Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sisi ambao tumeishi maisha ya mchanganyiko tunajua ilo linatokea nimewai kuona kwa macho yangu.Hizo huwa ni hadithi mkuu, nyoka ni kiumbe chenye laana, hakijawahi kuwa na urafiki na binadamu hata siku moja
Aaa wapi. Stori tu hizo au labda nyoka wa kwenye maonyesho na siyo hawa koboko na chatu wa huku Tabora. Mama akijichanganya akamuweka mtoto chini eti alime si ajabu akija kushtuka mtoto keshamezwa...Kwa sisi ambao tumeishi maisha ya mchanganyiko tunajua ilo linatokea nimewai kuona kwa macho yangu.
Mkuu huyo anakufanya kitoweo 😂😂😂hana masikhara llakini nyoka ambae hawezi kufanya kitoweo wale wadogo wanweza wasimdhuru.Hakuna ukweli kwenye hili. Mlete mwanao hapa Zoo kuna chatu mwenye njaa kali tuone kama watacheza.
Coment ya kwanza nimeweka bayana kwamba nyoka wakubwa hao wanakufanya kitoweo vizuri haijalishi umri lakini wale wadogo wanaeza kupita karibu na mtoto wakaenda zao..Aaa wapi. Stori tu hizo au labda nyoka wa kwenye maonyesho na siyo hawa koboko na chatu wa huku Tabora. Mama akijichanganya akamuweka mtoto chini eti alime si ajabu akija kushtuka mtoto keshamezwa...
Nakubali.Sio mara zote, ingawa inaweza kutokea na si kwa watoto tu hata kwa watu wazima.
Sio hadithi bali ni ukweli kabisa na ni suala la kisayansi zaidi, tafuta humu kuna uzi unazungumzia hilo suala ki undani zaidi, na utaelewa, na sio mtoto tu hata mtu mzima kama umelala hujamuona, anaweza kuja karibu hata kujizungusha kwenye mguu wako, na akaondoka, ila kama ukimuona sharti usishituke, kushituka kwako ndio utamfanya akung'ate.Hizo huwa ni hadithi mkuu, nyoka ni kiumbe chenye laana, hakijawahi kuwa na urafiki na binadamu hata siku moja
Nyongeza anakung'ta kwa sababu anajilinda usimdhuru ni defence mecanism in biology.Sio hadithi bali ni ukweli kabisa na ni suala la kisayansi zaidi, tafuta humu kuna uzi unazungumzia hilo suala ki undani zaidi, na utaelewa, na sio mtoto tu hata mtu mzima kama umelala hujamuona, anaweza kuja karibu hata kujizungusha kwenye mguu wako, na akaondoka, ila kama ukimuona sharti usishituke, kushituka kwako ndio utamfanya akung'ate.
WANATOFAUTISHA KWA SAUTI ANDUNJE SAUTI YAKE INAKOROMA MTOTO NI NYORORO, yani hapo nimejibu kwa sauti kubwa. 😂Nyoka wanatofautishaj andunje na mtoto? Naomba jibu kwa sauti kuu🎚️🔈🔉🔊