mashoga waliuliwa au kufungwa au kufanyiwa lobotomy, nchi nyingi zilivamiwa na ni wao walisababisha kuwaondoa Wayahudi uko Israel baada ya Roman Empire pia nao. So don't confuse the Bible and secular laws which ignore biblical laws. Hata nchi zenye Waislam wengi ila secular na kuna Amani na uhuru zipo km Turkey, Kazakhstan, Tajikistan, Kyrgyzstan, Albania, Kosovo, Bosnia, Indonesia( kasoro jimbo la Aceh), etc ambazo ni secular na ushoga pia halali na kitu binafsi so ukitenga dini na sera zake utapata Amani tu na usijidangaje eti Ukristo au Uyuda ni bora na zina uhuru kuliko Uislam Hapana Uislam umeborrow values zake zote uko zikitofautiana kidogo sana; Difference tu leo duniani many Muslims take the Quran literally as it is and Christians sana sana uko Ughaibuni ignore most of it.